Baba Levo : Niko tayari kumtambulisha Mondi nyumbani kwetu, wanaume wote Kigoma tuko hivi

Baba Levo : Niko tayari kumtambulisha Mondi nyumbani kwetu, wanaume wote Kigoma tuko hivi

Kama uliwahi kusikia kwamba binadamu zamani walikuwa sokwe, basi ujue ni watu wa Kigoma, ndio maana mpaka leo kule kwenye hifadhi ya taifa ya Gombe kuna Waha wengine wamebaki huko tu wananyeshewa mvua.
Nahunga mkono maoni haya hawa majamaa utasema bushman

Kule jangwani namibia
 
Last time nimeangalia youtube habari ya diamond inatrend labda uniambie hao wengine wanatrend kupita kupita maelezo umewaona wapi, harmonize ametoa wimbo sijaona hayo matokeo chanya ya kutrend kwake kwenye wimbo.
Sawa laazizi wa WCB ...sasa nakutuma kwa WCB waambie ikiwezekana warekodi mkanda wa X nasibu akimkuna huyo baba levo labda ndio somo litaeleweka vizuri
 
Huo siyo utani bwashee.

Yapo mambo ya kutania lakini siyo hili la mtu kujitangaza anapumuliwa.

Na msisahau kuwa baba Levo amewahi kuishi jela, labda ndio sababu!
Aisee duhh

By the way, wewe ni mtu kama sikosei wapili unaelezea issue ya jamaa kukaa jela

Alikutwa na kosa gani? Amekaa jela muda gani?

Vipi huyo levo, (mtoto wake) yuko wapi alishawahi kumuonyesha? mama levo je?
 
Hizo ni KIKI tu mpumbavu yeye

WCB wameona Ali na Harmo wana trend kupita maelezo, nasibu akaona isiwe nongwa wacha ampigie huyo falah amwambie sasa Fanya hivi sema utakwenda kunitambulisha kigoma
Wewe unaweza ukatafuta KIKI kwa kupakuliwa?

Kaanza kujipaka kalikiti kwenye nywele mkasema ni kiki tu.

Akaanza kujipaka lips bam sijui, mkasema ni Kiki.

Akaanza kujilamba lips, mkasema ni kiki.

Akaanza kuvaa vi-tshirts vyepesi vyepesi, mkadai ni kiki.

mabega yakapanda juu na kifua kuinuka kwa mbele kidogo, mkadai ni kiki.

Akatamani kuzalishwa na mwanaume mwenzake, mkadai ni Kiki.

Sasa hivi ataka akamtambulishe mwanaume kwao, bado mnadai ni kiki.
 
Katika hali ya kushangaza baba Levo ameulizwa yapi maoni yake kwa wanaomuita chawa?.
Jamaa kasema hana muda na watu hao na muda wowote ule atampeleka Diamond nyumbani kwao Kigoma kwenda kumtambulisha. Pia amesema mambo anayoyafanya ni sample tu ya vijana wa Kigoma kwa hiyo watu wasishangae sana.
Jamaa huyo pia alisema yuko tayari kumzalia hata mtoto rais wa wasafi.
Watu wa Kigoma njooni tubishane kwenye huu uzi.
 
Back
Top Bottom