Baadhi ya watu wanajiuliza kwanini ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu?

Baadhi ya watu wanajiuliza kwanini ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu?

Ukishaweka hapa sio yako tena pimbi wewe unafuga tumbo kama mimba

Kuniambia mimi ni pimbi hakuwezi kuifanya hoja yako isimame kihoja bali utaonekana mjanja katika kundi la wajinga!

Jikite katika mada!
 
Njia pekee ya kudhibiti siri ni kuwa na utawala bora....sio kufanya mambo ya ajabu kisha uanze kutafuta namna ya kuyaficha.......hata hivyo twitter sasa inapatikana bila VPN

Kwa kukusaidia, hakuna serikali hapa duniani isiyofanya mambo ya ajabu! Hoja ya msingi ni ukubwa au udogo wa hayo mambo ya ajabu!
 
Usichokijua kuhusu huyo mama ni kwamba ni mnafiki kama wanafiki wengine.

Kabeba ajenda ya Zanzibar kitawala Bara. Mengi yanakuja na yatakuumizeni soon.

Imba wimbo wake kwa sauti, hata utakapoumizwa itikia tu kazi na iendelee. Usijali kazi itakayoendelea, wewe imba tu kwa sauti.
Mnafiki wa kwanza ni wewe.....

Hivi angekuwa ni Mnafiki mwenye "ajenda koko usemazo" unadhani "angepasua" vetting ?!!

Hivi ninyi "mnavutaga" bangi mbichi kupitia tundu za masikio eee?!!! Si ndio eee?!!!

#KaziIendelee
 
Bora alete hiyo ajenda ya Zanzibar ilimradi habagui, haui wala kuonea watu kwa sababu ya mrengo wake wa siasa, dini, kabila au kanda.
Down with Magufuli. Great Satan Magufuli
Mkuu Umemaliza na maneno makali sana mkuu wangu....

Hata utu hatuna ?!!!
 
Kila zama huzaa "bwana yule" muda utajibu
Ukweli " bwana yule" ni system humtengeneza kwa maslahi mapana ya kumtisha kiongozi
 
Mkuu MsemajiUkweli, umefanya analysis moja matata sana, kuna wakati na mimi nilikuwa najiuliza hivi, "Bwana yule" na haya mapenzi na CHADEMA yameanza anzaje? Kuna nini ameshaona amekikosa?

Muda utatufahamisha vizuri.
Shukrani Mkuu!
 
Kwa sababu State criminal syndicate imekamilisha mission yake.

Kwanini kanisa katoliki halitoi ten takwimu za vifo vya masisita n mapadre wanaokufa kwa korona?
Kwann Lutheran hawatoni tena takwkmu za wachungaji kufa kwa korona?

The mission is Over, Covid-19 was just only the scapegoat to kill magufuli.

Mguguli threatned interests of big fishies in the Ocean, so Church leaders were just used by magufuli's foes to spread propaganda to tha Tzanians so as to hve psycjological justifiction to kill him.

Ndio maana baada ya kifo chake COVID-19 is no longer again a storyday of this country, bussiness as ussual.


Western media outlets like BBC,VOA DW are silence no one is reporting about covid-19 skeptical policies....


Magufuli was killed by non-state actors
Mkuu;
Kwenye mchango wako kuna hoja za kweli lakini pia kuna hoja sio za kweli!

Kwa kifupi, hoja nyingi ulizoleta niza kweli!
 
Kwa sababu sasa hivi hamna siri tena au mnahitaji kudanganyika.Nyie mjijue kuwa ni wambeya au wadaku,jifahamu hivyo kama unasubiria siri.
 
Nimeona sehemu nyingi baadhi ya watu wakijadili kuhusu ''bwana yule'' huku wengine wakimbeza lakini wengine wakiuliza kimetokea nini kwa sasa ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu.

Kwa wasiojua vizuri wameenda mbali zaidi na kudai eti kwa sasa siri za Ikulu zimethibitiwa na uongozi mpya!

Napenda niwasaidie kwa kuwaambia kuwa hakuna siri za Ikulu zilizothibitiwa ila wale waliokuwa wanatoa siri za Ikulu na kuzipeleka kwa ''bwana yule'' kwa sasa ndio hawa ambao wako madarakani. Kwa maana nyingine, kwa sasa ndio walioshika Ikulu/utawala moja kwa moja. Yaani sio tena watoa ushauri bali kwa sasa ni wabunifu na wasimamia utekelezaji.

Biashara yao na ''bwana yule'' ya kumpa siri za Ikulu iliisha siku ambayo Rais Samia aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania!

Haishangazi kuona kwa sasa ''bwana yule'' anawashambulia sana baadhi ya wale waliokuwa wanampa siri za Ikulu baada ya kugundua hawataki tena mahusiano naye. Yaani kwa sasa wamemalizana naye!

Nasikia kwa sasa wale wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu wana mpango wa ''kumnyamazisha'' ili huko mbeleni asije akatumia umaarufu waliomuwezesha wao wenyewe kuichafua serikali yao. Kibaya zaidi, wanamjua vizuri kwa maana kuwa, wanazijua nguvu zake na udhaifu wake(strengh and weakness) kwa sababu ndio walimuwezesha kupata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii. Hata kupata kitambulisho cha ''blue tick'' ilikuwa ni jitihada za baadhi ya wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu.

Baada ya kukosa ushirikiano kwa sasa ''bwana yule'' anafanya jitihada za kuwa karibu na wenyeCHADEMA ili apate uungwaji mkono kwenye mitandao! Kwa wanaofahamu historia ya ''bwana yule'' watajua kuwa huko nyuma hakuwahi kuipenda/kuishabikia CHADEMA hasa hakumpenda Mwenyekiti Mbowe na aliwahi kumshambulia sana akidai mwizi wa pesa za chama.

Huko mwanzo, ''bwana yule'' alikuwa ni mwanaCCM lakini baadaye akawa ''mwanaACT-Wazalendo'' kabla ya ujio wa Maalim Seif na kundi lake! Wakongwe wa siasa nchini wanajua kuwa ACT-Wazalendo ni ''stepping stone'' kwa wanaCCM! Kwa maana nyingine, ACT-Wazalendo ni kama fimbo ya kuchapiana wanaCCM kwa wanaCCM!

Hasira za ''kutoswa'' zinamfanya aanze ''revenge'' kwa waliomtosa kwa kutumia ''platform'' za CHADEMA.

''bwana yule'' anajua bila kupata sapoti ya wanaCHADEMA hawezi kuendelea kuwa ''relevency'' kisiasa katika dunia ya mitandao kwa sababu CHADEMA ni kundi pekee la kisiasa nchini ambalo hajapoteza uungwaji mkono.

Hoja iliyopo kwa sasa ni kujua kama ''kinyago'' walichokichonga walioko madarakani kwa sasa kitawatisha au watakiangamiza kabla hakijaanza kuleta madhara!
Hahaha, bwana yule kama demu, mipasho, matusi, kulazimisha kupendwa, kujifanya world of politics anaijuwa na kutwa kujiona yuko sawa na wengine mbumbu tu?!
Whata a prick...
 
Andiko linaonyesha hasira. Linaonyesha wametupwa nje ya mfumo. Ni mwakilishi wa kundi lililokuwa likiumizwa na Kigogo. Lingetamani kuona ile hali ya kuwekwa wazi kwa mambo yao inaendelea. Ukimya wa Kigogo unawafanya waamini alikuwa akisaidiwa na wapinzani wao. Hawa ndiyo wale wanaoamini Mama Samia kawekwa na Kikwete, hawakubali kama Katiba, japo mbovu, ndivyo inavyotaka. Hawa ndiyo wale wanaoamini kila kinachofanywa na mama, kimetoka Msoga. Wanaumia jinsi mama anavyotupa mambo yao ya kishamba. Badala ulete hoja za maana ili watu wajadili, unatuletea habari za siri za Ikulu kuvuja. Zilivuja kwa sababu washamba walikuwa wengi pale Ikulu, wakigombania kujipendekeza.
 
Back
Top Bottom