Tatizo binadamu wa kizazi hiki ni wabishi sana.
Kweli kabisa; wanajifanya wao wanajua kuliko wazazi wao!! Hilo ndio tatizo; kwa kudharau maelekezo ya wazazi ndio maana wanapata laana na kutenda mambo ya hovyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo binadamu wa kizazi hiki ni wabishi sana.
Asihukumu in public, Cha Muhimu ni Hawa wauaji kukamatwa kwanza, hatujajua chanzo Cha mauaji, ila watu wasije muhukumu marehemu wakati Kuna wauwaji!!!Huyu mzee ilitakiwa atulie kwanza kipindi hiki kizito cha kuondokewa na mwanae.. anavyoongea hivyo anawatengenezeamedia hela kirahisi sana
Ukiwa mtu mzima ukifanya mambo ya ajabu wazazi watahuzunika. Wazazi hupenda siku zote tufanye mambo mazuri bila kujali tumeshakua watu wazima au laaKwani huyo mzazi anatakaje na akat milembe alikua mtu mzima alikua anafanya vile ambavyo yeye anataka.
Wazazi wengine bhana, akurupukee kuwapa Media hints za kuandika mtandaoni kuhusu mwanae. Lol
Hayo ni ya wazazi, sio lazima mtoto ayafanye ili hali kashakua mkubwa na anajua nn afanye.Ukiwa mtu mzima ukifanya mambo ya ajabu wazazi watahuzunika. Wazazi hupenda siku zote tufanye mambo mazuri bila kujali tumeshakua watu wazima au laa
Haswaaaah.Na ikishakuwa ndo imekuwa
😅😅😅😅Mh.Naibu Waziri alitushauri kupitia Bunge tukufu kuwa dawa ya kukabiliana na tatizo la bundle kuisha kwa haraka ni kuzima data
kuna siku tutashauriwa kuwa kukabiliana na gharama kubwa za matibabu ni kutoumwa
Wewe shoga acha hizo lakini nakushauri usije Kanda ya Ziwa hasa Geita wata ku milembe!!Kwani huyo mzazi anatakaje na akat milembe alikua mtu mzima alikua anafanya vile ambavyo yeye anataka.
Wazazi wengine bhana, akurupukee kuwapa Media hints za kuandika mtandaoni kuhusu mwanae. Lol
Siku zake 40 ndio zilikuwa zimefika.Nashangaa, huo Usagaji kauanza leo, akati ni mda tyuuh.
Wamemuua kisa Pesa au imani za kishirikina, ila wanakazania Homophobia ili watu wasihoji zaidi.
Sheria ifuate mkondo wake. Hao suspects wabanwe hadi waseme ukweli wotee.
Mkuu huyo ni shoga usihangaike naye.vp we mwanao akiwa ivyo ufrahi acha upimbi
Mungu simama nasi, lea nasi baba, tunusuru na hili janga sisi na vizazi vyetu🙏
View attachment 2603929
Viatu vya huyu baba havinitoshi
===
Marehemu Milembe Suleiman ambaye miaka kadhaa iliyopita alitrend mitandaoni kwa kumvisha pete mwanamke mwenzake ikiashiria anajihusisha na vitendo vya kisagaji, baba yake amezungumza kuhusu tukuio hilo.
Baba huyo amesema baada ya kuona video hiyo walimpinga vikali na kumuasa kuacha mienendo hiyo. Watu wa familia yake ikiwemo wanaye wote walimuona Milembe kuwa ni mtu aliyekengeuka.
Milembe Suleimani aliuawa na kukatwa viungo vyake.
Pia soma TANZIA - Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa
Uchumi wa blue na kijani😜😜😜Tupe Summary kidogo maana wengine tukiview hiyo clip asilimia 75 ya kifurushi inakuwa imetumika.
Nilikaa km miezi miwili na sikufanywa chochotee.Wewe shoga acha hizo lakini nakushauri usije Kanda ya Ziwa hasa Geita wata ku milembe!!
Basi sawaaSiku zake 40 ndio zilikuwa zimefika.
Ukiwa mtu mzima ukifanya mambo ya ajabu wazazi watahuzunika. Wazazi hupenda siku zote tufanye mambo mazuri bila kujali tumeshakua watu wazima au laa
Nadhani kuwa na pesa haikuwa tatizo...Inaonekana u-born-bush ndio ulimsumbua....Nilikuwa nadhani alikuwa born - town, kumbe ni Mtoto wa Misungwi......Milembe alikuwa na pesa Ila alizitumia vibaya, alifanya fimbo ya kufanyia ufedhuli, wenzie wanajitolea kwa jamii au watu wanaokuzunguka, mbele yake nyuma yetu.
Wewe utakuwa huna mahusiano mazuri na wazazi wako. Kuna uwezekano walishakuzuia tabia yako ya ushoga ukawazarau. Subiri utafundishwa na dunia mkuu!!Hayo ni ya wazazi, sio lazima mtoto ayafanye ili hali kashakua mkubwa na anajua nn afanye.
Hao wazazi watulize ngenga, sanaa wanajichoreshaa tyuuh.
Siyo wa Misungwi nasikia ni wa Shiyanga.Nadhani kuwa na pesa haikuwa tatizo...Inaonekana u-born-bush ndio ulimsumbua....Nilikuwa nadhani alikuwa born - town, kumbe ni Mtoto wa Misungwi......
Na ulikuwa unaendelea na shughuli yako ya ushoga!!?Nilikaa km miezi miwili na sikufanywa chochotee.
NdyoooNa ulikuwa unaendelea na shughuli yako ya ushoga!!?