Baba Levo : Niko tayari kumtambulisha Mondi nyumbani kwetu, wanaume wote Kigoma tuko hivi

Naona jomba kiwango chako cha kujiamini kipo chini kiasi kwamba unategemea matusi na kejeli kujibu hoja. Pitia comment yako ya kwanza , jibu langu kwako na jibu lako tena kama vinaendana au ulikurupuka tu.
We naye usinichoshe atiii nenda kapigwe miti na wachawi huko yakheee
 
Nonsense


Wew akili yako inavyo load baba levo anauwezo wakuzaa🤔😅😆
 
mzeewangu alishawah kunambia hata kama mwanaume mwenzako amekusaidia nusu ya maisha yako hupaswi kumsifia sifia,ni kosa kubwa sana
 
Kweli?
Kama uliwahi kusikia kwamba binadamu zamani walikuwa sokwe, basi ujue ni watu wa Kigoma, ndio maana mpaka leo kule kwenye hifadhi ya taifa ya Gombe kuna Waha wengine wamebaki huko tu wananyeshewa mvua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…