Baba mzazi wa marehemu Milembe Suleman aongea mazito

Baba mzazi wa marehemu Milembe Suleman aongea mazito

Huenda hata mzee kashukuru Mungu mwanaye kuaga dunia...
 
Hvyo viganja ndio alikuwa anavitumia kusagiaa wenzakee ila uzuri alionywaa ila haku sikiaa
 
Wewe utakuwa huna mahusiano mazuri na wazazi wako. Kuna uwezekano walishakuzuia tabia yako ya ushoga ukawazarau. Subiri utafundishwa na dunia mkuu!!
Wee nitolee ngenga zako hapa, [emoji23][emoji23][emoji23]
Pambana na mambo yakoo.
 
Kuna MTU Leo kasema watoto wanaolelewa na singlemoms ndo huishia kuishia kuwa mashoga na wasagaji.Sikuzote jibu langu kwa ajionae yupo perfect na mie ni mdhambi ni "sawa Mkuu"
Ila ni kweli labda umechagua tu kubisha sababu una sympathize na single mothers, ila tafiti zipo zimefanyika na imeonyesha kuwa hivyo.

Ukienda kwenye jamii ya mzungu huko marekani wazazi walevi, wanaume wanaopiga watoto wao na wake zao, na kuleta mifarakano huwa unapelekea kwa asilimia kubwa watoto wao kuja kuwa wauwaji (serial killers) baadae.

Nadhani kabla haujairidhisha nafsi yako kuwa kinachosemwa ni uongo au hakina ukweli then hakikisha una exposure ya kutosha juu ya tatizo sio tu kwenye jamii yako bali tazama na lilipoanzia. Hili tatizo kwetu ni imported na culture za wenzetu.

Single mothers wanalea watoto wenyewe bila uwepo wa baba therefore watoto wanapata malezi ya jinsia moja muda mwingi. Nyumbani ni mama na housegirl, akienda shule anapokewa na matron wa kike kwenye basi, akifika anakutana na mwalimu wa kike class, mkao wa darasani wanamuweka mtoto wa kiume katikati na wa kike wawili kila upande au wanakaa wawili wawili jinsia tofauti, akienda break anakutana na mpishi wa kike, akienda michezoni mwalimu na trainer ni mwanamke, anaondoka anarudi nyumbani anapokelewa na house girl, mzazi anayemuona kila siku ni mama baba hamuoni.

Hii inatengeza kitu kinaitwa gender dysphoria kwenye akili ya mtoto. Kama ni wa kike anakuwa hapati picha ya uwepo wa mwanaume kwenye maisha yake so anashindwa kurelate na jinsia ya kiume, akitazama mitandaoni anaona kuna LGBTQ movies na kampeni mitandaoni. Akitazama na kujifunza anaona ni bora kufuata kundi hili la LGBTQ sababu wanamuelewa hali yake zaidi akikaa na watu Heterosexual watakuwa wanamshangaa kwann hajui mambo mengi kuhusu wanaume.

Kama ni wakiume anashindwa kurelate na uanaume imagine kumcomtrol mwanamke hadi awe kwenye himaya yako si jambo rahisi linataka guts za kiume. Yeye alijifunzia wapi. Tokea mdogo ni mama tu na yeye. Hajui kudate, hajui maneno ya kumwambia mwanamke akitaka amfurahishe mwisho wa siku anawaona wanawake ni rafiki zake au watu anaorelate nao zaidi kuliko wanaume anaanza wakopy lifestyle zao, na ndani ya nafsi yake anakuwa comfortable zaidi akiwa amezungukwa na wanawake kuliko wanaume. Matokeo yake anajidistance na wanaume sana hadi anawaona kama ni opposite sex, akikaa na mademu wanahadhithia experience zao na wanaume kama kunyonya mboo kwa mara ya kwanza na yeye anatamani ajaribu ndio siku anakutana na fedhuli anampa dudu anyonye analiwa na firigisi hapo hapo.

Kuna mengi unaweza kuwa hauyafahamu sababu akili yako ipo crowded na victim mentality, au akili yako imekaa katika defense mode badala ya learning mode.

Fuatilia utaelewa.
 
Hakika...maana watoto wa Will Smith malezi gani wamekosa pale...makini bado wamegawana majukumu mmoja shoga Mwingine msagaji
Mama yao ndie anawaharibu. Will Smith hana sauti mbele ya mkewe, ni Simpleton kwa Jada. Sijui yule mwanamke anampendea nini maana ni mwanamke ambaye anamfanyiaga mambo ya ajabu sana ambayo mwanaume serious angesema tu, naona tuishie hapa.

Ndio shida ya kuoa mademu yalioishi uswahilini huko eventually yatarudia asili yao ya ufisi.

Yule demu (jada) ndie anayewaharibu wale watoto. Hata Alicia Keys nae anausenge kwa mtoto wake wa kiume yule alipata na swiss beats.

Kuna mengi sana yanaendelea nyuma ya pazia.
 
Shenzi kabisa na haya ni mawazo ya kishetani na kichawi usijifanye msomi vyeti ukadharau wazazi nguruwe wewe ht maandiko ktk amri 10 yamezungumza khs wazazi mpuuz wewe huna akili bila Mungu wewe ni bichwa maji na wakala wa pepo
Wewe unazipenda hizo Tabia ?
 
Back
Top Bottom