ho chi minh
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 32,904
- 163,073
Husoma mafaili akisikiliza taalabu, unategemea nini hapo?Huyo kauliwa na mapolisi ili wamsingizie kesi, uhuni umerudi tena serikalini mama anaangaika na mambo ya kipumbaavu ya machifu na kuvaa ngozi, wakati nchini mambo yanaharibika.[emoji848]