Baba Levo : Niko tayari kumtambulisha Mondi nyumbani kwetu, wanaume wote Kigoma tuko hivi

Baba Levo : Niko tayari kumtambulisha Mondi nyumbani kwetu, wanaume wote Kigoma tuko hivi

Naona jomba kiwango chako cha kujiamini kipo chini kiasi kwamba unategemea matusi na kejeli kujibu hoja. Pitia comment yako ya kwanza , jibu langu kwako na jibu lako tena kama vinaendana au ulikurupuka tu.
We naye usinichoshe atiii nenda kapigwe miti na wachawi huko yakheee
 
Nonsense


Wew akili yako inavyo load baba levo anauwezo wakuzaa🤔😅😆
Katika hali ya kushangaza baba Levo ameulizwa yapi maoni yake kwa wanaomuita chawa?.
Jamaa kasema hana muda na watu hao na muda wowote ule atampeleka Diamond nyumbani kwao Kigoma kwenda kumtambulisha. Pia amesema mambo anayoyafanya ni sample tu ya vijana wa Kigoma kwa hiyo watu wasishangae sana.
Jamaa huyo pia alisema yuko tayari kumzalia hata mtoto rais wa wasafi.
Watu wa Kigoma njooni tubishane kwenye huu uzi.
 
mzeewangu alishawah kunambia hata kama mwanaume mwenzako amekusaidia nusu ya maisha yako hupaswi kumsifia sifia,ni kosa kubwa sana
 
Kweli?
Kama uliwahi kusikia kwamba binadamu zamani walikuwa sokwe, basi ujue ni watu wa Kigoma, ndio maana mpaka leo kule kwenye hifadhi ya taifa ya Gombe kuna Waha wengine wamebaki huko tu wananyeshewa mvua.
 
Aibu nmeona mimi[emoji26]
1119491084.jpg
 
Back
Top Bottom