Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Mchawi wa mwanaume ni mwanaume mwenzakee..why utongoze mke wa mtuu?.na unajua kbsa kaolewaa?..mabadiliko yanaanza na nyie wanaume...Acheni kudeal na married woman...
Kama umeolewa na una akili timamu huwezi kukubali kindezi achilia mbali kuacha texts za kucheat uchi kabisa.

Huyo mke ni kiazi, hata kucheat hajui.
 
Tafuta mwamba awe anakukuna vizuri hata kwa wiki mara nne hautakaa uje kubishana na wanaume humu..
Ukimpata wa hivyo na humu tutakusahau..maana umechachamaa na hivi wanawake mnapenda show GB 32.. Nakuona tu hapo.
Acha bangi hizo 😂😂
 
Kwanza huwez nipiga nina kasura ka unyonge Yani ukinipiga kilamtu anajua umeniona hata kma nilichokoza 😂😂
Kwa utetezi huo tena...sura ya unyonge ndo wakorofi kwa kutegemea kivuli hicho.... Mimi nitaishia "ninyi hamjui huyu, niulizeni navumilia mangapi hata hivyo nitayosema yote atakataa piaa" 🤣🤣
 
Tafuta mwamba awe anakukuna vizuri hata kwa wiki mara nne hautakaa uje kubishana na wanaume humu..
Ukimpata wa hivyo na humu tutakusahau..maana umechachamaa na hivi wanawake mnapenda show GB 32.. Nakuona tu hapo.
Achana na mie wewe 😐😐😐😀
 
Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri? Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua. Na hiki ndicho nilichokikuta.

Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari. Alikuwa anachat na ex wake hapo, kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.

Naomba mnipe busara zenu ebu.

View attachment 3226517View attachment 3226518View attachment 3226519

Icheki na hii pia!
 

Attachments

  • CamScanner 08-30-2024 16.59_01.jpg
    CamScanner 08-30-2024 16.59_01.jpg
    288.8 KB · Views: 1
Hahah wengi hawataamini kwanza nimechelewa kuwa na confidence ya kuongea nimepata huku uzeeni 😃View attachment 3229252 ona hiyo utapata picha watakataa tu unanisingizia😂😂
Ninyi wa hivyo mna mazuri yenu 😂 😂
Sema balaa mkivu4ugwa hakupikiki mwendo wa mnuno tu na maji short "sijui, kwani vyangu hivyo, utajua tu siku ikifika, sili naumwa ulcers sababu yako" 🤣🤣🤣
 
Kwahiyo mwanamke aliyeolewa akitongozwa awe anakubali kisa katongozwa?
Why umtongozee?...na unajua mke wa mtuu?..Kuna wanawake maharagwe ya mbeya hawezi kukataaa achaneni na wake za watuuu
 
😃😃😃Ndo mambo yetu hayo umejuaje sema hatuchelew kupoa tukibembelezwa
Ukidekezwa kidogo tu utasikia "kuna muda unaboooa halafu unajifanya hujalii, sema sipendi na wewe hunisemeshi ujue mood yangu, nilijifanyisha tu nikuone, uko wapi saa hiz nataka ule ubuyu wa babu Issa uje nao" 🤣🤣🤣
 
Wanawake wengi wanaonyesha heshima (wengine wanatafsiri kama upendo) kwa waume zao kwa sababu WANAWAOGOPA waume zao tu. Na uoga huo inaweza kuwa ni hofu ya kuachwa na repercussions zake (kukosa uhakika wa kuishi na kumudu maisha bila mume, kukaa mbali na watoto, aibu ya kuachika etc etc)

The moment hofu ile inapoondoka tu (i.e pale anapopata uhakika wa kuweza kudunda na kusurvive confortably bila uwepo wa mume), unaweza kuonyeshwa dharau na kiburi cha ajabu sana ambacho hujawahi kuona maisha yako yote.
 
Wanawake wengi wanaonyesha heshima (wengine wanatafsiri kama upendo) kwa waume zao kwa sababu WANAWAOGOPA waume zao tu. Na uoga huo inaweza kuwa ni hofu ya kuachwa na repercussions zake (kukosa uhakika wa kuishi na kumudu maisha bila mume, kukaa mbali na watoto, aibu ya kuachika etc etc)

The moment hofu ile inapoondoka tu (i.e pale anapopata uhakika wa kuweza kudunda na kusurvive confortably bila uwepo wa mume), unaweza kuonyeshwa dharau na kiburi cha ajabu sana ambacho hujawahi kuona maisha yako yote.
Ndio maana inabidi uishi nae kama mshikaji tu ambae umemhold kwako akiwa anasoma chuo..
Maana siku zake za masomo zikiisha hatohitaji kuendelea kuishi tena kwako.

Na kwa mwanamke kibaya zaidi ni pale atakapohitaji kupata kibali kwa walimwengu machoni pao ili wasimtafsiri vibaya kwa uamuzi wake..yaani usishangae akakusingizia mambo mengi kama vile Nyie hamjui nayopitia kwenye ndoa yangu and so on.

Ndio maana mimi nikikutana na mwanamke ambae ni mzuri sana akaanza kunieleza habari za yeye kuondoka ama kutaka kuondoka kwa mumewe huwa nachofanya cha kwanza ni kumuongezea body count kwanza kisha namuweka reserve zone!! Ile kama uko available naendelea kukutafuna but kama umeendelea na mambo yako nenda salama..

Maana nimegundua hata umshawishi vipi hatokusikiliza zaidi atakuona wewe na mumewe ni wale wale.

Kwani yeye wakati huo anachohitaji ni zone yake mwenyewe yaani awe huru kulalalwa na mwanaume yeyote akiamini kuwa atatokea mtu bora zaidi ya mume wake regerdless of her age..

Sasa mimi huwa namuanzishia vagi lililoko huku mtaani ili ajute afaidi uhuru wake.. na dudu likimkolea na hivi ni new thing kwake anachanganyikiwa ajabu anaanza kuomba nimuoe tena anasahau kuwa amaikimbia au anataka kuitema ndoa yake ili awe huru..wonderful thing ni kwamba,,
Wanawake wengi hutaka afanye ufuska nje na ndoa aendelee kuimiliki sasa akiona you are not ready for that,, hapo ndipo mzaeee utaonwa war yenye hujawahi onwa before.
 
Back
Top Bottom