MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Anayetoa uroda ni baba au binti?Mkuu naamini wewe Ni mtu mzima, Elli Kama jamaa alivyosema , hivi Unaweza kuoa bila Baba mzazi wa binti kuridhia kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayetoa uroda ni baba au binti?Mkuu naamini wewe Ni mtu mzima, Elli Kama jamaa alivyosema , hivi Unaweza kuoa bila Baba mzazi wa binti kuridhia kweli?
Aah basi unajiona mjanja mwenyewe umenikomoaNikiandika kiswahili mnanikosoa sijui kiswahil that why natumia English now
NonoAah basi unajiona mjanja mwenyewe umenikomoa
Kwa kikristo navyojua Mimi hatupaswi kutoa mahari pale unapooa.Ww umeongelea kwa upande wa dini yako
Ukifafanua itakuwa itakua vizuri zaidi.Inawezekana Mkuu
Mkuu Mimi MWENYEWE najiuliza Sasa Kama haina maana , kungekuwa Hakuna haja ya kupeleka posa kwao. Na kutuma watu wakakutane na mzee wa binti. Ingekuwa HIVYO binti angesema tuuwenyewe home kwamba naolewa tarehe flani Basi.Iyo ndoa haitakuwa na maana kwa Sababu Kama wazazi wapo why usiwape tararifa means their don't have right to know or to participate or?
Mkuu naomba tuwe specific , Kuna Seria za serikali na za dini tofauti( uislama na ukisto)😀😀😀
Taarifa haifanyi ndoa isiwe ya maana, mambo yanayovunja ndoa ndio mambo hatohayo yanayoweza kufanya ndoa isifungwe.
Sasa nenda kwenye Sheria uangalie nu mambo gani yanayoweza kufanya ndoa ikavunjwa uone Kama Wazazi wapo?
Awatumie kufanya nini, kwan ndio wanafunguo za ke yake? Aolewe tu na mimba abebe kabsaa.Watumie baba wadogo au wakubwa
Nakazia...Baba anagonga mwanae..!! Full stop
Mkuu Basi ata posa Unaweza usimwambie Baba yako kwamba akusaidie kupeleka mkuu, hata kama yupo hai.Wewe utakuwa hauelewi mambo ya ndoa, kuna vigezo ambavyo vinafanya ndoa ifungwe, ikubalike, vigezo hivyo vikivunjwa ndoa haipo, na Kama ndoa ilifungwa basi inaweza kuvunjwa tuu.
Wazazi hawapo kwenye hivyo VIGEZO aidha vya kuifanya ndoa ifungwe au isifungwe au Talaka.
Ndoa ni ishu ya watu wawili Sheikhe, na watakaoulizwa ni watu wawili sio wazazi😂
Mkuu Basi ata posa Unaweza usimwambie Baba yako kwamba akusaidie kupeleka mkuu, hata kama yupo hai.
Mkuu naomba tuwe specific , Kuna Seria za serikali na za dini tofauti( uislama na ukisto)
Mkuu kwani Muanzilishi wa Ndoa Ni Nani???Sheria zinatambulika ni sheria za nchi Sheikhe 😂😂
Dini unaweza kubadilisha muda wowote ukitaka lakini utaifa kubadili ni process
Fungu gani mkuu naomba unionyeshe coz Mimi nalijua tuu " mwanaume ataachana na Baba na mama yake nae ataambana na mkewe nao watakua mwili mmoja" ila sijaona lililo andikwa mwanamke ataachana na wazazi au utawaacha wazazi utaambatana na umpendae.Imeandikwa utaachana na wazazi na utaambatana na umpendae kwa Nia ya kuanzisha familia yenu. Baba hawezi kuzuia , binti nakushauri olewa, baba ataelewa baadae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hio unatetea uzinzi, mkuuMchumba ampe ujauzito muone huyo baba kama atakoroma na kufanya ujinga tena.