MAJIYAPWANI
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,726
- 2,691
Jamaa nae anazingua miezi sita aaah mambo ya kifara kabisa ingekua kua newyork mguu wa kuku tushamvzia mda th kadead tunawaachia FBI wahangaike na uchunguzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii dunia inakoelekea anajua alie juu tu!
Mimi naiunga mkono adhabu ya kifo.Uwa nawashangaa sana wanaharakati uchwara wanaopinga adhabu ya kifo kwa kisingizio cha haki za binadamu, sasa mtu kama huyo akithibitika kufanya unyama huo kwanini asiuliwe tu.
Anaponyongwa inasaidia sana katika kuzuia ukatili wa aina hii kutofanyika kwa wengine!Mimi naiunga mkono adhabu ya kifo.
Mtu anayeua binadamu mwenzake kwa makusudi na dhamiri mbaya, ana uhalali gani wa kuendelea kuishi?
Hata kama adhabu ya kifo siyo deterrent, mimi bado naiunga mkono kwa sababu inamwadhibu mkosaji/ muuaji.Anaponyongwa inasaidia sana katika kuzuia ukatili wa aina hii kutofanyika kwa wengine!
Waganga..How possible🥺🥺🥺
😂😂😂Ukute huko mbinguni Shetani kakana kabisa uhusika asihusishwe na hamtaki hata jehanam.
Good question! Alafu ni kama alihisiwa kuna kitu anataka fanya maana alikuwa hana utulivu.. sasa kwanini wakamuacha na mtotoMama yake alikua wapi?
and they keep coming. tegemea lingine la ajabu siku za usoniTayari siku imeshaharika ...hivi wapuuzi kama hawa tunawapa adhabu gani
Mkuu, hilo jambo si rahisi kulifikiri kwamba mtu atalifanya.Good question! Alafu ni kama alihisiwa kuna kitu anataka fanya maana alikuwa hana utulivu.. sasa kwanini wakamuacha na mtoto
Dah mtoto wa miezi 6? Inawezekanaje jamaniNi sauti ya kilio na simanzi kutoka kwa mama mzazi wa mtoto Dominica Damas, ambaye usiku wa kuamkia leo Septemba 2, 2024, amefariki baada ya kudaiwa kulawitiwa na baba yake mzazi aliyetajwa kwa jina la Damas Stephen.
---
Damas Stephen anadaiwa kumlawiti mwanaye Dominica Damas wa miezi na kupelekea kifo cha mtoto huyo na kisha kwenda kutelekeza mwili kwenye mlango wa bibi wa huyo mtoto.
Bibi wa marehemu akitoa ushuhuda amesema mida ya saa tatu akiwa amelala aliamshwa na mwanaye na kumwambia Mama mtoto huyo hapo. Bibi baada ya kuamka alikuta mwili uko kizingitini lakini alipomshika mtoto alikuwa hatikisiki na akaamua kumrudisha mlangoni alipomkuta na kuamua kutoa taarifa.
View attachment 3085197
Sasahivi watoto wanapitia nyakati ngumu za kikatili inahuzunisha sanaNi sauti ya kilio na simanzi kutoka kwa mama mzazi wa mtoto Dominica Damas, ambaye usiku wa kuamkia leo Septemba 2, 2024, amefariki baada ya kudaiwa kulawitiwa na baba yake mzazi aliyetajwa kwa jina la Damas Stephen.
---
Damas Stephen anadaiwa kumlawiti mwanaye Dominica Damas wa miezi na kupelekea kifo cha mtoto huyo na kisha kwenda kutelekeza mwili kwenye mlango wa bibi wa huyo mtoto.
Bibi wa marehemu akitoa ushuhuda amesema mida ya saa tatu akiwa amelala aliamshwa na mwanaye na kumwambia Mama mtoto huyo hapo. Bibi baada ya kuamka alikuta mwili uko kizingitini lakini alipomshika mtoto alikuwa hatikisiki na akaamua kumrudisha mlangoni alipomkuta na kuamua kutoa taarifa.
View attachment 3085197