Joao de Matos
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 334
- 268
- Thread starter
- #141
Mkuu hio sentence ya chini fafanua zaidi tupate madini.Kama ndoa ni ya binti mwenye umri wa miaka 14_17.
18 and above ni mtu mzima, hahitaji ridhaa ya wazazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hio sentence ya chini fafanua zaidi tupate madini.Kama ndoa ni ya binti mwenye umri wa miaka 14_17.
18 and above ni mtu mzima, hahitaji ridhaa ya wazazi.
Sheria ya wapi tuambie mkuu?Hii ni mila tu, sheria inasema ni ridhaa binafsi.
Na ndivyo ilivyo usizae kabla ya ndoa.Na wakae hivyo hivyo shauri lao.
Nina mfano mmoja hapa home ni mdada kafikisha 50 i guess, yupo home na bado ana mawazo kuwa Mungu atamuonyesha mume wake atakuja kuolewa, na anapinga kuzaa kabla ya ndoa au kuhama home kujitegemea kwasababu ni tabia mbaya.
Imagine mlokole wa bush hajui kuvaa hana swaga za kushawishi, shape nayo ya kawaida kama ya mjomba, umri umeenda ukute hata menepause tayari mwanaume gani atakutaka kirahisi?
Labda apate mlokole mwenzake aliyefiwa na mume au awe na pesa avute kaserengeti boy
Basi tuachane na sheria za serikali mkuu, waonaje hio.Ni MUNGU
Wewe usizae subiriNa ndivyo ilivyo usizae kabla ya ndoa.
Basi tuachane na sheria za serikali mkuu, waonaje hio.
Mimi mwenyewe nina mwanangu ndo ana mwaka mmoja, nampenda mpaka najihurumia, naye ananipenda hadi namhurumia. Atakayemwondoa kwangu atapata shida sana, either aje aishi na mm kwangu ama anichukue nikaishi na mwanangu. La sivyo haolewi nitamwambia azae nitalea wajukuu zanfu na yye piaKatika kanisa ninalosali kuna Baba mzazi mmoja Ana binti yake wa kwanza, japo mama wa binti huyo alifaliki baada ya kumzaa binti huyo. Baba akaoa mwanamke mwingine.
Ingawa humu kejeli zimezidi lakini naweza kutoa maoni yangu.To humu kwa manufaa ya wengine pia
Wakiweka picha mnasema picha mbaya(Haina maadili)😂😂😂😂😂😂😂HUU UZI BILA PICHA NI CHAI TU
Ila yule mtoto wetu ni kama vile the min you, yaani ni mkali balaaa.Wewe usizae subiri
Andika vizuri. Content haieleweki.Nakumbuka hadi naleo baba yangu alimkataa shemeji yetu kisa sio mzuri tukabisha wakaoana wewe basi tulipatiwa moja hiyo waleo tumekama
Like mother like daughter!Ila yule mtoto wetu ni kama vile the min you, yaani ni mkali balaaa.
Huyo shemiji alikuwa mwanaume au mwanamke?.Nakumbuka hadi naleo baba yangu alimkataa shemeji yetu kisa sio mzuri tukabisha wakaoana wewe basi tulipatiwa moja hiyo waleo tumekama
Mkuu nimekuelewa Sana inamaana kumuoa binti Ni Lazima upate kibali kwa Baba mzazi au sio.Mimi mwenyewe nina mwanangu ndo ana mwaka mmoja, nampenda mpaka najihurumia, naye ananipenda hadi namhurumia. Atakayemwondoa kwangu atapata shida sana, either aje aishi na mm kwangu ama anichukue nikaishi na mwanangu. La sivyo haolewi nitamwambia azae nitalea wajukuu zanfu na yye pia