Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Sana...Kwa wazazi inaumiza .
Tusiache kuomba Mungu awalinde watoto wetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana...Kwa wazazi inaumiza .
Hili nalo lizingatiweTupe Summary kidogo maana wengine tukiview hiyo clip asilimia 75 ya kifurushi inakuwa imetumika.
Shenzi kabisa na haya ni mawazo ya kishetani na kichawi usijifanye msomi vyeti ukadharau wazazi nguruwe wewe ht maandiko ktk amri 10 yamezungumza khs wazazi mpuuz wewe huna akili bila Mungu wewe ni bichwa maji na wakala wa pepo
Mungu autunze uzao wakoHizi mada naziogopa mno mie mzazi mtarajiwa. Mungu aepushie mbali tu laana hii😔
Huyu mzee ilitakiwa atulie kwanza kipindi hiki kizito cha kuondokewa na mwanae.. anavyoongea hivyo anawatengenezeamedia hela kirahisi sana
Namhurumia sana mtoto wa Irine Uwoya.Mafirauni wataml tuuuKuna MTU Leo kasema watoto wanaolelewa na singlemoms ndo huishia kuishia kuwa mashoga na wasagaji.Sikuzote jibu langu kwa ajionae yupo perfect na mie ni mdhambi ni "sawa Mkuu"
Kwan kakaajekaajeNamhurumia sana mtoto wa Irine Uwoya.Mafirauni wataml tuuu
Kwanza kwao ni wapi huyu dada?
Mh.Naibu Waziri alitushauri kupitia Bunge tukufu kuwa dawa ya kukabiliana na tatizo la bundle kuisha kwa haraka ni kuzima dataTupe Summary kidogo maana wengine tukiview hiyo clip asilimia 75 ya kifurushi inakuwa imetumika.
Mungu atunusuru na vizazi vyetu.Mungu simama nasi, lea nasi baba, tunusuru na hili janga sisi na vizazi vyetu🙏
View attachment 2603929
Viatu vya huyu baba havinitoshi
===
Marehemu Milembe Suleiman ambaye miaka kadhaa iliyopita alitrend mitandaoni kwa kumvisha pete mwanamke mwenzake ikiashiria anajihusisha na vitendo vya kisagaji, baba yake amezungumza kuhusu tukuio hilo.
Baba huyo amesema baada ya kuona video hiyo walimpinga vikali na kumuasa kuacha mienendo hiyo. Watu wa familia yake ikiwemo wanaye wote walimuona Milembe kuwa ni mtu aliyekengeuka.
Milembe Suleimani aliuawa na kukatwa viungo vyake.
Pia soma TANZIA - Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa
Mkuu kama umeiona hiyo video msaada wa alichokisema. Kuhusu maoni yako nitayafanyia kazi.Nyie si muuze simu mnunue bundle?!