Baadhi ya watu wanajiuliza kwanini ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu?

Baadhi ya watu wanajiuliza kwanini ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu?

Watakoma, mchawi akila nyama ya mtoto wa jilani ukampa na pili pili, usijetoa mlio siku anatafuna wa kwako.

Kuna kanuni moja kwenye haya mambo inasema, hakuna adui mbaya kama uliyeshirikiana naye kufanya uovu.
Duh! Nilitamani kweli kukuuliza, kwa mifano hiyo wewe mzazi mwenzetu kweli?!?
 
Nimeona sehemu nyingi baadhi ya watu wakijadili kuhusu ''bwana yule'' huku wengine wakimbeza lakini wengine wakiuliza kimetokea nini kwa sasa ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu.

Kwa wasiojua vizuri wameenda mbali zaidi na kudai eti kwa sasa siri za Ikulu zimethibitiwa na uongozi mpya!

Napenda niwasaidie kwa kuwaambia kuwa hakuna siri za Ikulu zilizozibitiwa ila wale waliokuwa wanatoa siri za Ikulu na kuzipeleka kwa ''bwana yule'' kwa sasa ndio hawa ambao wako madarakani. Kwa maana nyingine, kwa sasa ndio walioshika Ikulu/utawala moja kwa moja. Yaani sio tena watoa ushauri bali kwa sasa ni wabunifu na wasimamia utekelezaji.

Biashara yao na ''bwana yule'' ya kumpa siri za Ikulu iliisha siku ambayo Rais Samia aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania!

Haishangazi kuona kwa sasa ''bwana yule'' anawashambulia sana baadhi ya wale waliokuwa wanampa siri za Ikulu baada ya kugundua hawataki tena mahusiano naye. Yaani kwa sasa wamemalizana naye!

Nasikia kwa sasa wale wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu wana mpango wa ''kumnyamazisha'' ili huko mbeleni asije akatumia umaarufu waliomuwezesha wao wenyewe kuichafua serikali yao. Kibaya zaidi, wanamjua vizuri kwa maana kuwa, wanazijua nguvu zake na udhaifu wake(strengh and weakness) kwa sababu ndio walimuwezesha kupata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii. Hata kupata kitambulisho cha ''blue tick'' ilikuwa ni jitihada za baadhi ya wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu.

Baada ya kukosa ushirikiano kwa sasa ''bwana yule'' anafanya jitihada za kuwa karibu na wenyeCHADEMA ili apate uungwaji mkono kwenye mitandao! Kwa wanaofahamu historia ya ''bwana yule'' watajua kuwa huko nyuma hakuwahi kuipenda/kuishabikia CHADEMA hasa hakumpenda Mwenyekiti Mbowe na aliwahi kumshambulia sana akidai mwizi wa pesa za chama.

Huko mwanzo, ''bwana yule'' alikuwa ni mwanaCCM lakini baadaye akawa ''mwanaACT-Wazalendo'' kabla ya ujio wa Maalim Seif na kundi lake! Wakongwe wa siasa nchini wanajua kuwa ACT-Wazalendo ni ''stepping stone'' kwa wanaCCM! Kwa maana nyingine, ACT-Wazalendo ni kama fimbo ya kuchapiana wanaCCM kwa wanaCCM!

Hasira za ''kutoswa'' zinamfanya aanze ''revenge'' kwa waliomtosa kwa kutumia ''platform'' za CHADEMA.

''bwana yule'' anajua bila kupata sapoti ya wanaCHADEMA hawezi kuendelea kuwa ''relevency'' kisiasa katika dunia ya mitandao kwa sababu CHADEMA ni kundi pekee la kisiasa nchini ambalo hajapoteza uungwaji mkono.

Hoja iliyopo kwa sasa ni kujua kama ''kinyago'' walichokichonga walioko madarakani kwa sasa kitawatisha au watakiangamiza kabla hakijaanza kuleta madhara!
Analysis hii inaweza ikawa na ukweli. Ngoja nikupe siri nyingine kwa nini huyu bwana hana nguvu kwa sasa.

Iko hivi: Baada ya kifo cha JPM watu wa mitandao wakarudi Nyuma kidogo na wengine kumuunga mkono Mama. Na wengine wakaacha Siasa kwa mda. Kumbuka umaarufu huendana na nguvu mtu anayoipata kulingana na wafuasi wake. Vile vile bwana huyu alipata ufadhiri mkubwa sana kutoka kwa watu waliokwamishwa na mwendazake.

Kimsingi huwezi sema kwa asilimia mia kwamba bwana yule alikuwa anapata siri za ikulu. Bwana yule alikuwa anatukana tu mara nyingi na anapata umaarufu. Akikosoa tu anapata umaarufu. Sasa hivi hata akitukana watu hawana mpango nae na wengine waliokuwa wanamuunga mkono wanampinga asitukane.

Ni kwamba.. Bwana yule amekosa wa kumuunga mkono.

Kwa sasa anaegemea CDM kwa sababu anaamini ndio watamsaidia kupata umaalufu. Ilikusudi hata akija kutukana ama kukosoa basi wamuunge mkono.
 
Tatizo la Kigogo yeye ana aina yake ya mtu anayetaka awe rais ambaye haexist duniani na hata akiexist bado atatafuta namna ya kumpinga.

Yaani kiufupi anapinga kila kitu, hana jema hata moja!
Mi nanuona kama kichaa tu siku hizi.

Vipi kuhusu hili la kushindwa tena kuvujisha taarifa, je nadharia ya mleta uzi ipo sahihi?
 
Sio kwamba utawala wa Samia umefanikiwa kuzuia siri za serikali zisimfikie Kigogo, issue ni kwamba wale waliokuwa wanavujisha hizo siri awamu iliyopita ndio marafiki wa Samia.

Wameshaona kadri wanavyozidi kujinasibisha na Kigogo ndio chance zao za kurudi serikalini zinavyopotea, now wameamua kukaa kimya ili wakumbukwe na Samia.

Kuna yule mmoja alipigiwa chapuo sana na Kigogo awe VP akaukosa, Kigogo akawa mkali kweli mpaka nikashangaa hasira zote za kuukosa u VP za nini, jamaa walijisahau sana mpaka wakafahamika ni akina nani wanaoendesha hiyo account ya Kigogo.
Jamaa anasema aliyekuwa akimpa taarifa Kigogo ni Samia ama mtu wa karibu na Samia, na sasa wamemtosa Kigogo, amebaki na hasira anamtukana tu Samia
 
All in all, who is s/he?
Kuna mtu mmoja anatumia ID ya Jasusi kule Twitter inaonekana anamfahamu vizuri sana na anafahamu hadi nchi anayoishi kwa sasa kama 'fugitive'. Nenda kafuatilie tweet zake za Aprili na Mei, 2021 utapata habari zake kwa kina
 
Mkuu, Magu hayupo tena.

Kama mrija wako umekatwa, jifunze kula kwa jasho kama wengine.

Mimi mwenyewe namfuatilia huyo unayemsema. Haelekei kabisa kuwa kundi la watu walioshika madaraka sasa hivi.

Mfano wewe sasa hivi kwa maandiko yako, unaonekana dhahiri umetupwa nje.
Sio yeye kashika madaraka bali waliokuwa wanampa siri ndio wameshika madaraka, let say Mwigulu ( mfano tu)
 
Nimeona sehemu nyingi baadhi ya watu wakijadili kuhusu ''bwana yule'' huku wengine wakimbeza lakini wengine wakiuliza kimetokea nini kwa sasa ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu.

Kwa wasiojua vizuri wameenda mbali zaidi na kudai eti kwa sasa siri za Ikulu zimethibitiwa na uongozi mpya!

Napenda niwasaidie kwa kuwaambia kuwa hakuna siri za Ikulu zilizozibitiwa ila wale waliokuwa wanatoa siri za Ikulu na kuzipeleka kwa ''bwana yule'' kwa sasa ndio hawa ambao wako madarakani. Kwa maana nyingine, kwa sasa ndio walioshika Ikulu/utawala moja kwa moja. Yaani sio tena watoa ushauri bali kwa sasa ni wabunifu na wasimamia utekelezaji.

Biashara yao na ''bwana yule'' ya kumpa siri za Ikulu iliisha siku ambayo Rais Samia aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania!

Haishangazi kuona kwa sasa ''bwana yule'' anawashambulia sana baadhi ya wale waliokuwa wanampa siri za Ikulu baada ya kugundua hawataki tena mahusiano naye. Yaani kwa sasa wamemalizana naye!

Nasikia kwa sasa wale wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu wana mpango wa ''kumnyamazisha'' ili huko mbeleni asije akatumia umaarufu waliomuwezesha wao wenyewe kuichafua serikali yao. Kibaya zaidi, wanamjua vizuri kwa maana kuwa, wanazijua nguvu zake na udhaifu wake(strengh and weakness) kwa sababu ndio walimuwezesha kupata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii. Hata kupata kitambulisho cha ''blue tick'' ilikuwa ni jitihada za baadhi ya wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu.

Baada ya kukosa ushirikiano kwa sasa ''bwana yule'' anafanya jitihada za kuwa karibu na wenyeCHADEMA ili apate uungwaji mkono kwenye mitandao! Kwa wanaofahamu historia ya ''bwana yule'' watajua kuwa huko nyuma hakuwahi kuipenda/kuishabikia CHADEMA hasa hakumpenda Mwenyekiti Mbowe na aliwahi kumshambulia sana akidai mwizi wa pesa za chama.

Huko mwanzo, ''bwana yule'' alikuwa ni mwanaCCM lakini baadaye akawa ''mwanaACT-Wazalendo'' kabla ya ujio wa Maalim Seif na kundi lake! Wakongwe wa siasa nchini wanajua kuwa ACT-Wazalendo ni ''stepping stone'' kwa wanaCCM! Kwa maana nyingine, ACT-Wazalendo ni kama fimbo ya kuchapiana wanaCCM kwa wanaCCM!

Hasira za ''kutoswa'' zinamfanya aanze ''revenge'' kwa waliomtosa kwa kutumia ''platform'' za CHADEMA.

''bwana yule'' anajua bila kupata sapoti ya wanaCHADEMA hawezi kuendelea kuwa ''relevency'' kisiasa katika dunia ya mitandao kwa sababu CHADEMA ni kundi pekee la kisiasa nchini ambalo hajapoteza uungwaji mkono.

Hoja iliyopo kwa sasa ni kujua kama ''kinyago'' walichokichonga walioko madarakani kwa sasa kitawatisha au watakiangamiza kabla hakijaanza kuleta madhara!
Hakuna chochote kilichokuwa kinavuja. Ilikuwa anazusha tu na kwa vile watu walibaniwa habari kwa hiyo wakawa wana shadadia uzushi. Take it or leave it...
 
Nimeona sehemu nyingi baadhi ya watu wakijadili kuhusu ''bwana yule'' huku wengine wakimbeza lakini wengine wakiuliza kimetokea nini kwa sasa ''bwana yule'' hapati tena siri za Ikulu.

Kwa wasiojua vizuri wameenda mbali zaidi na kudai eti kwa sasa siri za Ikulu zimethibitiwa na uongozi mpya!

Napenda niwasaidie kwa kuwaambia kuwa hakuna siri za Ikulu zilizozibitiwa ila wale waliokuwa wanatoa siri za Ikulu na kuzipeleka kwa ''bwana yule'' kwa sasa ndio hawa ambao wako madarakani. Kwa maana nyingine, kwa sasa ndio walioshika Ikulu/utawala moja kwa moja. Yaani sio tena watoa ushauri bali kwa sasa ni wabunifu na wasimamia utekelezaji.

Biashara yao na ''bwana yule'' ya kumpa siri za Ikulu iliisha siku ambayo Rais Samia aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania!

Haishangazi kuona kwa sasa ''bwana yule'' anawashambulia sana baadhi ya wale waliokuwa wanampa siri za Ikulu baada ya kugundua hawataki tena mahusiano naye. Yaani kwa sasa wamemalizana naye!

Nasikia kwa sasa wale wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu wana mpango wa ''kumnyamazisha'' ili huko mbeleni asije akatumia umaarufu waliomuwezesha wao wenyewe kuichafua serikali yao. Kibaya zaidi, wanamjua vizuri kwa maana kuwa, wanazijua nguvu zake na udhaifu wake(strengh and weakness) kwa sababu ndio walimuwezesha kupata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii. Hata kupata kitambulisho cha ''blue tick'' ilikuwa ni jitihada za baadhi ya wale waliokuwa wanampatia siri za Ikulu.

Baada ya kukosa ushirikiano kwa sasa ''bwana yule'' anafanya jitihada za kuwa karibu na wenyeCHADEMA ili apate uungwaji mkono kwenye mitandao! Kwa wanaofahamu historia ya ''bwana yule'' watajua kuwa huko nyuma hakuwahi kuipenda/kuishabikia CHADEMA hasa hakumpenda Mwenyekiti Mbowe na aliwahi kumshambulia sana akidai mwizi wa pesa za chama.

Huko mwanzo, ''bwana yule'' alikuwa ni mwanaCCM lakini baadaye akawa ''mwanaACT-Wazalendo'' kabla ya ujio wa Maalim Seif na kundi lake! Wakongwe wa siasa nchini wanajua kuwa ACT-Wazalendo ni ''stepping stone'' kwa wanaCCM! Kwa maana nyingine, ACT-Wazalendo ni kama fimbo ya kuchapiana wanaCCM kwa wanaCCM!

Hasira za ''kutoswa'' zinamfanya aanze ''revenge'' kwa waliomtosa kwa kutumia ''platform'' za CHADEMA.

''bwana yule'' anajua bila kupata sapoti ya wanaCHADEMA hawezi kuendelea kuwa ''relevency'' kisiasa katika dunia ya mitandao kwa sababu CHADEMA ni kundi pekee la kisiasa nchini ambalo hajapoteza uungwaji mkono.

Hoja iliyopo kwa sasa ni kujua kama ''kinyago'' walichokichonga walioko madarakani kwa sasa kitawatisha au watakiangamiza kabla hakijaanza kuleta madhara!
Heard exactly same thing from a reliable source.
 
Waliokua wwnatoa siri nawao walikua hawapendezwi na uongoz Wa mwendazake, kwaiyo walikua wwnafanya kama kmkomoa so ameshakwenda zake hawaitaji tena Ku mvuruga mama
 
Bwana yule anatumia political tactics 3
1) Networking
2) image maintenance
3) information control
Bas watanzania tunamuona Hercules kwel kwel yaan[emoji1787][emoji1787]
 
MHeshimiwa hakuna mahalo Kigogo akitoa Siri za serikali,nakataa.
Hivi mfano,Kusema karatasi za kura za ziada zimechapishwa jamana printers Hiyo Ni Siri ya serikali?
Inawezekana unamzungumzia Kigogo tofauti na anayejadiliwa kwenye hii mada.
 
Kwahiyo huu mpango wa "Bwana yule" pamoja na watu zake waliyokuwa wakimpa hizo siri umefanikiwa kwa kiasi gani? ila hii nchi ina vituko sana watu wanatoa siri za serikali ili kumkomoa rais na mara unasikia simu za watu kurekodiwa na kusambazwa mitandaoni.
 
Kuna kipindi 'bwana yule' alimsema mwenyekiti vibaya tena kwa data. Vijana wa mwenyekiti wakiongozwa na muandishi wa vitabu vya ujasusi kutoka mbutu walimjia juu 'bwana yule' ilifika mahali mpaka wakataja jina lake. Watu wanasahau
Hata kama una ubongo mdogo kiasi gani, huwezi kushindwa kujua waliokua maadui wa 'mwendazake' ni akina nani. System ya kile chama kimejijenga kila mtu ale kwa 'portion' yake. Ila mwendazake aliwapigia pin kimtindo na ndipo bifu likatokea.

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom