Baadhi ya watu wanajiuliza kwanini ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu?

Baadhi ya watu wanajiuliza kwanini ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu?

Mkuu, yaani wewe huwa nakuelewaga Sana, najua kuwa wewe ni mpinzani na moyo wako unapenda mageuzi, cha ajabu ni Kwamba, unapenda zaidi kujadili hoja na sio ushabiki,

Sjui unakunywaga Ka soda kweli???

Embu agiza hapo then nitalipia
Noted.
 
Nimeona sehemu nyingi baadhi ya watu wakijadili kuhusu ''bwana yule'' huku wengine wakimbeza lakini wengine wakiuliza kimetokea nini kwa sasa ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu.

Kwa wasiojua vizuri wameenda mbali zaidi na kudai eti kwa sasa siri za Ikulu zimethibitiwa na uongozi mpya!

Napenda niwasaidie kwa kuwaambia kuwa hakuna siri za Ikulu zilizozibitiwa ila wale waliokuwa wanatoa siri za Ikulu na kuzipeleka kwa ''bwana yule'' kwa sasa ndio hawa ambao wako madarakani. Kwa maana nyingine, kwa sasa ndio walioshika Ikulu/utawala moja kwa moja. Yaani sio tena watoa ushauri bali kwa sasa ni wabunifu na wasimamia utekelezaji.

Biashara yao na ''bwana yule'' ya kumpa siri za Ikulu iliisha siku ambayo Rais Samia aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania!

Haishangazi kuona kwa sasa ''bwana yule'' anawashambulia sana baadhi ya wale waliokuwa wanampa siri za Ikulu baada ya kugundua hawataki tena mahusiano naye. Yaani kwa sasa wamemalizana naye!

Nasikia kwa sasa wale wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu wana mpango wa ''kumnyamazisha'' ili huko mbeleni asije akatumia umaarufu waliomuwezesha wao wenyewe kuichafua serikali yao. Kibaya zaidi, wanamjua vizuri kwa maana kuwa, wanazijua nguvu zake na udhaifu wake(strengh and weakness) kwa sababu ndio walimuwezesha kupata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii. Hata kupata kitambulisho cha ''blue tick'' ilikuwa ni jitihada za baadhi ya wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu.

Baada ya kukosa ushirikiano kwa sasa ''bwana yule'' anafanya jitihada za kuwa karibu na wenyeCHADEMA ili apate uungwaji mkono kwenye mitandao! Kwa wanaofahamu historia ya ''bwana yule'' watajua kuwa huko nyuma hakuwahi kuipenda/kuishabikia CHADEMA hasa hakumpenda Mwenyekiti Mbowe na aliwahi kumshambulia sana akidai mwizi wa pesa za chama.

Huko mwanzo, ''bwana yule'' alikuwa ni mwanaCCM lakini baadaye akawa ''mwanaACT-Wazalendo'' kabla ya ujio wa Maalim Seif na kundi lake! Wakongwe wa siasa nchini wanajua kuwa ACT-Wazalendo ni ''stepping stone'' kwa wanaCCM! Kwa maana nyingine, ACT-Wazalendo ni kama fimbo ya kuchapiana wanaCCM kwa wanaCCM!

Hasira za ''kutoswa'' zinamfanya aanze ''revenge'' kwa waliomtosa kwa kutumia ''platform'' za CHADEMA. ''bwana yule'' anajua bila kupata sapoti ya wanaCHADEMA hawezi kuendelea kuwa ''relevency'' kisiasa katika dunia ya mitandao!

Hoja iliyopo kwa sasa ni kujua kama ''kinyago'' walichokichonga walioko madarakani kwa sasa kitawatisha au watakiangamiza kabla hakijaanza kuleta madhara!
Kwa sababu State criminal syndicate imekamilisha mission yake.

Kwanini kanisa katoliki halitoi ten takwimu za vifo vya masisita n mapadre wanaokufa kwa korona?
Kwann Lutheran hawatoni tena takwkmu za wachungaji kufa kwa korona?

The mission is Over, Covid-19 was just only the scapegoat to kill magufuli.

Mguguli threatned interests of big fishies in the Ocean, so Church leaders were just used by magufuli's foes to spread propaganda to tha Tzanians so as to hve psycjological justifiction to kill him.

Ndio maana baada ya kifo chake COVID-19 is no longer again a storyday of this country, bussiness as ussual.


Western media outlets like BBC,VOA DW are silence no one is reporting about covid-19 skeptical policies....


Magufuli was killed by non-state actors
 
Nimeona sehemu nyingi baadhi ya watu wakijadili kuhusu ''bwana yule'' huku wengine wakimbeza lakini wengine wakiuliza kimetokea nini kwa sasa ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu.

Kwa wasiojua vizuri wameenda mbali zaidi na kudai eti kwa sasa siri za Ikulu zimethibitiwa na uongozi mpya!

Napenda niwasaidie kwa kuwaambia kuwa hakuna siri za Ikulu zilizozibitiwa ila wale waliokuwa wanatoa siri za Ikulu na kuzipeleka kwa ''bwana yule'' kwa sasa ndio hawa ambao wako madarakani. Kwa maana nyingine, kwa sasa ndio walioshika Ikulu/utawala moja kwa moja. Yaani sio tena watoa ushauri bali kwa sasa ni wabunifu na wasimamia utekelezaji.

Biashara yao na ''bwana yule'' ya kumpa siri za Ikulu iliisha siku ambayo Rais Samia aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania!

Haishangazi kuona kwa sasa ''bwana yule'' anawashambulia sana baadhi ya wale waliokuwa wanampa siri za Ikulu baada ya kugundua hawataki tena mahusiano naye. Yaani kwa sasa wamemalizana naye!

Nasikia kwa sasa wale wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu wana mpango wa ''kumnyamazisha'' ili huko mbeleni asije akatumia umaarufu waliomuwezesha wao wenyewe kuichafua serikali yao. Kibaya zaidi, wanamjua vizuri kwa maana kuwa, wanazijua nguvu zake na udhaifu wake(strengh and weakness) kwa sababu ndio walimuwezesha kupata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii. Hata kupata kitambulisho cha ''blue tick'' ilikuwa ni jitihada za baadhi ya wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu.

Baada ya kukosa ushirikiano kwa sasa ''bwana yule'' anafanya jitihada za kuwa karibu na wenyeCHADEMA ili apate uungwaji mkono kwenye mitandao! Kwa wanaofahamu historia ya ''bwana yule'' watajua kuwa huko nyuma hakuwahi kuipenda/kuishabikia CHADEMA hasa hakumpenda Mwenyekiti Mbowe na aliwahi kumshambulia sana akidai mwizi wa pesa za chama.

Huko mwanzo, ''bwana yule'' alikuwa ni mwanaCCM lakini baadaye akawa ''mwanaACT-Wazalendo'' kabla ya ujio wa Maalim Seif na kundi lake! Wakongwe wa siasa nchini wanajua kuwa ACT-Wazalendo ni ''stepping stone'' kwa wanaCCM! Kwa maana nyingine, ACT-Wazalendo ni kama fimbo ya kuchapiana wanaCCM kwa wanaCCM!

Hasira za ''kutoswa'' zinamfanya aanze ''revenge'' kwa waliomtosa kwa kutumia ''platform'' za CHADEMA. ''bwana yule'' anajua bila kupata sapoti ya wanaCHADEMA hawezi kuendelea kuwa ''relevency'' kisiasa katika dunia ya mitandao!

Hoja iliyopo kwa sasa ni kujua kama ''kinyago'' walichokichonga walioko madarakani kwa sasa kitawatisha au watakiangamiza kabla hakijaanza kuleta madhara!
Amehitimisha kazi, dhalimu amelala
Sasa Yuko kwenye harakati za kudai Katiba mpya
 
Nimeona sehemu nyingi baadhi ya watu wakijadili kuhusu ''bwana yule'' huku wengine wakimbeza lakini wengine wakiuliza kimetokea nini kwa sasa ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu.

Kwa wasiojua vizuri wameenda mbali zaidi na kudai eti kwa sasa siri za Ikulu zimethibitiwa na uongozi mpya!

Napenda niwasaidie kwa kuwaambia kuwa hakuna siri za Ikulu zilizozibitiwa ila wale waliokuwa wanatoa siri za Ikulu na kuzipeleka kwa ''bwana yule'' kwa sasa ndio hawa ambao wako madarakani. Kwa maana nyingine, kwa sasa ndio walioshika Ikulu/utawala moja kwa moja. Yaani sio tena watoa ushauri bali kwa sasa ni wabunifu na wasimamia utekelezaji.

Biashara yao na ''bwana yule'' ya kumpa siri za Ikulu iliisha siku ambayo Rais Samia aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania!

Haishangazi kuona kwa sasa ''bwana yule'' anawashambulia sana baadhi ya wale waliokuwa wanampa siri za Ikulu baada ya kugundua hawataki tena mahusiano naye. Yaani kwa sasa wamemalizana naye!

Nasikia kwa sasa wale wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu wana mpango wa ''kumnyamazisha'' ili huko mbeleni asije akatumia umaarufu waliomuwezesha wao wenyewe kuichafua serikali yao. Kibaya zaidi, wanamjua vizuri kwa maana kuwa, wanazijua nguvu zake na udhaifu wake(strengh and weakness) kwa sababu ndio walimuwezesha kupata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii. Hata kupata kitambulisho cha ''blue tick'' ilikuwa ni jitihada za baadhi ya wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu.

Baada ya kukosa ushirikiano kwa sasa ''bwana yule'' anafanya jitihada za kuwa karibu na wenyeCHADEMA ili apate uungwaji mkono kwenye mitandao! Kwa wanaofahamu historia ya ''bwana yule'' watajua kuwa huko nyuma hakuwahi kuipenda/kuishabikia CHADEMA hasa hakumpenda Mwenyekiti Mbowe na aliwahi kumshambulia sana akidai mwizi wa pesa za chama.

Huko mwanzo, ''bwana yule'' alikuwa ni mwanaCCM lakini baadaye akawa ''mwanaACT-Wazalendo'' kabla ya ujio wa Maalim Seif na kundi lake! Wakongwe wa siasa nchini wanajua kuwa ACT-Wazalendo ni ''stepping stone'' kwa wanaCCM! Kwa maana nyingine, ACT-Wazalendo ni kama fimbo ya kuchapiana wanaCCM kwa wanaCCM!

Hasira za ''kutoswa'' zinamfanya aanze ''revenge'' kwa waliomtosa kwa kutumia ''platform'' za CHADEMA. ''bwana yule'' anajua bila kupata sapoti ya wanaCHADEMA hawezi kuendelea kuwa ''relevency'' kisiasa katika dunia ya mitandao!

Hoja iliyopo kwa sasa ni kujua kama ''kinyago'' walichokichonga walioko madarakani kwa sasa kitawatisha au watakiangamiza kabla hakijaanza kuleta madhara!

Sasa hivi mambo hadharani. Wasiojulikana imekula kwao, kina ole na mambo yao ya mbususu wako takukuru, wabambika kesi kimedoda nk nk.

Siri zipi tena? Za dangote kuuza cement kenya?
 
Mkuu, Magu hayupo tena.

Kama mrija wako umekatwa, jifunze kula kwa jasho kama wengine.

Mimi mwenyewe namfuatilia huyo unayemsema. Haelekei kabisa kuwa kundi la watu walioshika madaraka sasa hivi.

Mfano wewe sasa hivi kwa maandiko yako, unaonekana dhahiri umetupwa nje.
Jamaa anaema alikuwa anatumiwa na ametoswa na walio na madaraka wa sasa na ni kweli hatoi siri tena ila anawashambulia
 
Kigogo alikuwa anakosoa au alikuwa anachafua? kwa sababu hakuna utawala ambao upo perfect ndio maana hata marais wote waliyopita kabla ya Magufuli walikuwa wanafanya makosa na walikuwepo wa kuwakosoa, kwahiyo kama kutoa siri za serikali kama alivyokuwa anafanya Kigogo ndio kukosoa basi tutegemee siri za serikali kuendelea kutoka maana hata sasa makosa yapo.
MHeshimiwa hakuna mahalo Kigogo akitoa Siri za serikali,nakataa.
Hivi mfano,Kusema karatasi za kura za ziada zimechapishwa jamana printers Hiyo Ni Siri ya serikali?
 
Story bado ni ya kudhani.

Sasa pale ikulu kuna siri gani ili ivujishwe? Kumbuka bwana Yule alisema vita yake itaisha Siku adui yake akifa. Hivo hana vita tena na ikulu
Anamshambulia Samia sasa hivi mkuu
 
Kwa sababu State criminal syndicate imekamilisha mission yake.

Kwanini kanisa katoliki halitoi ten takwimu za vifo vya masisita n mapadre wanaokufa kwa korona?
Kwann Lutheran hawatoni tena takwkmu za wachungaji kufa kwa korona?

The mission is Over, Covid-19 was just only the scapegoat to kill magufuli.

Mguguli threatned interests of big fishies in the Ocean, so Church leaders were just used by magufuli's foes to spread propaganda to tha Tzanians so as to hve psycjological justifiction to kill him.

Ndio maana baada ya kifo chake COVID-19 is no longer again a storyday of this country, bussiness as ussual.


Western media outlets like BBC,VOA DW are silence no one is reporting about covid-19 skeptical policies....


Magufuli was killed by non-state actors
Magufuli hajauwawa isee,kwa mujibu wa Samia.
Lakini kama kauwawa,basi mfumo wetu wa usalama uko vizuri sana.uliona mbali.
 
Mwenye akili timamu hujibidiisha katika kuwatendea wengine wema na kuwaombea kheri na sio kuwaletea na kuwauzia madawa ya kulevya ili wafe,

Lakini pia, unachokisahau mkuu, aliyeanzaga kufa ni Habili baada ya kaini kumuua, na hivyo, Dunia haijawahi kupumzika kumeza watu, na hata Mimi na wewe, ni swala la muda tu, na Kwa sababu hiyo, litakuwa Jambo la kipumbavu na kijinga kuliko chochote akiwako mtu mwenye kufurahia mtu mmoja afapo Wakati huohuo naye muda wake wa kufa ungalipo na asijue ni lini na saa ngapi atakufa

Kivyovyote, Hayati JPM kama ilivyotokea Kwa wengine kufa, Ilibidi tu aondoke Kwa maaana muda wa yeye kuishi duniani ulikuwa tayari umeshakwisha, ama ni Kwa sababu Mungu alimwita ama tu pengine shetani alihusika, lakini Kwa sababu Mungu ndiye mwenye mamlaka na umauti, aliruhusu Hilo litendeke ili tu iwe tamati ya kila kitu alichokipanga kwenye maisha ya Mtumishi wake

Sasa kazi kwenu, kudhihaki kazi ya Mungu ama mnyamaze Kwa kuwa, hakutakuwa na ujanja wa yeyote kukwepa umauti,

Lililobora zaidi, Ishi, Kwa sababu Mungu bado anataka uishi, Watendee wema waja wake na sio wewe uwe sababu ya kuwaangamiza kuwaletea sumu na madawa ya kulevya ili kuuwahisha uhai wao na wakati walustahili kuendelea kuishi

Mungu bariki Tanzania, na uwamlike wote wanaosababisha kumwaga damu na kuuwa wengine
pia ukumbuke kuwa siyo kila kazi ni ya Mungu kazi zingine ni za binadamu wenyewe kutokana na matendo ya maovu ya siyo mpendeza Mungu.
 
Story bado ni ya kudhani.

Sasa pale ikulu kuna siri gani ili ivujishwe? Kumbuka bwana Yule alisema vita yake itaisha Siku adui yake akifa. Hivo hana vita tena na ikulu

Mtu akijua kama hajui inakuwa ni kazi rahisi kuelimishwa!

Sidhani kama unajua kuwa hujui!
 
J.M hataki kutoa siri za rafiki yake, ila nae ameshahribiwa sana na "bwana yule" hasa wakati ule akipigiwa chapuo ya kuwa VP, alivyoukosa bwana yule akawa mkali mpaka nikashangaa

Mkuu;
Andiko lako linaonyesha kwa mbali umeielewa mada tangu!
 
Kageukia kwenye umbea wa wasanii na mpira mitandaoni,ana kimkwara chake anakwambia faili lake analileta kumbe mweupeeee

Kuendelea kuongelewa na kuwa “relevancy” inabidi atafute “attention”!
 
Hebu usitoke nje ya mada, baki kwenye mada jadili hoja iliyoko mezani, ukisema huyo "bwana yule" haonekani kuwa na mrengo wa huyu wa sasa useme how, binafsi siamini kwanini siri zilizokuwa zinatoka wakati wa awamu ya tano ghafla zisitoke awamu ya sita, kwa move ipi aliyofanya huyu aliyepo madarakani kuzuia wakati anashindwa hata kwenye teuzi tu, anateua sasahivi badae anatengua.

Nashukuru kwa kunisaidia katika kutoa elimu sahihi kwa watu wa aina hii ambao wanashambulia waleta mada badala ya mada.
 
Huyo kigogo alikuwa against na utawala wa hayati JPM, hahitaji siri tena za utawala wa sasa sababu ni utawala ulionyooka ,unaheshimu demokrasia,sekta binafsi inapewa kipaumbele,na unafuata haki na sheria n.k

Nadhani bado uko gizani kifikra!
 
Kwa sababu State criminal syndicate imekamilisha mission yake.

Kwanini kanisa katoliki halitoi ten takwimu za vifo vya masisita n mapadre wanaokufa kwa korona?
Kwann Lutheran hawatoni tena takwkmu za wachungaji kufa kwa korona?

The mission is Over, Covid-19 was just only the scapegoat to kill magufuli.

Mguguli threatned interests of big fishies in the Ocean, so Church leaders were just used by magufuli's foes to spread propaganda to tha Tzanians so as to hve psycjological justifiction to kill him.

Ndio maana baada ya kifo chake COVID-19 is no longer again a storyday of this country, bussiness as ussual.


Western media outlets like BBC,VOA DW are silence no one is reporting about covid-19 skeptical policies....


Magufuli was killed by non-state actors
Argument lacks merit.
It's clear you do not have a scientific mind.
Nyie ndo mkiambiwa korona imo kwenye mnyanya, mtang'oa mashamba ya nyanya.

Hilo liko wazi kwa analogy yako mtoa post hii kulinganisha matamshi ya Makanisa juu ya walioathirika na Covid, ameonyesha wazi lack of basic knowledge.
 
Back
Top Bottom