Criminal law principle: kwenye kesi za accessories/accomplices: mtenda kosa mkuu yaani mshitakiwa mkuu asipopatikana na hatia kwa sababu iwayo yeyote, wale watuhumiwa wengine wanakuwa hawana hatia kwa sababu ikiwa mashtaka ni kula njama na kuua, halafu mtendaji mkuu hajapatikana na hatia ya kuua, basi haiwezekani uwakute washiriki na hatia ya kosa ambalo halijathibiyishwa.
Rejea kesi ya akina Zombe. Saadi ambaye alifyatua risasi alifariki kabla ya hukumu. Na zombe akaponea hapo maana mshirika wake hakupatikana na hatia