Simtetei sabaya ila nacho lalamika ni kwa nini influence ya mtandaoni iyumbishe serikali kiasj waaache kufata mambo ya msingi na kufanya kazi kwa kujishtukiaLia lia tu na sabaya wako. Ndiyo ashakamatwa hivyo hakuna namna, kama wampenda kaungane naye mkuu [emoji28][emoji28]
Uko sawaaaa ni boksiii tupuuu tumeachiwaaaMazeli mazeli mazeli, hamna kitu umeandika mkuu
Fala wewe mtetezi wa haramia sabaya, tulia dawa iwaingie maana mmezoea uharamia unalia lia hapa. Mmetesa watu sana kwa mambo ya kijinga sasa manataka huruma tulia sabaya ndiyo hivyo kesi mahakamani akajitetee huko.Iwaingie ituingieee we falaaa kweliiiii.
Nyie mkakojoe mlale mayatima wa JpmSio ukojoe ulale .
Kama wewe ulivyo fala kipindi cha mama yako.unadeeka mpaka watu wanaiba na kuvamiaaaÚlikuwa mjinga sana enzi babako yupo hai.
Lengo ni kumtetea Sabaya lakini umechelewa. Sabaya hajaanza kuanikwa Leo hapo alipo kajipeleka mwenyewe, kama unaona kaonewa au kakamatwa sababu ya maneno ya mitandaoni nenda kawe wakili maana Leo kakosa hata Wakili.Unataka wafunge uzi mapema kabla ya ujumbe kufikaaa nati zinatakiwa zikazweee
Kupolwa ndo nini mkuu?Lakini ndio ujue ajali barabarani zimeanza, uvamizi pwani huko watawa karibia tisa wamepigwa na kupolwa millioni 2.
Aah wapi kigogo 2014 huyu ni JPM alie changamka hamna lolote paleee hataki jambo lake likwame au akosolewe na sivyo anakuchafuaaa.Kaingia miziki ya unknown assailant
Kwani walioko mtandaoni siyo watu, uliona video za sabaya hujaona? Kama uliona alikuwa akifanya makosa au hakuwa anafanya makosa, kama alifanya makosa nini ulitaka SSH afanye?Simtetei sabaya ila nacho lalamika ni kwa nini influence ya mtandaoni iyumbishe serikali kiasj waaache kufata mambo ya msingi na kufanya kazi kwa kujishtukia
Mfano ni huo wa mpambazi amabae hana kosa mpka.TBS wamemuita kwa mahojiano.
hapa kuna mazeli na mama wewe umemlenga yupi?Kwa kweli mpaka hapa tilipofika hakuna professionalism katila kuendesha nchi kwa sababu zifuatazo :-
Hivi Mazeliii wa nchi amekua mtu wa kusikiliza lawama za mtandaoni na kuamua mstakabali wa nchi ?!
Hivi Mazeliii amekua mpaka aone watu wanalilia jambo fulani ndio aamue lifanyike tena mtandaoni? Yeye kama yeye hashituki ?kutoa mwelekeo kbla mambo hayawa mabovu?
Huyu Mazeliiii ni wa kupangiwa nani afungwe nani asifungwe kweli ? Anajitoa akili kama hakuwepo serikali iliyopita sijui anafanya kufurahisha nini ?
Kweli kuna mapungufu yalikuwepo lakini Raisi wa nchi kawa mwepesi kiasi cha uwezo wake kujadiliwa na mtu mtandaoni na anafata ?
Raisi anashindwa kufanya vetting kwa usahihi hiii ni dhahili apelekeshwe na wala asijione anatusikiliza ! Kama jambo dogo kama hilo hataki kuumiza kichwa kufikia mwafaka no self decisions.
Note : Wananchi wengi wao wanauza matunda, fundi simu, fundi nyumba , wanashona viatu ,machinga, wakulima, wafanyabiashara wa chini na kati(wajasiriamali wadogo wadogo hawa ndio wananchi)
Kundi hapo juu lilitakiwa lipewe haki ya kusikilizwa pia kama hao wa mtandaoni wanavyopewa hio haki kwa sababu hao ndio wanaumia......kwa sababu feud kubwa ya viongozi wa ccm na vyama vya upinzani wasivishwe wananchi !! Kiasi kero zao zisisikilzwe.
Vyama vya upinzani na ccm ni tabaka la juu ambao wanatazama masilahi yao! Na sio wanachi wa kawaida? hao ndio wamekua wasemaji wao lakini ni wanajisemea wao kwa kiasi kikubwa na kujirekebishia njia zao haswa kwa haya yanayo endelea kwa sasa.
Wito wangu kwa Viongozi wakuu wa nchi huu upepo mnaochezeshwa kuanzia Raisi , TRA ,TPA, TBS mkisikia mtu mtandaoni mmekua wepesi sana kushtuka bila kuchunguza vizuri kwa sababu ya kuogopa tunawaomba muwe wajasiri na wachambuzi bila kuogopa mkuu atawaambia nini ? Msiende kwa upepo !.
Nimesikitishwa sana na kitendo cha kigogo 2014 kumpakazia kijana huko twitter anaitwa MPAMBAZI kwamba anasabuni za kemikali na kweli serikali imeshituka sijui huu uoga mmetoa wapi ?
Kijana alikua anamtetea diamond platnumz kwa sababu kawa tofauti na maamuzi ya kigogo 2014 wametuma taarifa mpaka kijana kaitwa " sifa hamu kama watamdhuru "
Ila naona jinsi serikali ilivyochezeshwa ikacheza na team mtandao kuzidi kipimo cha kawaida na sasa wamekua na kichwa kikubwa.
HATUZINDUI MIRADI IMESIMAMA.
WIZI NA UVAMIZI UNAZIDI.
AGENDA YA 2020/2021 to 2024/2025 YA TANZANIA HAONGELEWI.
KILA SIKU COVID 19 INAJADILIWA KUZIDI CHANGAMOTO ZINGINE WAKATI BALANCE INATAKIWA KUWEPO KWA SEKTA ZOTE 24.
AJALI BARABARANI ZIMEANZA KUREJEA TARATIBU HILI JAMBO HALINA TAMKO.
ASKARI WANAUWANA NA KUKAMATANA.
HUDUMA ZINATOKA TARATIBU NA KUSUASUA.
WATU HAWAELEWI MPANGO WA DODOMA UNAENDELEAJE ,? MAANA NI KAMA UMESIMAMA ?
ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI MBONA IMESIMAMA HATUONI UTEKELEZAJI WAKE , HATUONI MABADILIKO YALIYO ORODHESHWA HATUJUI TUPO WAPI TUNAELEKEA WAPI ?
WITO: Mama tunakuomba endelea kufatilia miradi kuna pesa zipo kule watu hawalipwi, miradi imesimama, na pesa inaliwa hapo dar es salaam JPM alitaka kuzindua miradi, hembu ikamilishe uzindue tazama progress,.
Punguza kutazama watu wa mtandaoni focus na ilani ya chama bado mambo hayajatimia na imebaki miaka minne.
Ajira millioni 8 zipo mkonono mwako.
SGR bado ....
Umeme wa nyerere bado...
Mishahara ipande hilo lipo mkononi mwako.
Mama nchi imepoa tukimbilie lengo letu.
Kazi iendeleee lakini sio kizembe.
Nawasilisha.
Hlf wewe unaonekana hujui mambo yalivyoooo stop.talking about kigogo 2014 unamjua kwa story hujafatilia influence yake... hama humu jf mara moja moja zama twitter boss uonee .Unaongea pumba, kigogo angekuwa na influence basi hata baraza la mawaziri lingevunjwa, ally happy asingebaki kwenye URC, makamu raisi asingeapishwa, biswalo asingekuwa judge, na mengine mengi. Sabaya anastahili alichopata
Soma elewa ufahamu umekosa kabisa nimesema ushauri.wa mitaondaoni asikilize lakini usiwe.kwa kiwango kikubwa kuliko fikra zake na wananchi wengine mbona uko zero.Ushauri wetu wa mtandaoni asifanyie kazi aupuuze, ila ushauri wako wa mtandaoni ndo sahihi sana aufanyie kazi si ndiyo?
Haya kaenda sabaya na bado nipo dawa gani.unasema iingie jlf nilicho sema na unacholilia ni vitu viwli tofauti mie.naonglea imfluence wewe unalzmsha.sabayaFala wewe mtetezi wa haramia sabaya, tulia dawa iwaingie maana mmezoea uharamia unalia lia hapa. Mmetesa watu sana kwa mambo ya kijinga sasa manataka huruma tulia sabaya ndiyo hivyo kesi mahakamani akajitetee huko.
Wewe ndiyo unatazama jambo kalisema nani, mimi natazama je alichosema ni kweli. Unakuwa kama wabunge wa ccm wapinzani walipokuwa wakitoa hata jambo lina hoja kisa wapinzani wanalikataa, ndiyo maana juzi nimemskia ndungai anashangaa sheria ilipitaje wakati alikuwa bungeni na heche aliipinga wakamzomea.Hlf wewe unaonekana hujui mambo yalivyoooo stop.talking about kigogo 2014 unamjua kwa story hujafatilia influence yake... hama humu jf mara moja moja zama twitter boss uonee .
Yatima baba yako na mama yako ! Huenda wewe ni yatima au ulikosa mirathi mbona unahasira hivyo.Nyie mkakojoe mlale mayatima wa Jpm
Nani katuachia?.....Ni ujinga kusema Rais anaendesha nchi kupitia post za mitandaoniUko sawaaaa ni boksiii tupuuu tumeachiwaaa
Bado sijajuaKigogo kwenye jukwaa letu hili sijui anatumia id ipi?