Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Ni kama unatania lakini...
Awamu iliyopita haikuweza kutunza siri, mnakuza tu jambo hili bila sababu yoyote. Ile ilikuwa serikali ya waropokaji!Nimeona sehemu nyingi baadhi ya watu wakijadili kuhusu ''bwana yule'' huku wengine wakimbeza lakini wengine wakiuliza kimetokea nini kwa sasa ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu.
Kwa wasiojua vizuri wameenda mbali zaidi na kudai eti kwa sasa siri za Ikulu zimethibitiwa na uongozi mpya!
Napenda niwasaidie kwa kuwaambia kuwa hakuna siri za Ikulu zilizothibitiwa ila wale waliokuwa wanatoa siri za Ikulu na kuzipeleka kwa ''bwana yule'' kwa sasa ndio hawa ambao wako madarakani. Kwa maana nyingine, kwa sasa ndio walioshika Ikulu/utawala moja kwa moja. Yaani sio tena watoa ushauri bali kwa sasa ni wabunifu na wasimamia utekelezaji.
Biashara yao na ''bwana yule'' ya kumpa siri za Ikulu iliisha siku ambayo Rais Samia aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania!
Haishangazi kuona kwa sasa ''bwana yule'' anawashambulia sana baadhi ya wale waliokuwa wanampa siri za Ikulu baada ya kugundua hawataki tena mahusiano naye. Yaani kwa sasa wamemalizana naye!
Nasikia kwa sasa wale wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu wana mpango wa ''kumnyamazisha'' ili huko mbeleni asije akatumia umaarufu waliomuwezesha wao wenyewe kuichafua serikali yao. Kibaya zaidi, wanamjua vizuri kwa maana kuwa, wanazijua nguvu zake na udhaifu wake(strengh and weakness) kwa sababu ndio walimuwezesha kupata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii. Hata kupata kitambulisho cha ''blue tick'' ilikuwa ni jitihada za baadhi ya wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu.
Baada ya kukosa ushirikiano kwa sasa ''bwana yule'' anafanya jitihada za kuwa karibu na wenyeCHADEMA ili apate uungwaji mkono kwenye mitandao! Kwa wanaofahamu historia ya ''bwana yule'' watajua kuwa huko nyuma hakuwahi kuipenda/kuishabikia CHADEMA hasa hakumpenda Mwenyekiti Mbowe na aliwahi kumshambulia sana akidai mwizi wa pesa za chama.
Huko mwanzo, ''bwana yule'' alikuwa ni mwanaCCM lakini baadaye akawa ''mwanaACT-Wazalendo'' kabla ya ujio wa Maalim Seif na kundi lake! Wakongwe wa siasa nchini wanajua kuwa ACT-Wazalendo ni ''stepping stone'' kwa wanaCCM! Kwa maana nyingine, ACT-Wazalendo ni kama fimbo ya kuchapiana wanaCCM kwa wanaCCM!
Hasira za ''kutoswa'' zinamfanya aanze ''revenge'' kwa waliomtosa kwa kutumia ''platform'' za CHADEMA.
''bwana yule'' anajua bila kupata sapoti ya wanaCHADEMA hawezi kuendelea kuwa ''relevency'' kisiasa katika dunia ya mitandao kwa sababu CHADEMA ni kundi pekee la kisiasa nchini ambalo hajapoteza uungwaji mkono.
Hoja iliyopo kwa sasa ni kujua kama ''kinyago'' walichokichonga walioko madarakani kwa sasa kitawatisha au watakiangamiza kabla hakijaanza kuleta madhara!
Una akili sana mkuu!Analysis hii inaweza ikawa na ukweli. Ngoja nikupe siri nyingine kwa nini huyu bwana hana nguvu kwa sasa.
Iko hivi: Baada ya kifo cha JPM watu wa mitandao wakarudi Nyuma kidogo na wengine kumuunga mkono Mama. Na wengine wakaacha Siasa kwa mda. Kumbuka umaarufu huendana na nguvu mtu anayoipata kulingana na wafuasi wake. Vile vile bwana huyu alipata ufadhiri mkubwa sana kutoka kwa watu waliokwamishwa na mwendazake.
Kimsingi huwezi sema kwa asilimia mia kwamba bwana yule alikuwa anapata siri za ikulu. Bwana yule alikuwa anatukana tu mara nyingi na anapata umaarufu. Akikosoa tu anapata umaarufu. Sasa hivi hata akitukana watu hawana mpango nae na wengine waliokuwa wanamuunga mkono wanampinga asitukane.
Ni kwamba.. Bwana yule amekosa wa kumuunga mkono.
Kwa sasa anaegemea CDM kwa sababu anaamini ndio watamsaidia kupata umaalufu. Ilikusudi hata akija kutukana ama kukosoa basi wamuunge mkono.
Ufagio uliopitishwa kule kwa wale wasiojulikana umeondoka na wengi sana saa hivi wako kwenye maumivu makali huko uraiani. Mtego waliowekewa waliokuwa wanahisiwa umenasa wengi sana wakatimuliwa ndio maana unaona jamaa hapati tena za jikoni.Nimeona sehemu nyingi baadhi ya watu wakijadili kuhusu ''bwana yule'' huku wengine wakimbeza lakini wengine wakiuliza kimetokea nini kwa sasa ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu.
Kwa wasiojua vizuri wameenda mbali zaidi na kudai eti kwa sasa siri za Ikulu zimethibitiwa na uongozi mpya!
Napenda niwasaidie kwa kuwaambia kuwa hakuna siri za Ikulu zilizothibitiwa ila wale waliokuwa wanatoa siri za Ikulu na kuzipeleka kwa ''bwana yule'' kwa sasa ndio hawa ambao wako madarakani. Kwa maana nyingine, kwa sasa ndio walioshika Ikulu/utawala moja kwa moja. Yaani sio tena watoa ushauri bali kwa sasa ni wabunifu na wasimamia utekelezaji.
Biashara yao na ''bwana yule'' ya kumpa siri za Ikulu iliisha siku ambayo Rais Samia aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania!
Haishangazi kuona kwa sasa ''bwana yule'' anawashambulia sana baadhi ya wale waliokuwa wanampa siri za Ikulu baada ya kugundua hawataki tena mahusiano naye. Yaani kwa sasa wamemalizana naye!
Nasikia kwa sasa wale wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu wana mpango wa ''kumnyamazisha'' ili huko mbeleni asije akatumia umaarufu waliomuwezesha wao wenyewe kuichafua serikali yao. Kibaya zaidi, wanamjua vizuri kwa maana kuwa, wanazijua nguvu zake na udhaifu wake(strengh and weakness) kwa sababu ndio walimuwezesha kupata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii. Hata kupata kitambulisho cha ''blue tick'' ilikuwa ni jitihada za baadhi ya wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu.
Baada ya kukosa ushirikiano kwa sasa ''bwana yule'' anafanya jitihada za kuwa karibu na wenyeCHADEMA ili apate uungwaji mkono kwenye mitandao! Kwa wanaofahamu historia ya ''bwana yule'' watajua kuwa huko nyuma hakuwahi kuipenda/kuishabikia CHADEMA hasa hakumpenda Mwenyekiti Mbowe na aliwahi kumshambulia sana akidai mwizi wa pesa za chama.
Huko mwanzo, ''bwana yule'' alikuwa ni mwanaCCM lakini baadaye akawa ''mwanaACT-Wazalendo'' kabla ya ujio wa Maalim Seif na kundi lake! Wakongwe wa siasa nchini wanajua kuwa ACT-Wazalendo ni ''stepping stone'' kwa wanaCCM! Kwa maana nyingine, ACT-Wazalendo ni kama fimbo ya kuchapiana wanaCCM kwa wanaCCM!
Hasira za ''kutoswa'' zinamfanya aanze ''revenge'' kwa waliomtosa kwa kutumia ''platform'' za CHADEMA.
''bwana yule'' anajua bila kupata sapoti ya wanaCHADEMA hawezi kuendelea kuwa ''relevency'' kisiasa katika dunia ya mitandao kwa sababu CHADEMA ni kundi pekee la kisiasa nchini ambalo hajapoteza uungwaji mkono.
Hoja iliyopo kwa sasa ni kujua kama ''kinyago'' walichokichonga walioko madarakani kwa sasa kitawatisha au watakiangamiza kabla hakijaanza kuleta madhara!
Wenyewe wanajiita wapigania haki halafu haki yenyewe wanaipigania kwa kumshambulia mtu mambo binafsi, sasa sijui walikuwa wanapigania vp haki kwa hali hiyo.Una akili sana mkuu!
Binafsi mimi niliwahi kuhoji hivi kigogo ametoa siri gani ya selikali? Sijawahi kupata jibu.
Yule alikuwa mtukanaji na siyo mtoa siri.
Siri! Tungeona ameweka mikataba yote ya madini, bandari ya bagamoyo na mamikataba mengine mbali mbali japo kwa uchache ndio tungeona anatoa siri.
Alikuwa pia mpiga ramli na ramli zake 10 ikitiki moja basi anawavimbisha kichwa wafuasi wake wajinga wajinga.
Kigogo ni mtukanaji siyo mtoa siri.
Ni sawa na alivyokuwa Mange. Mtu anakuja eti Magufuli anatembea na flani, alafu watu kwa maelfu wanashangilia kwamba huyu dada ni noma anatoa siri za ikulu anatusaidia sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hiyo imewasaidiaje watz?
Upumbavu mtupu.
Ulikuwa unaijua saini ya magufuli wewe?Una akili sana mkuu!
Binafsi mimi niliwahi kuhoji hivi kigogo ametoa siri gani ya selikali? Sijawahi kupata jibu.
Yule alikuwa mtukanaji na siyo mtoa siri.
Siri! Tungeona ameweka mikataba yote ya madini, bandari ya bagamoyo na mamikataba mengine mbali mbali japo kwa uchache ndio tungeona anatoa siri.
Alikuwa pia mpiga ramli na ramli zake 10 ikitiki moja basi anawavimbisha kichwa wafuasi wake wajinga wajinga.
Kigogo ni mtukanaji siyo mtoa siri.
Ni sawa na alivyokuwa Mange. Mtu anakuja eti Magufuli anatembea na flani, alafu watu kwa maelfu wanashangilia kwamba huyu dada ni noma anatoa siri za ikulu anatusaidia sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hiyo imewasaidiaje watz?
Upumbavu mtupu.
Kingine pia yeye anamshambulia yeyote asiempenda.Wenyewe wanajiita wapigania haki halafu haki yenyewe wanaipigania kwa kumshambulia mtu mambo binafsi, sasa sijui walikuwa wanapigania vp haki kwa hali hiyo.
Sasa saini ya Magufuli ni siri?Ulikuwa unaijua saini ya magufuli wewe?
Nimeona sehemu nyingi baadhi ya watu wakijadili kuhusu ''bwana yule'' huku wengine wakimbeza lakini wengine wakiuliza kimetokea nini kwa sasa ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu.
Kwa wasiojua vizuri wameenda mbali zaidi na kudai eti kwa sasa siri za Ikulu zimethibitiwa na uongozi mpya!
Napenda niwasaidie kwa kuwaambia kuwa hakuna siri za Ikulu zilizothibitiwa ila wale waliokuwa wanatoa siri za Ikulu na kuzipeleka kwa ''bwana yule'' kwa sasa ndio hawa ambao wako madarakani. Kwa maana nyingine, kwa sasa ndio walioshika Ikulu/utawala moja kwa moja. Yaani sio tena watoa ushauri bali kwa sasa ni wabunifu na wasimamia utekelezaji.
Biashara yao na ''bwana yule'' ya kumpa siri za Ikulu iliisha siku ambayo Rais Samia aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania!
Haishangazi kuona kwa sasa ''bwana yule'' anawashambulia sana baadhi ya wale waliokuwa wanampa siri za Ikulu baada ya kugundua hawataki tena mahusiano naye. Yaani kwa sasa wamemalizana naye!
Nasikia kwa sasa wale wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu wana mpango wa ''kumnyamazisha'' ili huko mbeleni asije akatumia umaarufu waliomuwezesha wao wenyewe kuichafua serikali yao. Kibaya zaidi, wanamjua vizuri kwa maana kuwa, wanazijua nguvu zake na udhaifu wake(strengh and weakness) kwa sababu ndio walimuwezesha kupata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii. Hata kupata kitambulisho cha ''blue tick'' ilikuwa ni jitihada za baadhi ya wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu.
Baada ya kukosa ushirikiano kwa sasa ''bwana yule'' anafanya jitihada za kuwa karibu na wenyeCHADEMA ili apate uungwaji mkono kwenye mitandao! Kwa wanaofahamu historia ya ''bwana yule'' watajua kuwa huko nyuma hakuwahi kuipenda/kuishabikia CHADEMA hasa hakumpenda Mwenyekiti Mbowe na aliwahi kumshambulia sana akidai mwizi wa pesa za chama.
Huko mwanzo, ''bwana yule'' alikuwa ni mwanaCCM lakini baadaye akawa ''mwanaACT-Wazalendo'' kabla ya ujio wa Maalim Seif na kundi lake! Wakongwe wa siasa nchini wanajua kuwa ACT-Wazalendo ni ''stepping stone'' kwa wanaCCM! Kwa maana nyingine, ACT-Wazalendo ni kama fimbo ya kuchapiana wanaCCM kwa wanaCCM!
Hasira za ''kutoswa'' zinamfanya aanze ''revenge'' kwa waliomtosa kwa kutumia ''platform'' za CHADEMA.
''bwana yule'' anajua bila kupata sapoti ya wanaCHADEMA hawezi kuendelea kuwa ''relevency'' kisiasa katika dunia ya mitandao kwa sababu CHADEMA ni kundi pekee la kisiasa nchini ambalo hajapoteza uungwaji mkono.
Hoja iliyopo kwa sasa ni kujua kama ''kinyago'' walichokichonga walioko madarakani kwa sasa kitawatisha au watakiangamiza kabla hakijaanza kuleta madhara!
Mimi huwa simchukulii serious kabisa nilishamjua hayupo smart kama ambavyo wengine wanamfikiria, hayo mambo uliyoeleza ndivyo ambavyo huyo jamaa alivyo ana ujinga mwingi tu.Kingine pia yeye anamshambulia yeyote asiempenda.
Mfano yeye ni shabiki wa yanga ila sasa kwa vile haipendi simba kila siku anajaribu kumshambulia MO na kumuita ni tapeli na zile tuzo zake za utajiri huwa anahonga ili apewe! [emoji23][emoji23][emoji23]Ila sasa hii ya kumshambulia MO huwa anakutana na kikwazo kwa mashabiki wake sugu wa simba, kisha anarudi nyuma.
Sasa hivi yupo anahamasisha watu wasimpe kura diamond kwenye tuzi gani sijui kisa diamond ni shabiki wa ccm. Yani yuko kama wale wanawake wa uswahilini.
Mbaya zaidi nmeona ujinga wake amewaambukiza hadi kina JACOB huyu wa ubungo.
Hakuna ukweli wowote ,ungekua ukweli usingekua unatumia maneno kama "nasikia"wewe umekuja na Hypothesis inayohitaji kupatiwa majibu na data sahihi.Ukishatumia neno nasikia huo sio ukweli ni stori za kuambiwa(Hearsay) zinahitaji uthibitisho tena.Nilicholeta hapa sio theory bali ni ukweli halisi! Tofautisha ukweli halisi na theory!
Waliokua wwnatoa siri nawao walikua hawapendezwi na uongoz Wa mwendazake, kwaiyo walikua wwnafanya kama kmkomoa so ameshakwenda zake hawaitaji tena Ku mvuruga mama
We huoni point hapo? Mbona mambo hayo anaya weza DC tuu?View attachment 1808101
Huyu jamaa hana jema hata umlambe nnya ye kwake kila kitu ni vibaya kila kitu kibaya atakua na maisha ya stress sana huyu fala