Baba mzazi hataki binti yake aolewe

Baba mzazi hataki binti yake aolewe

Ww umeongelea kwa upande wa dini yako
Kumbe unajua kwamba ndoa sio general issue bali kila dini ina utaratibu wake na pia serikali ina sheria yake. So ndoa kwa ujumla ni mapatano kati ya mwanaume na mwanamke, ni umoja waliokubali kuuanzisha bila kushurutishwa na mtu, yaliyobaki ni mila, desturi na imani husika ndio itaamua ndoa inatakiwa iwe na nini na nini. Kikubwa huyo binti (mama) hana sababu ya kuomba ridhaa ya mzee wake ili aolewe kwa sababu sio bikira na wala sheria haimlazimishi.
 
Najifunza ila pale pasipo elewaka tunaeleweshana km ivyo

Mzazi hawezi kuzuia ndoa Kama Hana sababu ya Msingi. Yaani Kwa matakwa yake tuu.

Sheria inazingatia haki na uhuru wa kila mtu ikiwa ni pamoja ya haki ya kuchagua mwenza mnayependana pasipo kuingiliwa.

Baba au Mama haki yake ni kupewa taarifa tuu na wala sio kutoa ruhusa.
Huyo sio mtoto mdogo mpaka apewe ruhusa.
 
Iyo ndoa haitakuwa na maana kwa Sababu Kama wazazi wapo why usiwape tararifa means their don't have right to know or to participate or?

😀😀😀

Taarifa haifanyi ndoa isiwe ya maana, mambo yanayovunja ndoa ndio mambo hatohayo yanayoweza kufanya ndoa isifungwe.
Sasa nenda kwenye Sheria uangalie nu mambo gani yanayoweza kufanya ndoa ikavunjwa uone Kama Wazazi wapo?
 
Kumbe unajua kwamba ndoa sio general issue bali kila dini ina utaratibu wake na pia serikali ina sheria yake. So ndoa kwa ujumla ni mapatano kati ya mwanaume na mwanamke, ni umoja waliokubali kuuanzisha bila kushurutishwa na mtu, yaliyobaki ni mila, desturi na imani husika ndio itaamua ndoa inatakiwa iwe na nini na nini. Kikubwa huyo binti (mama) hana sababu ya kuomba ridhaa ya mzee wake ili aolewe kwa sababu sio bikira na wala sheria haimlazimishi.
But it's very important to understand first type of marriage which are traditional marriage in this type there are procedure due to the culture, religion marriage also there are procedure due to the religious
Government marriage also so you can't use the one procedure of marriage due to the one type of marriage you should specify procedure which all are used
 
Mzazi hawezi kuzuia ndoa Kama Hana sababu ya Msingi. Yaani Kwa matakwa yake tuu.

Sheria inazingatia haki na uhuru wa kila mtu ikiwa ni pamoja ya haki ya kuchagua mwenza mnayependana pasipo kuingiliwa.

Baba au Mama haki yake ni kupewa taarifa tuu na wala sio kutoa ruhusa.
Huyo sio mtoto mdogo mpaka apewe ruhusa.
I agree about that, that why I said that if parents having logic reason repeat again
 
I agree about that, that why I said that if parents having logic reason repeat again


Lakini taarifa sio ruhusa jaribu kuelewa Hilo.

Mtoto akishakua mkubwa anayohiyari ya kuamua kuwasikiliza wazazi wake au laa. Sio katika ndoa tuu hata katika Jambo lolote.

Nafasi ya Mzazi inaisha pale mtoto anapoanza kujitegemea.

Kumbuka sio mzazi tuu, hata Mungu muumba wa Nchi. Unayohiyari ya kumsikiliza au kutokumsikiliza,
 
[emoji3][emoji3][emoji3]

Taarifa haifanyi ndoa isiwe ya maana, mambo yanayovunja ndoa ndio mambo hatohayo yanayoweza kufanya ndoa isifungwe.
Sasa nenda kwenye Sheria uangalie nu mambo gani yanayoweza kufanya ndoa ikavunjwa uone Kama Wazazi wapo?
Oh we talking about marriage to be accepted and not issue of divorce issue of divorce is about husband and wife
 
Lakini taarifa sio ruhusa jaribu kuelewa Hilo.

Mtoto akishakua mkubwa anayohiyari ya kuamua kuwasikiliza wazazi wake au laa. Sio katika ndoa tuu hata katika Jambo lolote.

Nafasi ya Mzazi inaisha pale mtoto anapoanza kujitegemea.

Kumbuka sio mzazi tuu, hata Mungu muumba wa Nchi. Unayohiyari ya kumsikiliza au kutokumsikiliza,
Ok
 
Oh we talking about marriage to be accepted and not issue of divorce issue of divorce is about husband and wife

Wewe utakuwa hauelewi mambo ya ndoa, kuna vigezo ambavyo vinafanya ndoa ifungwe, ikubalike, vigezo hivyo vikivunjwa ndoa haipo, na Kama ndoa ilifungwa basi inaweza kuvunjwa tuu.

Wazazi hawapo kwenye hivyo VIGEZO aidha vya kuifanya ndoa ifungwe au isifungwe au Talaka.
Ndoa ni ishu ya watu wawili Sheikhe, na watakaoulizwa ni watu wawili sio wazazi😂😂
 
But it's very important to understand first type of marriage which are traditional marriage in this type there are procedure due to the culture, religion marriage also there are procedure due to the religious
Government marriage also so you can't use the one procedure of marriage due to the one type of marriage you should specify procedure which all are used
Usinifokee mkuu me kiingereza sijui.
 
Mkuu miaka 36 unamuita binti wakati ni jitu zima hilo linaelekea kwenye uzee!,Kama baba yake hataki kwanini asiulizwe shida ambayo inamfanya kumkatalia mwanaye kuolewa?,kuna serikali ya kijiji na kuna ndugu pia,kwanini wasimuite na akaeleza sababu ni nini?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] et Jitu zima
 
Wewe utakuwa hauelewi mambo ya ndoa, kuna vigezo ambavyo vinafanya ndoa ifungwe, ikubalike, vigezo hivyo vikivunjwa ndoa haipo, na Kama ndoa ilifungwa basi inaweza kuvunjwa tuu.

Wazazi hawapo kwenye hivyo VIGEZO aidha vya kuifanya ndoa ifungwe au isifungwe au Talaka.
Ndoa ni ishu ya watu wawili Sheikhe, na watakaoulizwa ni watu wawili sio wazazi[emoji23][emoji23]
Mm sijakatataa ila we ni unapenda ubishi iyo kawaida yako tu
 
Mm sijakatataa ila we ni unapenda ubishi iyo kawaida yako tu

Sasa ubishi ni Mimi au ni wewe.

Wewe Umesema ndoa haiwezi kufungwa bila ya ruhusa ya Baba(Wazazi) watu humu wakakujibu kuwa hakuna kitu Kama hiko.
Umetoa hoja zako na Mimi nikatoa hoja zangu, sasa umejua kuwa inawezekana na wala hakuna sheria Kama hiyo inayompa mamlaka Baba au Mama kuzuia ndoa ya Mtoto wao aliyefikisha umri wa utu uzima.

Sasa anayebisha ni Mimi au ni wewe? Unajua maana ya ubishi?
 
But it's very important to understand first type of marriage which are traditional marriage in this type there are procedure due to the culture, religion marriage also there are procedure due to the religious
Government marriage also so you can't use the one procedure of marriage due to the one type of marriage you should specify procedure which all are used

Hizo Procedure zipo kwenye Sheria?
 
Katika kanisa ninalosali kuna Baba mzazi mmoja Ana binti yake wa kwanza, japo mama wa binti huyo alifaliki baada ya kumzaa binti huyo. Baba akaoa mwanamke mwingine.

Hila huyo binti anamiaka 36 hivi Sasa. Na Ni mwalimu wa chekechekea. Shida Ni kwamba Baba mzazi hataki binti yake aolewe kabisa. Binti akipanda mtu akienda kumwambia Baba yake , Baba anajibu "sitaki kujua kuhusu hayo Mambo na usiniambie Tena hebu toka hapa" kamfanyia hivi Mara kadhaa tuu Hadi binti analia inafika kipindi analia.

Miaka Kama 4 Nyuma alitengeneza mahusiano, na kijana mmoja kanisa huyo kijana Kaka Yale tunasalinae hapa hapa kanisani na Kaka Yale ameoa.

Binti na kijana walipenda sana ikafika mpaka kipindi kanisa Zima wakajua mapaka baba yake, japo Baba yake hakusema chochote, binti alikuwa anaenda mapaka kwenye geto la jamaa kufanya usafi na kumsaidia Baadhi ya kazi nyumbani kwake, na ikafika hatua wakakubaliana wafunge ndoa. Shida ikafika namna ya kwenda kwa mzee wake.

Wakaamua kwenda kwa uongozi wa kanisa kuomba waandae utaratibu wa kwenda kwa Baba yake KUPITIA Mwamvuli wa kanisa. Kanisa likaamua kuchugua wazee wakanisa Kama 3 wanaoeshimika kanisani waende kwa mzee. Kijana akandaa barua ya posa na wazee wakaenda.

Walipo fika nyumbani kwa wakakalibishwa vizuri sana na vinywaji juu. Wakaongea na kueleza kilicho wapeleka, mzee akawajibu kuwa "Nani aliyewahambia kuwa Mimi ninaoza binti na sijatangaza binti yangu alitewe posa, sitaki kusikia kuhusu haya Mambo hebu tokeni hapa sitaki kuwaona tokeni tokeni" wazee wabusara wakandoka na kurudisha taarifa.

Binti yule alivyorudi home mzee wake hakusema chochote alinyamaza tuu mapaka leo , na binti mara nyingi akimwambia Baba nimepata mchumba mzee hapana sitaki kusika.

Washiriki wa kanisa walisema Sana juu ya iyo ishu , mpaka shemeji Yale "mke wa Kaka yake" alilalamika Sana na akasema Wenda akawa anamtaka au anatembea na binti yake.

Kijana alipata mchuba mwingine na akafunga ndoa kanisani na ukumbi nje ya kanisa na ilikuwa Ni mzuri Sana watu walikula na walifurahi , yule binti hakuja kwenye ndoa.

Hivi sababu gani inaweza kupelekea Baba mzazi kukataa binti Yale asiolewe shida Ni Nini wakuu.
Karibuni........
... atakayekuwa tiyari kuishi na binti kama mke amuweke mimba tu mzee mwenyewe atamuachia kwa shingo upande mwanzoni badae akipata wajukuu atazoea maisha bila binti yake.
 
Back
Top Bottom