We naye usinichoshe atiii nenda kapigwe miti na wachawi huko yakheeeNaona jomba kiwango chako cha kujiamini kipo chini kiasi kwamba unategemea matusi na kejeli kujibu hoja. Pitia comment yako ya kwanza , jibu langu kwako na jibu lako tena kama vinaendana au ulikurupuka tu.
Katika hali ya kushangaza baba Levo ameulizwa yapi maoni yake kwa wanaomuita chawa?.
Jamaa kasema hana muda na watu hao na muda wowote ule atampeleka Diamond nyumbani kwao Kigoma kwenda kumtambulisha. Pia amesema mambo anayoyafanya ni sample tu ya vijana wa Kigoma kwa hiyo watu wasishangae sana.
Jamaa huyo pia alisema yuko tayari kumzalia hata mtoto rais wa wasafi.
Watu wa Kigoma njooni tubishane kwenye huu uzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaqh lolEeeeeh basi yakheeeee kamaaa yote haya ya kwakeeeee basi aletwe pwani huyoooo atiii tumtieeee kwa nyuma basiiii
Kama uliwahi kusikia kwamba binadamu zamani walikuwa sokwe, basi ujue ni watu wa Kigoma, ndio maana mpaka leo kule kwenye hifadhi ya taifa ya Gombe kuna Waha wengine wamebaki huko tu wananyeshewa mvua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Noma sana!
Itakuwa ndio Kigoma IndependentHawafirani kweli hawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu ukute kweli ni yeye.Itakuwa ndio Kigoma Independent