Unaambiwa hata nyumba anaweza uza, tena jamaa kama mjanja afoji mpaka risiti ziwe na gharama kubwa za manunuzi ili akishindwa mahakama iamrishe auze nyumbaTena nzuri sana.
Akijaribu kujifanya mbishi sheria itambana mahakamani atatoa fidia kubwa na gharama zote.
Mwambie avunje mkataba, mpe gharama zako akulipe ukatafute kwingine. Lete mrejesho tukushauri zaidi.Kwaiyo Kaka niweke wazi business idea vp akigoma kunikodisha alafu akafungua yeye
Baba kasema ukitoa tu mzigo anaweka wa kwake!! Alikua na mpango huo lakini alikua na wasiwasi sasa wewe umempa uhakika. Toa mipombe yako tuweke yetu.Kwenye mkataba wake hakuna kifungu kinachokataza aina ya biashara ila mkata unainisha kunga chumba kwa ajiri ya biashara
Location matters.hilo muhimu sana.Kisheria Huna kosa. Kuwa nunda piga bizness au akulipe fidia utafute pengine, japo location matters
Baba kasema alipi, nayeye anataka kuuza pombeYaani mkuu huyo anaongea tu[emoji23].
Mtu kalipa kodi almost6 month, kafanya matengenezo makubwa Halafu unaniambia mimi siruhusu kuuza pombe?
Na hakuna sehemu kwenye mkataba unasema hivyo?
Yaani angelipa kila kitu.
Hii michezo usije ukalifanyia kabila hili👇Unaambiwa hata nyumba anaweza uza, tena jamaa kama mjanja afoji mpaka risiti ziwe na gharama kubwa za manunuzi ili akishindwa mahakama iamrishe auze nyumba
Hakuna sehemu yeyote niliyo mtisha ila nimemkumbusha hali halisi ya nchi yetu, kwani haki ngapi za watu zinazurumiwa na hao wanasheria wamejaa mitaani?Nafkiri hujaelewa pointi tangu mwanzo.
Nisikilize hapa.
Jamaa atamuuliza mzee kama atarudisha pesa na gharama zote au laaah!
Mzee akigoma anaenda kwa mwanasheria anampeleka mkataba walioingia, pale inafatwa sheria tu hakuna maneno ya kusema mimi sitaki tunataka mkataba unasema nini.
Itaandikwa statement kutoka kwa advocate akiombwa arudishe gharama zote pamoja na za mwanasheria ataziambatanisha atapelekewa.
sasa hapo ni yeye mzee aamue kuongea na jamaa wayamalize na hata wakiyamaliza atapaswa kulipa pesa ya mwanasheria sababu kamuingiza gharama zingine.
Na akiamua kutumia nguvu huyo mzee kutoa vitu, hiyo ni kesi nyingine.
Mimi nishakutana na hicho Kisanga. Acha kutisha watu, hatuwezi kuendekeza wazee wapumbavu watu wanapoteza muda na pesa.
Huyo pesa analipa yote. Hataki usumbufu akae pembeni watu wauze pombe.
Tena asipokaa vzuri mpaka fremu itauzwa alipe pesa!Hakuna sehemu yeyote niliyo mtisha ila nimemkumbusha hali halisi ya nchi yetu, kwani haki ngapi za watu zinazurumiwa na hao wanasheria wamejaa mitaani?
Yeye kama mzee anakubali kukurudishia hela ya pango sioni haja ya kukuza mambo masuala ya muda ahesabu tu kama hasara tu kwenye biashara.
Akifanya hivyo ni kwa faida yake,vizee vingine ni vichawi unaweza jifanya kushindana nao ikakutokea puani.
Bongo hii ukikuza mambo ndo unakuza furusa za watu kupiga hela Ohoo shauri yenu.
Mimi baba mwenye nyumba niko nafuatilia tu mjadala wenu huu! Naona kama mnampotosha huyu kijana mwenzenu, nimeshasema nyumba yangu hawezi kufanyia biashara ya Pombe kali full stop! Yeye mwenyewe amekuja ananiambia anataka kufanya biashara ya duka! Hivi unafikri akianza mambo ya kesi itaisha leo? Atapoteza muda wake bure, bora aje tuongee kindugu tuyamalize!Nafkiri hujaelewa pointi tangu mwanzo.
Nisikilize hapa.
Jamaa atamuuliza mzee kama atarudisha pesa na gharama zote au laaah!
Mzee akigoma anaenda kwa mwanasheria anampeleka mkataba walioingia, pale inafatwa sheria tu hakuna maneno ya kusema mimi sitaki tunataka mkataba unasema nini.
Itaandikwa statement kutoka kwa advocate akiombwa arudishe gharama zote pamoja na za mwanasheria ataziambatanisha atapelekewa.
sasa hapo ni yeye mzee aamue kuongea na jamaa wayamalize na hata wakiyamaliza atapaswa kulipa pesa ya mwanasheria sababu kamuingiza gharama zingine.
Na akiamua kutumia nguvu huyo mzee kutoa vitu, hiyo ni kesi nyingine.
Mimi nishakutana na hicho Kisanga. Acha kutisha watu, hatuwezi kuendekeza wazee wapumbavu watu wanapoteza muda na pesa.
Huyo pesa analipa yote. Hataki usumbufu akae pembeni watu wauze pombe.
Mahakama ni mipumbavu sana tangu watoe hukumu ya kupindisha haki kwenye kiwanja chenye hati sina imani nao kabisa! Hawa jamaa wanataka kumpotezea muda tu huyu kijana!Hakuna sehemu yeyote niliyo mtisha ila nimemkumbusha hali halisi ya nchi yetu, kwani haki ngapi za watu zinazurumiwa na hao wanasheria wamejaa mitaani?
Yeye kama mzee anakubali kukurudishia hela ya pango sioni haja ya kukuza mambo masuala ya muda ahesabu tu kama hasara tu kwenye biashara.
Akifanya hivyo ni kwa faida yake,vizee vingine ni vichawi unaweza jifanya kushindana nao ikakutokea puani.
Bongo hii ukikuza mambo ndo unakuza furusa za watu kupiga hela Ohoo shauri yenu.
Unamdanganya!Tena asipokaa vzuri mpaka fremu itauzwa alipe pesa!
Joking ila mzee gharama lazima alipe.Unamdanganya!
Mkuu mm naongelea uhalisia ww unaongelea mambo ya nadharia hapa.Tena asipokaa vzuri mpaka fremu itauzwa alipe pesa!
Danguro ni biashara halali?Kwa akili za mleta mada anataka aachiwe hata akitaka kufungua danguro kwa sababu tu ametoa kodi ya miezi 10! Shenzy!
Kamshtaki kwa utapeli na kukusababishia hasaraWanajamvi habari za muda huu, poleni na majukumu ya kutafuta ridhiki. Niende kwenye mada moja kwa moja.
Nimepangisha fremu kwenye NYUMBA moja mjini kwa lengo la kufungua biashara ya pombe Kali yaani liquor store.
Nikaingia mkataba na mwenye nyumba wa miezi kumi wakati huo yeye hajui nataka kufanya biashara gani. Nikanza maandalizi ya kufungua biashara yangu Jana nikaleta mzigo wa pombe Kali ambazo nimefungasha kutoka jijini Dar es salaam.
Baada ya kumaliza kushusha na kuingiza mzigo wangu kwenye fremu yangu nikaondoka nikarudi nyumbani kwangu nikisubiri mzigo mwengine ufike ili niaze kufanya biashara mnamo tarehe moja January 2024.
Cha kushangaza asubuhi ya leo Kama saa kumi na mbili na nusu napokea simu ya baba mwenye nyumba akisema amekaa na familiya na wamekubaliana hawaruhusu biashara ya pombe kwenye nyumba yao nilichoka na kukosa cha kumjibu.
Nikamhoji mbona hukuliweka Hilo kwenye mkataba na kwanini hukusema wakati na kodisha akasema Mimi sikumuambia nataka nifanye biashara gani. Nikamueleza wazo la biashara nilangu ww umekodisha fremu ili Mimi nifanye biashara halali ambayo haivunji Sheria za nchi.
Kama unaitikadi zako kuhusu biashara flani ilikupasa uweke kwenye mkataba ili mimi nikisoma naelewa kwakua siwezi kujua itikadi yako Kama hujasema au kuweka wazi.
Wakuu nachanganyikiwa sielewi nimeshatumia pesa ya kutosha alafu mwenye nyumba anakuja na hoja Kama hii naombeni ushauri wenu wakuu.
Wewe endelea kutetea wazee wapumbavu.Mkuu mm naongelea uhalisia ww unaongelea mambo ya nadharia hapa.
Alafu kesi za kudai fidia sio rahisi kiasi hicho kama unavyo jaribu kutuaminisha.
Huyo mzee kama ni mtu mwenye pesa kumzidi huyo jamaa hakuna kitu atamfanya na kuhama atahama tu.
Ndio maana nikasema asikuze mambo arudushiwe gharama zake za pango na garama alizo tumia kufanya marekebisho ndani ya nyumba ,hayo ya sijui fidia za muda sijui nauli ya vinywaji mwamba haachane nayo ahesabu hasara maisha yaendelee hasa ukizingatia hata biashara hajaanza kufanya.
Hata sisi ni wafanya biashara usumbufu kama huo ni kitu cha kawaida kwenye biashara achukulie kawaida tu.