Baba anataka kunidhulumu Nyumba yangu. Kesi bado inanguruma Mahakamani

Baba anataka kunidhulumu Nyumba yangu. Kesi bado inanguruma Mahakamani

sasa unataka babako akae wapi ndugu....BABAko namkubali.....na angalizo kwetu.....hawa WATOTO tunaowalea kimapepe......mazao yake ndio HAYA......
 
Hiyo kesi utapoteza nakwambia, ila kama ukiendelea kupanic hivyo, keshi iko upande wako ila baba yako kakuzidi akili sana,
Haileti maana kuwa hujui ukubwa wa kiwanja chako na pia hujui fundi alieijenga, ata kama ipite miaka 40 lazima fundi wa nyumba yako pendwa akumbukwe sio vitu vya kuuliza, na ata ipite mda gan huwezi kusahau kuwa umenunua nyumba hiyo kwa nani, yawezekana kweli kiwanja ni cha mzee tangu awali na ww ulifatilia hati na kumtumia mzee hella ya kujenga kidogokidogo na hukuhusika direct kujenga
Kuna vitu vingine havisahauliki
Mzee kakushinda akili na utulivu, watu wengi wanaopanic ndo huwa mnapoteza kesi na huyo mzee anaonekana kabisa ana haki yake pia

Ata mchanganuo uliotoa pia umebase upande wako tu na ili tukuonee huruma, upande wa pili hujasema
Na pia hujatueleza stori nzima imekuaje
We kilichokuuma ni kukosa milion40 na si kuhusu mzee kuoa, kuuza viwanja vyake ni atapata hella kubwa sana kulko hyo na kutoa mahari na wenda ata hujui katoa sh ngapi

Kuna jinsi ya kuishinda hyo keshi nikikueleza, ila wacha mpambane maana mzee pia inaonesha ana haki yake, mtoto wa miaka 22 huwez ukawa umenunua kiwanja
Ata mzee akileta watu ishirini na moja ndo mmiliki kabla hutaweza kumtambua
Tatizo kubwa ni nia ovu ya kuuza nyumba. Wewe unauza nyumba kumuadhibu baba yako kwa kuuza viwanja na kumuacha mama yako na kuoa mke wa pili. Invyoonekana wewe umeishaingia kwenye ugomvi wa mama yako na baba yako. Mama yako kakushawishi umeadhibu baba yako kwa kuuza nyumba ili adhalalike na mke mdogo. Inaonekana wewe ni mtoto mwenye visasi na humpendi baba yako. Hivi ni kweli unataka baba yako akose pa kulala eti kwa vile kao bi mdogo! Ungekuwa unauza nyumba kulipa deni, ningekuelewa. Hivi wewe, baba yako angeacha kukupeleka shule na kukupa elimu iliyokupa mwanga wa kutafuta ungekuwa wapi.

Kumbuka kama ni mipangilio ya kawaida ya Mungu, hiyo nyumba baba yako ataiacha, kwa nini umdhalalishe? Acha matatizo ya mama yako na baba yako yawe yao, usiingilie kwa kumuadhibu baba yako. Mtoto mbaya kweli wewe, au ndiyo MAMA BOY. AIIIBU
 
Tatizo kubwa ni nia ovu ya kuuza nyumba. Wewe unauza nyumba kumuadhibu baba yako kwa kuuza viwanja na kumuacha mama yako na kuoa mke wa pili. Invyoonekana wewe umeishaingia kwenye ugomvi wa mama yako na baba yako. Mama yako kakushawishi umeadhibu baba yako kwa kuuza nyumba ili adhalalike na mke mdogo. Inaonekana wewe ni mtoto mwenye visasi na humpendi baba yako. Hivi ni kweli unataka baba yako akose pa kulala eti kwa vile kao bi mdogo! Ungekuwa unauza nyumba kulipa deni, ningekuelewa. Hivi wewe, baba yako angeacha kukupeleka shule na kukupa elimu iliyokupa mwanga wa kutafuta ungekuwa wapi.

Kumbuka kama ni mipangilio ya kawaida ya Mungu, hiyo nyumba baba yako ataicha, kwa nini umdhalalishe? Acha matatizo ya mama yako na baba yako yawe yao, usiingiloie kwa kumuadhibu baba yako. Mtoto mbaya kweli wewe, au ndiyo MAMA BOY. AIIIBU
Unanambia mimi au mtoa mada!???
 
Unajua ni kama kulipa kodi ya nyumba kisha ukafurahi na kujisahau kwa kuona umemkomesha mwenye nyumba wako kumbe badae utatakiwa kulipa tena kodi!
 
Back
Top Bottom