Baba Askofu Bandekile Mwamakula asema inawezekana Job Ndugai alisoma Kitabu cha Animal Farm

Baba Askofu Bandekile Mwamakula asema inawezekana Job Ndugai alisoma Kitabu cha Animal Farm

Achague moja, kuwa mwanasiasa au Mchungaji. au msemaji wa cdm
Hivi mtu kutoa mawazo yake, tayari amekuwa mwanasiasa? Unaweza kutoa definition ya mwanasiasa?

Alichokisema huyo Askofu ni kuonesha undumilakuwili na unafiki wa Ndugai. Kuonesha unafiki wa mtu, kunamfanya mtu kuwa mwanasiasa?
 
Siasa ni IMANI kama ilivyo dini.. Kuna mstari mwembamba sana kati ya dini na siasa.. Waumini wa dini ndio hao hao wafuasi wa siasa kinachobadilika ni majina na maeneo
Siasa na Dini havitengamani
 
Hivi mtu kutoa mawazo yake, tayari amekuwa mwanasiasa? Unaweza kutoa definition ya mwanasiasa?

Alichokisema huyo Askofu ni kuonesha undumilakuwili na unafiki wa Ndugai. Kuonesha unafiki wa mtu, kunamfanya mtu kuwa mwanasiasa?
Kwa unavyotoka mapovu kwa huyo askofu, utakuwa kondoo wa Baba mchungaji.
 
Animal Farm is an allegorical novella by George Orwell, first published in England on 17 August 1945.[1][2] The book tells the story of a group of farm animals who rebel against their human farmer, hoping to create a society where the animals can be equal, free, and happy. Ultimately, however, the rebellion is betrayed, and the farm ends up in a state as bad as it was before, under the dictatorship of a pig named Napoleon.
Mkuu kweli umesoma vitu vingi. Hongera sana.
 
"Mwanakondoo ameshinda tumfuate"
haya maneno sio ya ki spoti spoti
 
Je mliokisoma kitabu hicho mliona nini kwenye maandishi yake ? hebu tusimulieni na sisi wengine tuelewe .

====

Inaonekana Spika Ndugai alisoma kitabu cha Animal Farm! Bunge chini ya uongozi wake halikumpa Tundu Lissu nafasi ya kusikilizwa na kujitetea, lakini alihoji akiwa katika Bunge hilo hilo chini ya uongozi wake kama kumi na kenda wa CHADEMA walipewa muda wa kusikilizwa na kujitetea!

Askofu mwenyewe mjinga tu huyo, hana lolote hata ,waumini wake wajitafakari kuhudhuria mahubili yake, anakaribia kuwa KICHAA...
 
Je mliokisoma kitabu hicho mliona nini kwenye maandishi yake ? hebu tusimulieni na sisi wengine tuelewe .

====

Inaonekana Spika Ndugai alisoma kitabu cha Animal Farm! Bunge chini ya uongozi wake halikumpa Tundu Lissu nafasi ya kusikilizwa na kujitetea, lakini alihoji akiwa katika Bunge hilo hilo chini ya uongozi wake kama kumi na kenda wa CHADEMA walipewa muda wa kusikilizwa na kujitetea!

MWANA SIASA ALIYEKULA HELA ZA MABEBERU HUYU ANAHAHA JINSI YA KUZILIPA MWENZIO LISSU YUKO HUKO KAOLEWA ANALIPA
 
CHADEMA hamsomeki, hakuna vision wala mission, mnaendesha Chama kama familia ya mtu.
Uonevu na uzandiki ndio kazi yenu, hao akina mama mlikuwa mnawabania ili iweje?
Huo upendo wa kuwapa ubunge mliutoa wapi baada ya kuwapora majimbo ?!
 
Hivi huyo anayejiita Askofu anahubiri dini au anafanya siasa? Achague moja, au ni msemaji wa CHADEMA?
Imepenya hiyoooo... pyuuuu...!😂
Baba Askofu kapiga panyewe.
Wajane mna visa sana.
 
Je mliokisoma kitabu hicho mliona nini kwenye maandishi yake ? hebu tusimulieni na sisi wengine tuelewe .

====

Inaonekana Spika Ndugai alisoma kitabu cha Animal Farm! Bunge chini ya uongozi wake halikumpa Tundu Lissu nafasi ya kusikilizwa na kujitetea, lakini alihoji akiwa katika Bunge hilo hilo chini ya uongozi wake kama kumi na kenda wa CHADEMA walipewa muda wa kusikilizwa na kujitetea!

huyu askofu anapenda sana tundu, sijui alifanywa nini? halafu huyu sio askofu kabisa.
 
Hivi huyo anayejiita Askofu anahubiri dini au anafanya siasa? Achague moja, au ni msemaji wa CHADEMA?
labda unashindwa kuelewa nini maana ya mtumishi wa mungu,na endapo ungeelewa basi usinge bandika bandiko lako hapa
 
Animal Farm is an allegorical novella by George Orwell, first published in England on 17 August 1945.[1][2] The book tells the story of a group of farm animals who rebel against their human farmer, hoping to create a society where the animals can be equal, free, and happy. Ultimately, however, the rebellion is betrayed, and the farm ends up in a state as bad as it was before, under the dictatorship of a pig named Napoleon.
You nailed it Mshana!The most famous quote in the book is:All animals are equal,but some are more equal than others.
 
Back
Top Bottom