Baadhi ya watu wanajiuliza kwanini ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu?

Baadhi ya watu wanajiuliza kwanini ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu?

Watakoma, mchawi akila nyama ya mtoto wa jilani ukampa na pili pili, usijetoa mlio siku anatafuna wa kwako.

Kuna kanuni moja kwenye haya mambo inasema, hakuna adui mbaya kama uliyeshirikiana naye kufanya uovu.
Kweli kabisa
 
Ili mambo yaende na ubaki kuwa salama unahitaji kuongoza kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu. Mambo yaliyo fuata sheria na utaratibu hayawi skendo. Ila yale yaliyo fanywa gizani ndo huwa skendo. Maana anafanya mambo yote hadharani na kwa kufuata sheria sasa skendo zitatoka wapi?
Inamaana kwa sasa sheria inafuatwa? Uchaguzi wa majimbo ya muhabwe n.k umefanyika kipindi cha mwendazake,au ndo kusema ulikuwa wa haki? kama ulikuwa wa haki,basi hata chaguzi zilizopita zilikuwa za haki.
Mimi ninachokiona hata wengi wa wapinzani wa JPM hawakuwa watetezi wa haki bali mirija yao ya unyonyaji ilikatwa,akiwemo bwana yule.
kama ni kweli bwana yule alitaka haki,mbona kwenye post zake hakuwahi kudai katiba mpya,yeye kama yeye badala yake alisisitiza upinzani wafanye hivyo? Ok katika post zake za sasa mbona hasisitizi tena katiba mpya? au katiba mpya nayo tuliitaka ili imdhibiti mwendazake na baada ya kuondoka hatuna haja nayo?
Nimalizie kwa kusema,JPM aliendesha nchi kwa kadri alivyojaariwa na Mungu na pengine akaweka mapungufu yake kama binadamu,aliweza kuyafanya yale ambayo kwa mtu aliyetegemea nguvu zake na jitihada zake kuishi hakumhathili hata kidogo. Taasisi na watu binafsi waliotegemea njia mbadala ki ukweli wameathirika sio kidogo
na ndo hapo uadui ukaibuka kila kona,bahati mbaya na sisi tuliozoea kulamba makombo yaliyosazwa tukapiga kelele maana makombo nayo
yalionekana kuwa ndo chakula cha kutegemea kwa mabwenyenye.
 
Nimeona sehemu nyingi baadhi ya watu wakijadili kuhusu ''bwana yule'' huku wengine wakimbeza lakini wengine wakiuliza kimetokea nini kwa sasa ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu.

Kwa wasiojua vizuri wameenda mbali zaidi na kudai eti kwa sasa siri za Ikulu zimethibitiwa na uongozi mpya!

Napenda niwasaidie kwa kuwaambia kuwa hakuna siri za Ikulu zilizozibitiwa ila wale waliokuwa wanatoa siri za Ikulu na kuzipeleka kwa ''bwana yule'' kwa sasa ndio hawa ambao wako madarakani. Kwa maana nyingine, kwa sasa ndio walioshika Ikulu/utawala moja kwa moja. Yaani sio tena watoa ushauri bali kwa sasa ni wabunifu na wasimamia utekelezaji.

Biashara yao na ''bwana yule'' ya kumpa siri za Ikulu iliisha siku ambayo Rais Samia aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania!

Haishangazi kuona kwa sasa ''bwana yule'' anawashambulia sana baadhi ya wale waliokuwa wanampa siri za Ikulu baada ya kugundua hawataki tena mahusiano naye. Yaani kwa sasa wamemalizana naye!

Nasikia kwa sasa wale wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu wana mpango wa ''kumnyamazisha'' ili huko mbeleni asije akatumia umaarufu waliomuwezesha wao wenyewe kuichafua serikali yao. Kibaya zaidi, wanamjua vizuri kwa maana kuwa, wanazijua nguvu zake na udhaifu wake(strengh and weakness) kwa sababu ndio walimuwezesha kupata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii. Hata kupata kitambulisho cha ''blue tick'' ilikuwa ni jitihada za baadhi ya wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu.

Baada ya kukosa ushirikiano kwa sasa ''bwana yule'' anafanya jitihada za kuwa karibu na wenyeCHADEMA ili apate uungwaji mkono kwenye mitandao! Kwa wanaofahamu historia ya ''bwana yule'' watajua kuwa huko nyuma hakuwahi kuipenda/kuishabikia CHADEMA hasa hakumpenda Mwenyekiti Mbowe na aliwahi kumshambulia sana akidai mwizi wa pesa za chama.

Huko mwanzo, ''bwana yule'' alikuwa ni mwanaCCM lakini baadaye akawa ''mwanaACT-Wazalendo'' kabla ya ujio wa Maalim Seif na kundi lake! Wakongwe wa siasa nchini wanajua kuwa ACT-Wazalendo ni ''stepping stone'' kwa wanaCCM! Kwa maana nyingine, ACT-Wazalendo ni kama fimbo ya kuchapiana wanaCCM kwa wanaCCM!

Hasira za ''kutoswa'' zinamfanya aanze ''revenge'' kwa waliomtosa kwa kutumia ''platform'' za CHADEMA. ''bwana yule'' anajua bila kupata sapoti ya wanaCHADEMA hawezi kuendelea kuwa ''relevency'' kisiasa katika dunia ya mitandao!

Hoja iliyopo kwa sasa ni kujua kama ''kinyago'' walichokichonga walioko madarakani kwa sasa kitawatisha au watakiangamiza kabla hakijaanza kuleta madhara!
Mkuu pole kwa msiba , hivi Chadema unayoiandika humu kwenye uzi wako ndio ile uliyosema ilshakufa na kuzikwa au kuna Chadema nyingine ?
 
Yuko katikati ya kumushukuru Mungu kwa kumulinda kwa kipindi cha miaka5 na kumvusha akiwa mzima wakati wengine kipindi cha miaka5 wamekimaliza wakiwa ni marehemu na walioponea chupuchupu wanachechemea kwa kukung'utwa risasi.
 
Inamaana kwa sasa sheria inafuatwa? Uchaguzi wa majimbo ya muhabwe n.k umefanyika kipindi cha mwendazake,au ndo kusema ulikuwa wa haki? kama ulikuwa wa haki,basi hata chaguzi zilizopita zilikuwa za haki.
Mimi ninachokiona hata wengi wa wapinzani wa JPM hawakuwa watetezi wa haki bali mirija yao ya unyonyaji ilikatwa,akiwemo bwana yule.
kama ni kweli bwana yule alitaka haki,mbona kwenye post zake hakuwahi kudai katiba mpya,yeye kama yeye badala yake alisisitiza upinzani wafanye hivyo? Ok katika post zake za sasa mbona hasisitizi tena katiba mpya? au katiba mpya nayo tuliitaka ili imdhibiti mwendazake na baada ya kuondoka hatuna haja nayo?
Nimalizie kwa kusema,JPM aliendesha nchi kwa kadri alivyojaariwa na Mungu na pengine akaweka mapungufu yake kama binadamu,aliweza kuyafanya yale ambayo kwa mtu aliyetegemea nguvu zake na jitihada zake kuishi hakumhathili hata kidogo. Taasisi na watu binafsi waliotegemea njia mbadala ki ukweli wameathirika sio kidogo
na ndo hapo uadui ukaibuka kila kona,bahati mbaya na sisi tuliozoea kulamba makombo yaliyosazwa tukapiga kelele maana makombo nayo
yalionekana kuwa ndo chakula cha kutegemea kwa mabwenyenye.
Nina ndugu yangu yeye ni chapombe na hana kazi na ni mwana ccm ila nae alipokufa Magufuli alikuwa anasema bora alivyokufa, sasa ukimuuliza sababu anakwambia Magufuli alizui hela kwenye chama, hivyo alikuwa hapati hela kwenye chama kwahiyo hakuna watu wa kuwapiga vibomu hovyo na kuweka heshima bar. Kwahiyo kuna watu wengi wana sababu zao binafsi zaidi zenye kuwafanya waingie kwenye mkumbo wa kumchukia Magufuli.
 
Yuko katikati ya kumushukuru Mungu kwa kumulinda kwa kipindi cha miaka5 na kumvusha akiwa mzima wakati wengine kipindi cha miaka5 wamekimaliza wakiwa ni marehemu
Mwenye akili timamu hujibidiisha katika kuwatendea wengine wema na kuwaombea kheri na sio kuwaletea na kuwauzia madawa ya kulevya ili wafe,

Lakini pia, unachokisahau mkuu, aliyeanzaga kufa ni Habili baada ya kaini kumuua, na hivyo, Dunia haijawahi kupumzika kumeza watu, na hata Mimi na wewe, ni swala la muda tu, na Kwa sababu hiyo, litakuwa Jambo la kipumbavu na kijinga kuliko chochote akiwako mtu mwenye kufurahia mtu mmoja afapo Wakati huohuo naye muda wake wa kufa ungalipo na asijue ni lini na saa ngapi atakufa

Kivyovyote, Hayati JPM kama ilivyotokea Kwa wengine kufa, Ilibidi tu aondoke Kwa maaana muda wa yeye kuishi duniani ulikuwa tayari umeshakwisha, ama ni Kwa sababu Mungu alimwita ama tu pengine shetani alihusika, lakini Kwa sababu Mungu ndiye mwenye mamlaka na umauti, aliruhusu Hilo litendeke ili tu iwe tamati ya kila kitu alichokipanga kwenye maisha ya Mtumishi wake

Sasa kazi kwenu, kudhihaki kazi ya Mungu ama mnyamaze Kwa kuwa, hakutakuwa na ujanja wa yeyote kukwepa umauti,

Lililobora zaidi, Ishi, Kwa sababu Mungu bado anataka uishi, Watendee wema waja wake na sio wewe uwe sababu ya kuwaangamiza kuwaletea sumu na madawa ya kulevya ili kuuwahisha uhai wao na wakati walustahili kuendelea kuishi

Mungu bariki Tanzania, na uwamlike wote wanaosababisha kumwaga damu na kuuwa wengine
 
Nimeona sehemu nyingi baadhi ya watu wakijadili kuhusu ''bwana yule'' huku wengine wakimbeza lakini wengine wakiuliza kimetokea nini kwa sasa ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu.

Kwa wasiojua vizuri wameenda mbali zaidi na kudai eti kwa sasa siri za Ikulu zimethibitiwa na uongozi mpya!

Napenda niwasaidie kwa kuwaambia kuwa hakuna siri za Ikulu zilizozibitiwa ila wale waliokuwa wanatoa siri za Ikulu na kuzipeleka kwa ''bwana yule'' kwa sasa ndio hawa ambao wako madarakani. Kwa maana nyingine, kwa sasa ndio walioshika Ikulu/utawala moja kwa moja. Yaani sio tena watoa ushauri bali kwa sasa ni wabunifu na wasimamia utekelezaji.

Biashara yao na ''bwana yule'' ya kumpa siri za Ikulu iliisha siku ambayo Rais Samia aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania!

Haishangazi kuona kwa sasa ''bwana yule'' anawashambulia sana baadhi ya wale waliokuwa wanampa siri za Ikulu baada ya kugundua hawataki tena mahusiano naye. Yaani kwa sasa wamemalizana naye!

Nasikia kwa sasa wale wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu wana mpango wa ''kumnyamazisha'' ili huko mbeleni asije akatumia umaarufu waliomuwezesha wao wenyewe kuichafua serikali yao. Kibaya zaidi, wanamjua vizuri kwa maana kuwa, wanazijua nguvu zake na udhaifu wake(strengh and weakness) kwa sababu ndio walimuwezesha kupata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii. Hata kupata kitambulisho cha ''blue tick'' ilikuwa ni jitihada za baadhi ya wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu.

Baada ya kukosa ushirikiano kwa sasa ''bwana yule'' anafanya jitihada za kuwa karibu na wenyeCHADEMA ili apate uungwaji mkono kwenye mitandao! Kwa wanaofahamu historia ya ''bwana yule'' watajua kuwa huko nyuma hakuwahi kuipenda/kuishabikia CHADEMA hasa hakumpenda Mwenyekiti Mbowe na aliwahi kumshambulia sana akidai mwizi wa pesa za chama.

Huko mwanzo, ''bwana yule'' alikuwa ni mwanaCCM lakini baadaye akawa ''mwanaACT-Wazalendo'' kabla ya ujio wa Maalim Seif na kundi lake! Wakongwe wa siasa nchini wanajua kuwa ACT-Wazalendo ni ''stepping stone'' kwa wanaCCM! Kwa maana nyingine, ACT-Wazalendo ni kama fimbo ya kuchapiana wanaCCM kwa wanaCCM!

Hasira za ''kutoswa'' zinamfanya aanze ''revenge'' kwa waliomtosa kwa kutumia ''platform'' za CHADEMA. ''bwana yule'' anajua bila kupata sapoti ya wanaCHADEMA hawezi kuendelea kuwa ''relevency'' kisiasa katika dunia ya mitandao!

Hoja iliyopo kwa sasa ni kujua kama ''kinyago'' walichokichonga walioko madarakani kwa sasa kitawatisha au watakiangamiza kabla hakijaanza kuleta madhara!
Kila kitu kina mwisho.
Mtoa mada na za kwenu zimekwisha?
 
Sijasema directly kuna siri alikuwa anapewa. Hizo ni assumptions zangu tu.

Ila kwenye kutabiri hasa kwa kumsoma Magu alikuwa vizuri.

Kumtabiri Samia imekuwa ngumu, alijaribu zaidi ya mbili akashindwa nadhani ndio maana ameamua kupunguza au kuacha.

Scenario ya kwanza ilianzia wakati wa vuguvugu la kumpata makamu wa Rais. Akawa ameshataja watu kibao. Na alivyoona kwenye mkutano wa CCM yupo Kikwete wakiwa na Karume, na kwa kuwa Kikwete alikuwa na ukadibu sana na Nchimbi akasema VP atakuwa Nchimbi

Wakati huo alikuwa anajaribu kuonesha kuwa, kuna makundi mawili yanasigana ndani ya CCM ambayo ni kundi la Kikwete ( Msoga gang ) na kundi la Magu ( Sukuma gang )

Alivyokuja kupatikana Mpango, akaanza kushout kuwa Samia ka-surrender kwa Sukuma gang, na wakati huo huo sasa hivi anashambulia kwamba Samia anasikiliza sana Msoga gang ( Kikwete )

Kitu kingine ni yeye kutabiri zaidi ya 2 kuhusu wakuu wa mikoa na wilaya, then ikawa bila bila.

In short ni utoto utoto tu, haya mambo yasome na yasikilize ukiwa na akili zako timamu.
Wewe bado umelala. Naona huenda umenza kufuatilia haya mambo juzi juzi.
 
Nimeona sehemu nyingi baadhi ya watu wakijadili kuhusu ''bwana yule'' huku wengine wakimbeza lakini wengine wakiuliza kimetokea nini kwa sasa ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu.

Kwa wasiojua vizuri wameenda mbali zaidi na kudai eti kwa sasa siri za Ikulu zimethibitiwa na uongozi mpya!

Napenda niwasaidie kwa kuwaambia kuwa hakuna siri za Ikulu zilizozibitiwa ila wale waliokuwa wanatoa siri za Ikulu na kuzipeleka kwa ''bwana yule'' kwa sasa ndio hawa ambao wako madarakani. Kwa maana nyingine, kwa sasa ndio walioshika Ikulu/utawala moja kwa moja. Yaani sio tena watoa ushauri bali kwa sasa ni wabunifu na wasimamia utekelezaji.

Biashara yao na ''bwana yule'' ya kumpa siri za Ikulu iliisha siku ambayo Rais Samia aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania!

Haishangazi kuona kwa sasa ''bwana yule'' anawashambulia sana baadhi ya wale waliokuwa wanampa siri za Ikulu baada ya kugundua hawataki tena mahusiano naye. Yaani kwa sasa wamemalizana naye!

Nasikia kwa sasa wale wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu wana mpango wa ''kumnyamazisha'' ili huko mbeleni asije akatumia umaarufu waliomuwezesha wao wenyewe kuichafua serikali yao. Kibaya zaidi, wanamjua vizuri kwa maana kuwa, wanazijua nguvu zake na udhaifu wake(strengh and weakness) kwa sababu ndio walimuwezesha kupata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii. Hata kupata kitambulisho cha ''blue tick'' ilikuwa ni jitihada za baadhi ya wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu.

Baada ya kukosa ushirikiano kwa sasa ''bwana yule'' anafanya jitihada za kuwa karibu na wenyeCHADEMA ili apate uungwaji mkono kwenye mitandao! Kwa wanaofahamu historia ya ''bwana yule'' watajua kuwa huko nyuma hakuwahi kuipenda/kuishabikia CHADEMA hasa hakumpenda Mwenyekiti Mbowe na aliwahi kumshambulia sana akidai mwizi wa pesa za chama.

Huko mwanzo, ''bwana yule'' alikuwa ni mwanaCCM lakini baadaye akawa ''mwanaACT-Wazalendo'' kabla ya ujio wa Maalim Seif na kundi lake! Wakongwe wa siasa nchini wanajua kuwa ACT-Wazalendo ni ''stepping stone'' kwa wanaCCM! Kwa maana nyingine, ACT-Wazalendo ni kama fimbo ya kuchapiana wanaCCM kwa wanaCCM!

Hasira za ''kutoswa'' zinamfanya aanze ''revenge'' kwa waliomtosa kwa kutumia ''platform'' za CHADEMA. ''bwana yule'' anajua bila kupata sapoti ya wanaCHADEMA hawezi kuendelea kuwa ''relevency'' kisiasa katika dunia ya mitandao!

Hoja iliyopo kwa sasa ni kujua kama ''kinyago'' walichokichonga walioko madarakani kwa sasa kitawatisha au watakiangamiza kabla hakijaanza kuleta madhara!
"Naamini Mama Samia hana timu mpya sana na wala waliomzunguka siyo ndugu Wala rafiki yake Bali ni Watumishi wale wale waliomzunguka JPM. Watumishi hawa wanasali na wana imani lakini kikubwa wanautambuzi wa mema na mabaya. Wengi wa watendaji kwenye ofisi hii nyeti wameapa kuiilinda nchi ndipo wamlinde kiongozi wa nchi. Ikitokea kiongozi mwenye nchi akaisaliti nchi watu hao lazima watatafuta namna ya kuvujisha taarifa kudhibiti damage.

Kwa muktadha huo naanza kuamini wbado Wapo Wazalendo ikulu ambao pamoja na kukabidhiwa nafasi nyeti wanaweza kutoa taarifa wanazodhani zinaliumiza Taifa ili wananchi wajue na mwenye nchi ajue wananchi wanamjua kuliko anavyojijua.

Kosa lililofanywa na mfumo ni kupambana kuzuia taarifa zisitoke badala yakudhibiti uharibifu wa Taifa letu. Uwekezaji uliofanywa kudhibiti Siri ulikuwa mkubwa na wanufaika wanaweza kuwa ni walewale waliovujisha Siri ndio walipewa jukumu lakujitafuta bila kujua ni vigumi kujipata "

mwisho wa kunukuu
 
Huwezi kuja na theory moja tu bila kufikilia theory nyingine unapozungumzia Jambo fulani, au unapotaka tatua Jambo fulani.

Wenda pia bwana yule kaombwa ushirikiano baada ya kuona hawezekaniki, kutokana na uwezo wake mkubwa, chini ya jua Kuna Mambo mengi, BWANA yule mtandao wake Sio wa dunia hii,ila pia kipaji na uwezo wake binafsi ukiangalia sio wa kawaida
Sisadhani kama kuvujisha siri ni uwezo mkubwa au kuwa na akili. Huyu hana lolote wala chochote. Kwanza si mzalendo. Pili ni Mmbea tu kama wambea wengine, ambae akipata kihabari baada ya kuhabarishwa na vyanzo kadhaa, ambavyo vilikiuka maadili ya kazi yao ndipo nae uvujisha mtandaaoni. Sasa hiyo ni akili gani kubwa hapo? Hana lolote, kwanza muoga, hajiamini. Akili kubwa ujitambua na hawaishi kwa hofu.
Mfano Lisu, alikosoa wazi wazi, aliongea kile asichokiamini, na kupinga. Lissu na wenzie kadhaa waliojitokeza wazi ndo akili na uwezo mkubwa. Si huyu alokuwa anajificha kwa kuelezea umbea. Kule Mara watu kama hawa wanawaona waoga na wasio na uwezo wa akili. Pia nikimnukuu Spika mstaafu, Marehemu Sitta, huyo jamaa japo umemsifia ANATABIA ZA KIKE.
 
Ni vizuri ukajikita kupigania chato kuwa Mkoa. Hayo ya huyo bwana Achana nayo! Mtaishia kuwa na speculations tu veronica france

Mkuu;
Nadhani na wewe ungejikita kwenye hoja inayotokana na mada niliyoileta!

Hayo ya Chato kupigania kuwa mkoa achana nayo!
 
Back
Top Bottom