Basi 40 zako bado!Ndyooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi 40 zako bado!Ndyooo
[emoji23][emoji23][emoji23] Bab milembeTupe Summary kidogo maana wengine tukiview hiyo clip asilimia 75 ya kifurushi inakuwa imetumika.
Wee nitolee ngenga zako hapa, [emoji23][emoji23][emoji23]Wewe utakuwa huna mahusiano mazuri na wazazi wako. Kuna uwezekano walishakuzuia tabia yako ya ushoga ukawazarau. Subiri utafundishwa na dunia mkuu!!
Basi sawaah.Basi 40 zako bado!
Sawa Bab milembeHuyu mzee ilitakiwa atulie kwanza kipindi hiki kizito cha kuondokewa na mwanae.. anavyoongea hivyo anawatengenezeamedia hela kirahisi sana
Bab milembe ,kwann mzee alimpa jina milembeKwanza kwao ni wapi huyu dada?
Jibu swali acha ushoga mkuu.Wee nitolee ngenga zako hapa, [emoji23][emoji23][emoji23]
Pambana na mambo yakoo.
Ushoga wangu wee unaumia wapiii?? Vipi natumia kitobo chakoo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jibu swali acha ushoga mkuu.
Haya endelea basi. Lakini jua wazazi wako wanaumia sana na tabia yako hiyo mbaya ya ushoga.Ushoga wangu wee unaumia wapiii?? Vipi natumia kitobo chakoo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maumivu yao hayanihusu mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya endelea basi. Lakini jua wazazi wako wanaumia sana na tabia yako hiyo mbaya ya ushoga.
Ila ni kweli labda umechagua tu kubisha sababu una sympathize na single mothers, ila tafiti zipo zimefanyika na imeonyesha kuwa hivyo.Kuna MTU Leo kasema watoto wanaolelewa na singlemoms ndo huishia kuishia kuwa mashoga na wasagaji.Sikuzote jibu langu kwa ajionae yupo perfect na mie ni mdhambi ni "sawa Mkuu"
Humu kila mtu ni HAKIMU.humu kila mmoja ana tupa lawama
ila hatujifunzi kuacha matendo maovu malaya, waongo,.wasengenyaji wote tunajiona hatuna dhambi
Mama yao ndie anawaharibu. Will Smith hana sauti mbele ya mkewe, ni Simpleton kwa Jada. Sijui yule mwanamke anampendea nini maana ni mwanamke ambaye anamfanyiaga mambo ya ajabu sana ambayo mwanaume serious angesema tu, naona tuishie hapa.Hakika...maana watoto wa Will Smith malezi gani wamekosa pale...makini bado wamegawana majukumu mmoja shoga Mwingine msagaji
Wewe unazipenda hizo Tabia ?Shenzi kabisa na haya ni mawazo ya kishetani na kichawi usijifanye msomi vyeti ukadharau wazazi nguruwe wewe ht maandiko ktk amri 10 yamezungumza khs wazazi mpuuz wewe huna akili bila Mungu wewe ni bichwa maji na wakala wa pepo
Hospital inaitwa MirembeWazazi tuwe tunachagua majina mazuri ya kuwapa watoto wetu, Milembe !!??-- na ile hospitali kule Dom inaitwaje ?![emoji57]
Vyakula muhimu sana kuwa navyo makini kwa watoto!Ombea sana uzao wako utakaokuja na utembee kwenye sheria za muumba