Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Kwani MAMA yako anasemaje kuhusu Askofu?Hivi huyo anayejiita Askofu anahubiri dini au anafanya siasa? Achague moja, au ni msemaji wa CHADEMA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani MAMA yako anasemaje kuhusu Askofu?Hivi huyo anayejiita Askofu anahubiri dini au anafanya siasa? Achague moja, au ni msemaji wa CHADEMA?
Hivi wabunge siyo wanasiasa? Hivi maaskofu na wachungaji kule bungeni hufanya kazi gani kule? Wanahubiri dini au siasa?Hivi huyo anayejiita Askofu anahubiri dini au anafanya siasa? Achague moja, au ni msemaji wa CHADEMA?
Kama hawa walivyokuwa wanafanya. Mtumishi anayejiita wa Mungu na hapiganii haki huyo ni wakala wa shetani tuHivi huyo anayejiita Askofu anahubiri dini au anafanya siasa? Achague moja, au ni msemaji wa CHADEMA?
Bila mtutu wa Magu ambaye naye Mungu kamtupa kuzimu haya yote yasingetokea.CHADEMA hamsomeki, hakuna vision wala mission, mnaendesha Chama kama familia ya mtu.
Uonevu na uzandiki ndio kazi yenu, hao akina mama mlikuwa mnawabania ili iweje?
Achana na huyo kimeo wa magu maiti ya kuzimu. Muulize Lwakatare alikuwa nani na Gwajima anafanyanya nini bungeni?Hivi wabunge siyo wanasiasa? Hivi maaskofu na wachungaji kule bungeni hufanya kazi gani kule? Wanahubiri dini au siasa?
Kazi kweli huyo jamaa hajielewiUnampangia kama nani? Angeisifia ccm ungekuja toa shombo hum?
Sisi hatuiti hivyo tunaita BUSARAMatusi ya kidini ni hatari sana
Wewe si chawa wa maiti ya sasa?Mwamakula ni chawa wa lisu
acha ukicheza na viongozi wa kiimani utapata laana mi namkubali sana huyo askofu japo mi ni muisilamuHivi huyo anayejiita Askofu anahubiri dini au anafanya siasa? Achague moja, au ni msemaji wa CHADEMA?
Sukuma Gang naona mnaanza kuchangamka. Vipi mmepewa mchongo mpya?Hivi huyo anayejiita Askofu anahubiri dini au anafanya siasa? Achague moja, au ni msemaji wa CHADEMA?
Tuweke itikadi za vyama pembeni, kiukweli Job Ndugai ni mwehu. Taifa halijawahi kuwa na Speaker Wa Bunge kigeugeu na mvunjaji wa katiba kama Job Ndugai (Mwehu).
Haendeshi bunge kisomi kama Speaker, anaendesha bunge kama kiranja wa darasa la tatu.
Siku za Ndugai kuendelea kuwa spika zinahesabikaHahahaaaa...... Animal Farm?
Matusi ya kidini ni hatari sana bwashee!
Eda imeishaSukuma Gang naona mnaanza kuchangamka. Vipi mmepewa mchongo mpya?
Astaghafilullah !Ukigoogle side effects za madawa fulani ya kurefusha siku haya yametamkwa! Ugonjwa umekimbilia juu...kuna mbaba miaka ya 2000's alikua anatembea na mahotpot...(serious) ugonjwa ulimpanda kichwani
Hopeless argument. Hivi ukiwa Askofu, unaacha kuwa binadamu?Hivi huyo anayejiita Askofu anahubiri dini au anafanya siasa? Achague moja, au ni msemaji wa CHADEMA?
Achague moja, kuwa mwanasiasa au Mchungaji. au msemaji wa cdmHopeless argument. Hivi ukiwa Askofu, unaacha kuwa binadamu?