Baba Mkwe simwelewi. Naona kama vile kuna sehemu hayupo sawa. Tusaidiane wajameni

Ni hivi namsikitikia baba mkwe wako na pia mke wako. Sasa kama una elimu ya kutengeneza pesa si utengeneze zako.
 
We ndio mwenye akili na elimu kubwa bado inategemea mali za Urithi tena ambaye sio Baba yako?
 
Mimi hakuna sehemu nimekutukana. Nimesoma nina Degree IFM na Diploma CBE unadhani ni kama wewe kilaza. Mi natoa ushauri wa kitaalamu wa mambo ya fedha.
Baba ako amekupa nn?
HIyo cv yako haijakusaidia chochote, kam sio wa Tanga wew utakuw njia ya temeke mbagala ndio mkoan kwenu
 
Ainu kubwa sanaa mwanaume kukomaa na mali za wakwe...pambana kivyako ...aibuuuuu kubwaaaa
 
Huyo mzee awe makini msije mkamuua bure
 
Wewe umemuoa mke wako kwa sababu unampenda au kwa sababu unataka kutumia mali za urithi kutoka kwa baba yake?
 
We fala kweli.
Kumbe umeowa ukitegemea kitonga cha urithi wa mkeo.
Boya we
 
Ushauri wa kitaalamu😳😳
 
Pumba tu za kufurahisha kijiwe.
 
Nimejikuta nacheka mwenyewe hapa,man kwanni unaona Kama hautendewi haki?.japo kwa picha ya baadae akiishiwa mshua atakutegemea kwa namna moja au nyingine.pia labda mshua amesha kuona unajitambia kishule chako,Sasa tumia kishule chako ku-money.
 
Baba ako amekupa nn?
HIyo cv yako haijakusaidia chochote, kam sio wa Tanga wew utakuw njia ya temeke mbagala ndio mkoan kwenu
Mimi Tanga Muheza.unasemaje?acha ubaguzi wa kikabila dogo. Baba yangu amenipa ilimu ndo maana nipo hapa na nataka tumua ilimu kusaidia na wengine
 
We fala kweli.
Kumbe umeowa ukitegemea kitonga cha urithi wa mkeo.
Boya we
Sikutegemea ila kama upo kwa nini mke asipewe akafie mbele?tufanye mambo ya msingi maana huyu mzee atakuja kutaka kuja kulelewa hapo baadaye tusije laumiana tu.
 
Je una taarifa kuwa nae alipewa hizo Mali?
Kumbe ulioa binti yake ili kusubiri pesa ya kustaafu ya baba yake!
Una tatizo ambalo usipobadilika utamumuacha mkeo na kwenda kutafuta kiinua mgongo sehemu nyingine
 
Nimejikuta nacheka mwenyewe hapa,man kwanni unaona Kama hautendewi haki?.japo kwa picha ya baadae akiishiwa mshua atakutegemea kwa namna moja au nyingine.pia labda mshua amesha kuona unajitambia kishule chako,Sasa tumia kishule chako ku-money.
Akiishiwa au kuzeeka asije kutaka msaada kila mtu atakula alipopeleka mboga.
 
hakuna jambo gumu kama kuigeuza elimu kua pesa..geniuos unashndwaje kupambana elim yako ikakunufaisha na familia yako..ikitokea mkwe kamgawia mwanae ni karma tu ila hapo naona uyo mzee ndo ana akil manak aligeuza ujuz wake ukawa hela na paka amezeeka bado ana hela na kiinua mgongo maisha yanaendelea mie nafkir bora uend kwa mshua ajufundshe ali succes vp ikiw kuna wazee awana ktu mitaan na wana watoto utititr hat vyakuwalithisha awana uliposem mze ana mtot m2 tu kgezo kua mze ana vision toka kjana
 
"ukaona umuwowe" duuh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…