Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Miaka 36 hana mume wala mtoto, huo ni ugonjwaKwa hio unatetea uzinzi, mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 36 hana mume wala mtoto, huo ni ugonjwaKwa hio unatetea uzinzi, mkuu
Heshimu KABILA za watu.Baba mzazi Ni "MSUKUMA"
Mlongo, mwenuyu akumuhonga kivyotevyoteTena kiuchawiiiiiii.
Huyu anatakiwa akatoe tarifa kwa baba akiwa na mimba ya miezi sita kmmmkAache ulokole wake, abebe mimba ajisogeze kwa mchumba waishi wote...wahame kanisa wafunge ndoa.
Baba mshirikina huyo
🤣🤣 tatizo la mlokole hatafanya hivyo, atamtii baba akifikisha 50 ndo akili inamjia while its too lateHuyu anatakiwa akatoe tarifa kwa baba akiwa na mimba ya miezi sita kmmmk
Ahahahahahahaaa wana imani ya Sara wa kwenye bible..!!🤣🤣 tatizo la mlokole hatafanya hivyo, atamtii baba akifikisha 50 ndo akili inamjia while its too late
Kama ndoa ni ya binti mwenye umri wa miaka 14_17.Sheria ya ndoa imebainisha kuwa vitu vitakavyo fanya ndoa isifungwe ni pamoja na wazazi au mzazi Kama hajalizia ndoa iyo kufungwa kwaio ili ndoa ifungwe ni lazima wazazi warizie kufungwa kwaio ndoa
Hii ni mila tu, sheria inasema ni ridhaa binafsi.Ninavyofahamu Mimi mkuu Baba wa binti akiwepo hai ndie anayetoa kibali kwamba mwanae ndo aoelewe. Na yeye ndio anayeoza, Kama kashafariki anachaguliwa mtoto wa kiume katika familia, mbali na hapo mnaenda kwa Baba mkubwa au Mdogo.
Sasa hao wanaofunga ndoa bila upande mmoja kutokuwepo , sijui wao maana ya kuoa wanaielewaje.
Kaisome upya uelewe.Sheria ya ndoa ya mwaka 1977
Na wakae hivyo hivyo shauri lao.Ahahahahahahaaa wana imani ya Sara wa kwenye bible..!!
We Demi wewe..!! Embu muonee huruma mwenzio..!! Sema wanakuwa na nyodo hao wakiwa kwenye umri muafaka..!!Na wakae hivyo hivyo shauri lao.
Nina mfano mmoja hapa home ni mdada kafikisha 50 i guess, yupo home na bado ana mawazo kuwa Mungu atamuonyesha mume wake atakuja kuolewa, na anapinga kuzaa kabla ya ndoa au kuhama home kujitegemea kwasababu ni tabia mbaya.
Imagine mlokole wa bush hajui kuvaa hana swaga za kushawishi, shape nayo ya kawaida kama ya mjomba, umri umeenda ukute hata menepause tayari mwanaume gani atakutaka kirahisi?
Labda apate mlokole mwenzake aliyefiwa na mume au awe na pesa avute kaserengeti boy
Ahahahahahahahaaaa Miujiza ipogoo..!!Huruma namuonea maana huko mbeleni atajuta, bora aondoe mawazo ya kuolewa. Nasubiri nishuhudie muujiza siku akiolewa ntakwambia🤣
Ndo nasubiriAhahahahahahahaaaa Miujiza ipogoo..!!
Mkuu kwani Muanzilishi wa Ndoa Ni Nani???
Ugonjwa gani tuambie?Miaka 36 hana mume wala mtoto, huo ni ugonjwa
Kwani nimelitukana au nimelisema vibaya?Heshimu KABILA za watu.