Baba mzazi adaiwa kumlawiti mwanaye wa miezi 6 mpaka kifo

Baba mzazi adaiwa kumlawiti mwanaye wa miezi 6 mpaka kifo

Ni sauti ya kilio na simanzi kutoka kwa mama mzazi wa mtoto Dominica Damas, ambaye usiku wa kuamkia leo Septemba 2, 2024, amefariki baada ya kudaiwa kulawitiwa na baba yake mzazi aliyetajwa kwa jina la Damas Stephen.

---
Damas Stephen anadaiwa kumlawiti mwanaye Dominica Damas wa miezi na kupelekea kifo cha mtoto huyo na kisha kwenda kutelekeza mwili kwenye mlango wa bibi wa huyo mtoto.

Bibi wa marehemu akitoa ushuhuda amesema mida ya saa tatu akiwa amelala aliamshwa na mwanaye na kumwambia Mama mtoto huyo hapo. Bibi baada ya kuamka alikuta mwili uko kizingitini lakini alipomshika mtoto alikuwa hatikisiki na akaamua kumrudisha mlangoni alipomkuta na kuamua kutoa taarifa.

View attachment 3085197
Ameifanya dunia kuwa sehemu mbaya kuishi....japo kwa wenye HEKIMA ni sehemu nzuri haswa....

#Watu na viatu
 
Kwa mwingine ambae ana mawazo kama haya ni Bora anipe mm malaika wa Mungu huyo nimlee Kwa kadri nitakavyo barikiwa na Mungu
Sitamani kuwaza maumivu aliyopitia huyo mtoto kabla ya umauti.. huyo Shetani atafutwe
 
Inaweza kuwa sababu ni Imani za kishirikina. Kuna mganga kamdanganya atapata utajiri
 
Hii taarifa inaonekana kuwa na ukakasi.
Haioneshi lini tukio limetokea,kivipi,kwa wakati gani na wapi?
Na mama wa mtoto alikua wapi kipindi baba wa mtoto anatenda tukio na kumbeba mtoto kumpeleka kwa bibi yake?
Na wamejuaje kama baba wa mtoto ndio kamlawiti mwanae?
Na wamejuaje kama amekufa kwa kulawitiwa!??

Hii kesi ina ukakasi mkubwa,inahitajika uchunguzi mkubwa.
Isije ikawa ugomvi wa familia mtu anaangushiwa jumba bovu.
 
Tayari siku imeshaharika ...hivi wapuuzi kama hawa tunawapa adhabu gani
 
Ni sauti ya kilio na simanzi kutoka kwa mama mzazi wa mtoto Dominica Damas, ambaye usiku wa kuamkia leo Septemba 2, 2024, amefariki baada ya kudaiwa kulawitiwa na baba yake mzazi aliyetajwa kwa jina la Damas Stephen.

---
Damas Stephen anadaiwa kumlawiti mwanaye Dominica Damas wa miezi na kupelekea kifo cha mtoto huyo na kisha kwenda kutelekeza mwili kwenye mlango wa bibi wa huyo mtoto.

Bibi wa marehemu akitoa ushuhuda amesema mida ya saa tatu akiwa amelala aliamshwa na mwanaye na kumwambia Mama mtoto huyo hapo. Bibi baada ya kuamka alikuta mwili uko kizingitini lakini alipomshika mtoto alikuwa hatikisiki na akaamua kumrudisha mlangoni alipomkuta na kuamua kutoa taarifa.

View attachment 3085197
Kanda ya Ziwa ni hatari sana!
 
Hivi kama ndio inatokea kuwa huyo Baba kazushiwa,hao waliomzushia huwa wanachukuliwa hatua gani ili iwe fundisho kwa wengine...
 
Hilo si suala la wanaume. Ni suala lake yeye mhalifu.

Kamwe sijawahi kufikiria kumfanyia mtoto mchanga kitu kama hicho!

He should hold his own nuts.

Real men don’t abuse children.
Taarifa ya jana kinondoni Kuna baba alikuwa a nambaka mwanae wa kumzaa wa darasa la tano,tangu mwaka huu uanze mwenye umri wa miaka kumi na Moja, mbona hatusikii wakina mama wakibaka watoto wao?
 
Mambo mengine tunamlaumu bure shetani ,lkn kiuhalisia mate ndo tunayafanya wenyewe kwa utimamu wetu wenyewe.God have mercy on us..
 
Ni sauti ya kilio na simanzi kutoka kwa mama mzazi wa mtoto Dominica Damas, ambaye usiku wa kuamkia leo Septemba 2, 2024, amefariki baada ya kudaiwa kulawitiwa na baba yake mzazi aliyetajwa kwa jina la Damas Stephen.

---
Damas Stephen anadaiwa kumlawiti mwanaye Dominica Damas wa miezi na kupelekea kifo cha mtoto huyo na kisha kwenda kutelekeza mwili kwenye mlango wa bibi wa huyo mtoto.

Bibi wa marehemu akitoa ushuhuda amesema mida ya saa tatu akiwa amelala aliamshwa na mwanaye na kumwambia Mama mtoto huyo hapo. Bibi baada ya kuamka alikuta mwili uko kizingitini lakini alipomshika mtoto alikuwa hatikisiki na akaamua kumrudisha mlangoni alipomkuta na kuamua kutoa taarifa.

View attachment 3085197
Curse...
 
Back
Top Bottom