balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Kama lidemuKwan kakaajekaaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama lidemuKwan kakaajekaaje
vp we mwanao akiwa ivyo ufrahi acha upimbiKwani huyo mzazi anatakaje na akat milembe alikua mtu mzima alikua anafanya vile ambavyo yeye anataka.
Wazazi wengine bhana, akurupukee kuwapa Media hints za kuandika mtandaoni kuhusu mwanae. Lol
Kheee yule dogo ni shogaa????? KheeeHakika...maana watoto wa Will Smith malezi gani wamekosa pale...makini bado wamegawana majukumu mmoja shoga Mwingine msagaji
Unaona sawa mzazi kumuongelea mwanawe negative kipindi hiki ambavyo hta mtoto mwenyewe hajapumzishwa?? Busara ni muhimu.. media zipo kutengeneza pesa tu..Na wewe hupendi iwe hivyo?
Pimbi mwenyewee, huna hoja au??vp we mwanao akiwa ivyo ufrahi acha upimbi
Yule sio mlezi. Anajitahidi sana kumuweka mtoto yule na mashoga anayozunguka nayo. Mungu amuokoe yule mtoto asiye na hatia maana hata na yeye hakupenda kuzaliwa kwenye lile tumbo.Namhurumia sana mtoto wa Irine Uwoya.Mafirauni wataml tuuu
Anazungumzia Ajali ya Naibu Waziri na namna alivyokengeuka miguu juuTupe Summary kidogo maana wengine tukiview hiyo clip asilimia 75 ya kifurushi inakuwa imetumika.
Ndo ivoKheee yule dogo ni shogaa????? Kheee
Na ikishakuwa ndo imekuwaKila mtu anatakiwa kuishi vile ambavyo yeye anataka, wazazi wa ki Africa wanapenda kupangianaa. Ni big Nooo.
kuna kitu wamekosa,malezi si pesa pekee kumbuka wale ni kama wamefugwa kiufupiHakika...maana watoto wa Will Smith malezi gani wamekosa pale...makini bado wamegawana majukumu mmoja shoga Mwingine msagaji
Hawajafungwa kwa kufungiwa wamefugwa kwa kuachiwa huru....mbona bado wamechagua maisha yao,,kuna kitu wamekosa,malezi si pesa pekee kumbuka wale ni kama wamefugwa kiufupi
sasa binadamu hafugwi anapewa malezi ,wanyama ndio hufugwa hata wakifanya ufirauni hakuna wa kujali kikubwa wafike kilo za kuchinjwa japo wanyama wenyewe wamekataa ushoga mbali ya kuwa wanafugwaHawajafungwa kwa kufungiwa wamefugwa kwa kuachiwa huru....mbona bado wamechagua maisha yao,,
Ndo waliishi na wazazi wote sasa mkuu..wawe hawakufugwa au walifugwasasa binadamu hafugwi anapewa malezi ,wanyama ndio hufugwa hata wakifanya ufirauni hakuna wa kujali kikubwa wafike kilo za kuchinjwa japo wanyama wenyewe wamekataa ushoga mbali ya kuwa wanafugwa
ndio huyu sioKama lidemu