To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Yaani ni too much aiseeYani siku hizi dhambi zinazofanyika mpaka shetani mwenyewe anakaa pembeni anachukua notes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ni too much aiseeYani siku hizi dhambi zinazofanyika mpaka shetani mwenyewe anakaa pembeni anachukua notes
Kha! Kwani bado tu wamemuacha anaendelea kupumua hewa ya Mungu bure??? Wanasubiri nini?? Waliopo hapo Wajiongeze chap na kumalizana naye huyo BabaShenzi Katili.Huyo baba auawe tu kwa kweli
HakikaKha! Kwani bado tu wamemuacha anaendelea kupumua hewa ya Mungu bure??? Wanasubiri nini?? Waliopo hapo Wajiongeze chap na kumalizana naye huyo BabaShenzi Katili.
Ni sauti ya kilio na simanzi kutoka kwa mama mzazi wa mtoto Dominica Damas, ambaye usiku wa kuamkia leo Septemba 2, 2024, amefariki baada ya kudaiwa kulawitiwa na baba yake mzazi aliyetajwa kwa jina la Damas Stephen.
---
Damas Stephen anadaiwa kumlawiti mwanaye Dominica Damas wa miezi na kupelekea kifo cha mtoto huyo na kisha kwenda kutelekeza mwili kwenye mlango wa bibi wa huyo mtoto.
Bibi wa marehemu akitoa ushuhuda amesema mida ya saa tatu akiwa amelala aliamshwa na mwanaye na kumwambia Mama mtoto huyo hapo. Bibi baada ya kuamka alikuta mwili uko kizingitini lakini alipomshika mtoto alikuwa hatikisiki na akaamua kumrudisha mlangoni alipomkuta na kuamua kutoa taarifa.
View attachment 3085197
Yawezekana kabisa ndoa ya Watu hao Ina Mgogoro mkubwa sana kati yao. Siyo bure hata kidogo.How possible🥺🥺🥺
huyo jamaa atakuwa anavuta SCANCA!!Ni sauti ya kilio na simanzi kutoka kwa mama mzazi wa mtoto Dominica Damas, ambaye usiku wa kuamkia leo Septemba 2, 2024, amefariki baada ya kudaiwa kulawitiwa na baba yake mzazi aliyetajwa kwa jina la Damas Stephen.
---
Damas Stephen anadaiwa kumlawiti mwanaye Dominica Damas wa miezi na kupelekea kifo cha mtoto huyo na kisha kwenda kutelekeza mwili kwenye mlango wa bibi wa huyo mtoto.
Bibi wa marehemu akitoa ushuhuda amesema mida ya saa tatu akiwa amelala aliamshwa na mwanaye na kumwambia Mama mtoto huyo hapo. Bibi baada ya kuamka alikuta mwili uko kizingitini lakini alipomshika mtoto alikuwa hatikisiki na akaamua kumrudisha mlangoni alipomkuta na kuamua kutoa taarifa.
View attachment 3085197
Si mnaona?! Hata Mr. Devil naye anashangaa hadi anauliza imewezekanaje? Hapati picha.Kwaiyo jamaa Na mbo* ika simama kabisa duuh
Pole sana mr. Devil kwani hata ss tumeshangaa na kuhuzunika mnoo kwa kitendo hiko. Cjui Kaka yake na Shetani naye atasemaje kama sio atazimia.Ikiwa ni pamoja na kubugia mkuyat' bila kuzingatia vipimo. Lakini wakati tunajadili tukio hili ingefaa sana huyo baba mhusika awe ameshadedishwa kitambo ili tuwe huru kujadili kituko hiki cha milenia. 😭huyo jamaa atakuwa anavuta SCANCA!!
Ahahahaaaaaaaaaaaaa!!!!!, da!!!!!! au aletwe 2mpige m2ngo kama yule dada wa buza!!Ikiwa ni pamoja na kubugia mkuyat' bila kuzingatia vipimo. Lakini wakati tunajadili tukio hili ingefaa sana huyo baba mhusika awe ameshadedishwa kitambo ili tuwe huru kujadili kituko hiki cha milenia. 😭
Quote: "Bongo pakijinga sana yani askari anamwambia mfiwa achukue usafir apeleke maiti kituoni ......."Bongo pakijinga sana yani askari anamwambia mfiwa achukue usafir apeleke maiti kituoni polisi wetu wako serious kweli hata km kijijini ila wangesikia shamba la bange na camera wangeenda nazo shenzi kabisa. Tunalipa kodi uniform zao buti kofia mpka magari wanayotumia mafuta ni kodi zetu hii sijaikubali