Baba JPM hajafa ila amelala ufunguzi wa ikulu leo alikuwepo japo hakuongea😭🤐

CHEKIBOBU KIKWETE namsubiri nione ataishia wapi.

Nikimuangalia usoni naona kama amechanganyikiwa, ana hofu, amejaa ajenda-mficho na udanganyifu.

Let's hope i am wrong.
Unamsubiri ataishia wapi! Kwani ww na JK nani atatangulia kuondoka?
 
Akili zoko mbovu huyo ni muhuni wa taifa maelfu ya vijana wa tz wameuliwa na huyo ..kwa madawa ya kulevya ...huyo ni member wa genge la wauza ngada duniani linalo tumia njia za kupandikiza viongozi serikalini hasa kwa nchi masikini ili kufanikisha biashara zao
 
Marais waisiharamu ndiyo wabovu hapa tz wewe chunguza tu ni maraisi gani wanalamba makario ya wazungu na waarabu hapa tz
 
[emoji28][emoji28] we lipumbavu sana, alafu mkiambiwa vyeti feki mnakataa ona ulivyo andika, ivi unajua hiyo 12" down maanayake nini?.
Humjui mwenye cheti feki wewe! Muulize Ben sa8. Usijizime data, cheti feki keshaozeana huko Chato na liPhd feki lake
 
Waanzishe kanisa lao tu
 
Haaa wapi wahuni kwisha habari yenu kwa sasa hivi watz wameamka baada ya kushuhudia huu upumbavu toka kifo cha jpm
Maisha ss hv ni vicheko tu bongo bila ya shetani lenu
 
Chuki zako kwake hazimpunguzii chochote.
Anazidi kunawiri tu.
 
Chuki tu hizo.
 
Tena kwa chuki hizi jihesabu mgonjwa wa sonona muda si mrefu. Jk ni gentleman bora kabisa na atasalia kuwa hivyo despite chuki zenu.
 
Mbona unateseka sana tatizo nini? Au zile ramli Kwa Sasa hasifanyi kazi?
 
Mbona kikwete, alimtaja magufuli, na akasema magufuli ndio alifanya msukumo mkubwa katika ujenzi wa ikulu kuliko wao waliopita, mtoa mada atakua na shida zake.
 
Katika hotuba yake Rais Samia kamtaja mara kadhaa na kuelezea vizuri mchango wake, na kuhitimisha kwa mumwombea raha ya milele na pumziko la amani.
Sa watu wanalalamika nini,Yani wanatakaje? Mi nilijua hajatajwa kabisa huko maana sijafuatilia..
Ila wabongo walitakaje kwani?
 
Tangu umepata shavu kwenye ule mradi wa Bashe hapo Dodoma umeongeza kasi ya ku chat
 
Tena kwa chuki hizi jihesabu mgonjwa wa sonona muda si mrefu. Jk ni gentleman bora kabisa na atasalia kuwa hivyo despite chuki zenu.
Nyie endeleeni na biashara yenu ya kuuza ngada tu na kuua tembo weru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…