Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We huoni point hapo? Mbona mambo hayo anaya weza DC tuu?
Ukisha kuwa mkubwa dili na mambo makubwa makubwa, madogo wabane wadogo watende
Haiwezekani eti kila kiongozi akiingia madarakani anafanya ziara za kushtukiza mahospitalini,masoko na Bandarini!Hizi siasa za kizamani na kishamba sana!!Anapaswa atume wateule mambo yaende!!!HALAFU KURUGENZI ZA IKULU ZINARUSHA LIVE UTOPOLO BILA AIBU!!NI BORA YANGEFANYIKA GIZANI HAYA YOTE!!!
Huyu anataka Nchimbi au JM ndio wawe rais. Hana lolote isipokuwa ni agenda za kupata nguvu na kutawala na kula na kuvimbiwa.View attachment 1808101
Huyu jamaa hana jema hata umlambe nnya ye kwake kila kitu ni vibaya kila kitu kibaya atakua na maisha ya stress sana huyu fala
Nimeshtuka huyo sio mtanzaniaKila mtanzania ana haki ya kutoa maoni. Yeye(wao) wametoa mawazo yao...
Anakera sana, kwa kifupi hana akili.... Ana kaugonjwa ka ubongo labdaHuyu jamaa ni mpumbavu...haeleweki anataka nini
Yaani anaweza kusheherekea sabaya kubanwa na uongozi wa SSH ila dk chache tu akaanza kubwabwaja tena kuwa MAMA ni dhaifu anakumbatia uonevu na blah blah nyingine.Anakera sana, kwa kifupi hana akili.... Ana kaugonjwa ka ubongo labda
Siku hizi jamaa ni kama "da mange".View attachment 1808101
Huyu jamaa hana jema hata umlambe nnya ye kwake kila kitu ni vibaya kila kitu kibaya atakua na maisha ya stress sana huyu fala
Huyu jamaa ni mpumbavu...haeleweki anataka nini
Mimi kwenye sakata la kuteua VP ndo niligundua sio kwamba ni mzalendo wala nini..ni mjinga mmoja mwenye personal interest zake.Halafu anajikulia kama vile yeye ndo mwenye akili kupita watanzania wote.
tupe ushahid kuwa alinyimwa cheo.Nilishamdharau siku nyingi tu huyo mhanga wa kunyimwa vyeo
Lakini ana msaada au sio.View attachment 1808101
Huyu jamaa hana jema hata umlambe nnya ye kwake kila kitu ni vibaya kila kitu kibaya atakua na maisha ya stress sana huyu fala