Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma hawajapata mshahara

Mshahara WA mwezi WA saba Na sasa mwezi WA saba nyambafutoa post
 

Kabla ya kulalamika na kuulizia Mshahara je umeshathibitisha kama hao wasiopata wana Vyeti halali vinavyotakiwa na Serikali?
 
*Kwa Mara ya kwanza serikali imelipa mshahara kwa watumishi wote wa umma kwa wakati mmoja Leo kupitia Mfumo wa GSPP Ni vema kila mtumishi aangalie salio la mshahara. Ukiona hujapata mshahara ujue sababu zifuatazo zinaweza changia; Akaunti ya benki Ina shida, majina hayafanani na akaunti, majina matatu kufanana na mtumishi mwingine wa umma au Vyeti Feki.*

[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
Mcheki salio zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…