Baba adaiwa kumuuza mtoto, asafirishwa kwenda Canada, mama abaki analia akizunguka kuomba msaada

Hapa hakuna shida yoyote ila kama mjuavyo kawaida ya wabongo ni kukuza mambo.
acha mtoto akasome elimu bora na kupata maisha bora.
kamwe mwenye asili haachi asili yake.
baba wa mtoto ana busara ndio maana ameamua kuluzungumzia suala hili kwa uwazi bila kuficha hata nukta.
MWacheni mtoto akale maisha canada
 
Yaani mijitu iko serious inajikuta imeelimika na kustaarabika inatetea upumbavu kama huu,
Ingieni labor ndo mtajua thamani ya mtoto, eti 'atakuja kuisaidia familia' , mama anayejua thamani ya mtoto hawezi kufanya huo upuuzi bora afe na umaskini wake, halafu riziki haipo mikononi mwa muhindi riziki popote.
Eti ushamba sijui umaskini nyie mnaotetea ndo washamba na maskini wa roho hata kama mna za kubadilishia mboga
 
Huyo mtoto ndio mrithi wa benefit zote za huyo muhindi in case amefariki.

Yani ukisikia wanaadapt mume unitonye tu.
Nahisi huyu dada hana uwelewa huo, hajui kwamba hiyo ndio njia moja wapo ya kuuaga umasikini.
Hha kuu unataka kuadaptiwa, mbona yapo majimama na yanajitokezaga yanatafuta wanaume wa kuwaleleka nje huko kazi ni moja tu "kumfurahisha" mengine kuhusu maisha anashugurikia yeye😃😃
 
Na hawa wanaotupa vichanga vyao huwa wametoka TLP?

Hovyo, yani unadhani sisi siyo Wazazi?

Ndio maana umaskini hautakaa uishe Tanzania maana kuna umaskini unawapendeza sana.
 
Kama umesoma hiyo story utakuwa umeelewa vizuri, nia ni njema kabisa na kwa wanaojuwa mchakato wa kuasili mtoto Tanzania si mchakato wa kitoto kama wengi wanavyodhani, wangeshachukuliwa wengi tu kwenye vituo vya Watoto yatima.
Kwenye hili suala huyo mwenye mtoto angetumia akili kuliko hisia kwa wakati huu
Mtoto ameota mpaka kitambi asubiri arudishiwe akakae nae makoroboi
 
Tangu lini muhindi amkapenda muafrika?
Kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia ,huyo dada achunguzwe .
 
Wengi hua hawaelewi na kikubwa mtoto atakua na future nzuri tena nchi yenyewe canada, huyo mama atulie tu dogo atakuja kumlaumu baadae akijua mama alizingua
Huyu dogo akiambiwa anarudi mazima naamini atalia mpka kitambi kitayeyuka
 
Hakuna Cha labour ,usituaminishe uongo ambao hamunyi .umezungumza Kwa mtazamo wa aina Moja kana kwamba wanawake wote waliozaaa Wana uchungu na watoto na kitu ambacho hakipo
Just imagine na wewe jiulize
1. Ni mara ngapi watu wanapenda labour Bado mtu anadumbukiza mtt chooni
2.ni mara ngapi mwanamke anamfanyia mtoto matendo ya kikatili
3. Binadam usimuamini kama uwazavyo


Anaweza akaongea uongo au asiongee uongo
 
Ona akili za maskini zinavyowaza, mnaelewa procedures za kuadapt mtoto Tanzania?
Wewe akili yako inawaza pesa tu Wala huwazi upendo wa mzazi kwa mwanae? Mtoto bado mdogo tena inaweza ukakuta wana mtoto huyo tu pekee.

Kwa akili zako za kijinga umewaza pesa tu, si ajabu ingekuwa wewe ungeombwa hata MATAKO ungetoa tu.
 
Na hawa wanaotupa vichanga vyao huwa wametoka TLP?

Hovyo, yani unadhani sisi siyo Wazazi?

Ndio maana umaskini hautakaa uishe Tanzania maana kuna umaskini unawapendeza sana.
Umasikini haumalizwi kihivyo sema we ndo unamawazo ya kimaskini afu muoga wa maisha. Uza wanao kama kweli unao
Wangapi wamelala chumba kimoja na mbuzi, kuku na saivi wametusua maisha, kusikia canada ndo unaona kutoboa wangapi wameenda huko wamerudi mateja wengine mashoga, baki na ujinga wako usinishirikishe.
Mwanaume kamili anayejiamini mwenye mbegu zake na mwenye imani hawezi fanya huo uduanzi, labda bwabwa tu anaweza kuwa na mawazo mgando hivyo
 
Tangu lini muhindi amkapenda muafrika?
Kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia ,huyo dada achunguzwe .
Inategemea mkuu, wataka kuniambia hilo jambo alilolitaka kulitelekeza ni tangia mtoto akiwa na mwaka mmoja akamkuza mpaka umri wa miaka 7 ndio atimize mission yake baada ya muda wote huo? Actually mhindi anamtaka mtoto kwasababu hana mtoto, hajawahi kuzaa maisha yake yote na wala hana mwanaume
 
Huyu dogo akiambiwa anarudi mazima naamini atalia mpka kitambi kitayeyuka
Hawezi kurudi, Canada ndio Nyumbani kwa human Rights.

Kuna mwaka walileta ndege kubwa Tanzania ikawachukuwa wakimbizi wengi sana wa Burundi makambini na kuwapeleka Canada.

Huyo muhindi ana haki zote za kisheria kumlea huyo mtoto, na wazungu huwezi kuwaconvice eti Canada na Tanzania huyo mtoto atapata matunzo na elimu bora Tanzania.

Imeenda hiyo.
 
Hao wanawake wanaofanya hivyo mara nyingi ni ugumu wa maisha na amekimbiwa na mumewe na hajui atamlisha nini huyo mtoto.
 
Naona hapo mmoja wa wazazi ametumia mihemko badala ya kutumia hekima. Wazazi useless.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…