Baba mwenye nyumba hataki nifanye biashara ya pombe kali

Joking ila mzee gharama lazima alipe.
Anaweza akalipa lakini afikrie muda atakaopoteza! Na unajua ujinga wa kesi za madai, zee linaweza kusema litamlipa kidogo kidogo sasa hapo itakuwa imetoka hiyo!
 
Unapoenda kukodi pango ulitakiwa kumueleza mwenye nyumba kuwa utafanya biashara gani kwenye jengo lake na sio kukaa kimya eti biashara ni ya kwako hizo mambo tunafanya tukiwa na eneo la kwako mwenyewe ukiamua iwe garage sawa mwezi ujao unabadili inakua Car wash sawa mwaka ujao utabadili kuwa Super Market ni wewe ila sio eneo la mtu upange wewe aina ya biashara bila kumshirikisha...
 
Iyo mikataba yenu ya uchochoroni uku mahakamani ni useless
 
Wewe mkuu ndiye unaongelea nadharia. Hivi ulishawahi kusimama mahakamani hata siku moja? Usumbufu wa mahakamani wacha kabisa, hakuna watu pale! Ningekuwa Rais ningevunja mahakama zote nikawapa JWTZ! Kuna ujinga mwingi sana pale! Huyo ndugu yako akifuata ushauri wako huu haki ya nani atafirisika jumla!
 
Hakuna ushauri mpe nyumba yake akupe pesa yako!
 

hujielewi wewe embu jisome tena ulichokiandika[emoji30][emoji30]
 
Kwa akili za mleta mada anataka aachiwe hata akitaka kufungua danguro kwa sababu tu ametoa kodi ya miezi 10! Shenzy!

Biashara ya Danguro nikosa kisheria, kifungu gani cha sheria kinachokataza biashara ya pombe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…