Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Mwehu wewe huyo mwenzio acha wamsaidie tu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwahiyo hana mikono analishwa kama mtoto eee! Hivi mtu mzima ukirudi unakuta kila kitu kipo sawa, hivi kama mwanaume kakamilika anaweza kutafuta mtu mwingine? Inamaana hawezi kamilika mpaka awe na mke yaani msaidizi
 
Mwehu wewe huyo mwenzio acha wamsaidie tu πŸ˜‚πŸ˜‚
Malaya ni malaya tu. Malaya baada ya kupata ndoa anarudi kwa malaya wenzake.
Kwanini hakuolewa na huyo jamaa anayempiga pipe vizuri?
 
Malaya ni malaya tu. Malaya baada ya kupata ndoa anarudi kwa malaya wenzake.
Kwanini hakuolewa na huyo jamaa anayempiga pipe vizuri?
Itakuwa mwenzio aliingia Kwa gia kubwa kumbe haina nguvu πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ hata hivyo huyo jamaa yako hana uhakika, nakushauri usikae mbali na mkeo uwe karibu naye
 
Itakuwa mwenzio aliingia Kwa gia kubwa kumbe haina nguvu πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ hata hivyo huyo jamaa yako hana uhakika, nakushauri usikae mbali na mkeo uwe karibu naye
Soma text za huyo jamaa ndiyo ujue huyo mwanamke ni malaya aliyekubuhu aliyekuwa anafukuzia ndoa
Mimi hapo nikupiga chini, hakuna maelezo ili wakagegedane vizuri
 
Nyieee dhambiii πŸ˜…πŸ˜…mchochezi wewe..
 
Mchawi wa mwanaume ni mwanaume mwenzakee..why utongoze mke wa mtuu?.na unajua kbsa kaolewaa?..mabadiliko yanaanza na nyie wanaume...Acheni kudeal na married woman...
Ukisoma hizo meseji, huyo mwanamke alikuwa ana mahusiano kabla hata ya kuingia kwenye ndoa.
Ningekuwa jamaa, nawafungisha ndoa ili wakagegedane vizuri si wanapendana
 
Kwahiyo hana mikono analishwa kama mtoto eee! Hivi mtu mzima ukirudi unakuta kila kitu kipo sawa, hivi kama mwanaume kakamilika anaweza kutafuta mtu mwingine? Inamaana hawezi kamilika mpaka awe na mke yaani msaidizi
Kila kitu kipo sawa bila pesa?
 
Mwehu wewe huyo mwenzio acha wamsaidie tu πŸ˜‚πŸ˜‚
Tafuta mwamba awe anakukuna vizuri hata kwa wiki mara nne hautakaa uje kubishana na wanaume humu..
Ukimpata wa hivyo na humu tutakusahau..maana umechachamaa na hivi wanawake mnapenda show GB 32.. Nakuona tu hapo.
 
Katika generation tuliyopo ndoa ni concept ambayo ishapitwa na wakati. Mwanamke akiitetea ndoa kidogo nitamuelewa kwa sababu inalinda masilahi yake, lakini kwa upande wa mwanaume kwa maisha ya sasa ndoa haina maana tena
Tupe ,tekniki namna ya kuanzisha familia ,n kuchukua demu kuzalsha ,na kulea mtoto alafu no ndoa au vp bro?ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…