Baba mzazi adaiwa kumlawiti mwanaye wa miezi 6 mpaka kifo

Mungu atuhurumie 🙏
 
Hii taarifa nimeiona EATV saa moja, imeniharibia siku yangu yaani na hasira mno, nimeumia sana, R.I.P little angel DOMINICA
 
Hivi watu hua wanafikiria kweli?
 
1)Au anahisi sio mwanaye?
2)ushirikina apige hela
3)ukichaa
4)karogwa
 
Hivi sijui ni lini jamii itaacha kubabimbikia watu kosa la ulawiti na wanajua wengi hawawezi kuhoji kwa kuhofia jamii kuwashuku vibayaa.

Ugomvi wa wazazi, huwa una matokeo mabayaa sanaa, hili sualaa lichunguzwe kwa kina, na ukweli upatikaneee, sheria ifuatwe na hakii iendee kwa wahusikaa, inavyostahili lol.
 
Ni sauti ya kilio na simanzi kutoka kwa mama mzazi wa mtoto Dominica Damas, ambaye usiku wa kuamkia leo Septemba 2, 2024, amefariki baada ya kudaiwa kulawitiwa na baba yake mzazi aliyetajwa kwa jina la Damas Stephen...
Hii habari haikamiliki, je ina mkono wa nani? Haitaji tukio limetokea wapi na wala haina details za kutosha kama umri wa mhusika na mtoto
 
Iko hivi yaani ukienda kwa mganga unaambiwa ukashiriki tendo la ndoa na mtu asiyekuwa na dhambi na kipimo chake upekeke manii yako.

Sasa mtu anaanza kupiga hesabu,mtu asiyekuwa na dhambi ni nani?jibu lake no mtoto mdogo,atampata wapi ndiyo hivyo anaanza kuwafakamia watoto mpaka anaishia kuuwa,sababu mwili wa mtoto ni raini na hauwezi kuimili presha ya msuguano na nguvu nyingi inayotumika
 
Hata kuweka like hapa ni noma😭😭😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…