Baba mzazi wa marehemu Milembe Suleman aongea mazito

Baba mzazi wa marehemu Milembe Suleman aongea mazito

Kwani huyo mzazi anatakaje na akat milembe alikua mtu mzima alikua anafanya vile ambavyo yeye anataka.

Wazazi wengine bhana, akurupukee kuwapa Media hints za kuandika mtandaoni kuhusu mwanae. Lol
Ukiwa mtu mzima ukifanya mambo ya ajabu wazazi watahuzunika. Wazazi hupenda siku zote tufanye mambo mazuri bila kujali tumeshakua watu wazima au laa
 
Ukiwa mtu mzima ukifanya mambo ya ajabu wazazi watahuzunika. Wazazi hupenda siku zote tufanye mambo mazuri bila kujali tumeshakua watu wazima au laa
Hayo ni ya wazazi, sio lazima mtoto ayafanye ili hali kashakua mkubwa na anajua nn afanye.

Hao wazazi watulize ngenga, sanaa wanajichoreshaa tyuuh.
 
Mh.Naibu Waziri alitushauri kupitia Bunge tukufu kuwa dawa ya kukabiliana na tatizo la bundle kuisha kwa haraka ni kuzima data

kuna siku tutashauriwa kuwa kukabiliana na gharama kubwa za matibabu ni kutoumwa
😅😅😅😅
 
Kwani huyo mzazi anatakaje na akat milembe alikua mtu mzima alikua anafanya vile ambavyo yeye anataka.

Wazazi wengine bhana, akurupukee kuwapa Media hints za kuandika mtandaoni kuhusu mwanae. Lol
Wewe shoga acha hizo lakini nakushauri usije Kanda ya Ziwa hasa Geita wata ku milembe!!
 
Nashangaa, huo Usagaji kauanza leo, akati ni mda tyuuh.

Wamemuua kisa Pesa au imani za kishirikina, ila wanakazania Homophobia ili watu wasihoji zaidi.

Sheria ifuate mkondo wake. Hao suspects wabanwe hadi waseme ukweli wotee.
Siku zake 40 ndio zilikuwa zimefika.
 
Mungu simama nasi, lea nasi baba, tunusuru na hili janga sisi na vizazi vyetu🙏

View attachment 2603929

Viatu vya huyu baba havinitoshi
===
Marehemu Milembe Suleiman ambaye miaka kadhaa iliyopita alitrend mitandaoni kwa kumvisha pete mwanamke mwenzake ikiashiria anajihusisha na vitendo vya kisagaji, baba yake amezungumza kuhusu tukuio hilo.

Baba huyo amesema baada ya kuona video hiyo walimpinga vikali na kumuasa kuacha mienendo hiyo. Watu wa familia yake ikiwemo wanaye wote walimuona Milembe kuwa ni mtu aliyekengeuka.

Milembe Suleimani aliuawa na kukatwa viungo vyake.

Pia soma TANZIA - Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa


Wazazi tuwe tunachagua majina mazuri ya kuwapa watoto wetu, Milembe !!??-- na ile hospitali kule Dom inaitwaje ?!😏
 
Ukiwa mtu mzima ukifanya mambo ya ajabu wazazi watahuzunika. Wazazi hupenda siku zote tufanye mambo mazuri bila kujali tumeshakua watu wazima au laa

Hii kaul bi mkubwa alikuwa ananiambia Sana imenifanya kuwa muoga kila ninapotaka kufanya mambo ya miyayusho na imenijenga Sana …. Atakae kupinga apa siwez kumshangaa Sababu bongo tuna watu wengi wenye matatizo ya Akili
 
Milembe alikuwa na pesa Ila alizitumia vibaya, alifanya fimbo ya kufanyia ufedhuli, wenzie wanajitolea kwa jamii au watu wanaokuzunguka, mbele yake nyuma yetu.
Nadhani kuwa na pesa haikuwa tatizo...Inaonekana u-born-bush ndio ulimsumbua....Nilikuwa nadhani alikuwa born - town, kumbe ni Mtoto wa Misungwi......
 
Back
Top Bottom