Baba mzazi wa marehemu Milembe Suleman aongea mazito

Baba mzazi wa marehemu Milembe Suleman aongea mazito

habari za siku tele !
Hili suala ni kubwa sana mayai bwege ni hatari sana kwa watoto chocolate manukato ni hatari zaidi wewe huja wahi Kutana na manukato yaka kuletea kamsisimko! Taifa limekwisha hili siku hizi bar wanawake wengi wasagaji na wanaume wengi ni Mabwege !

Ni kweli mkuu
Mimi natamani vijana na kila mwenye uwezo wa kuzaa atambue kwamba kulea ni jukumu kubwa. Na kama huna utayari wa kulea inavyopasa usizae maana ni kutesa watoto na jamii kwani hata mashoga na wasagaji wengi wa miaka hii sio matokeo ya asili ila ni matokeo ya makuzi.
 
Miaka ya sasa watu wengine wanafanya haya mambo kwa lengo la kupiga pesa.
Sasa hivi tafiti za Ushoga zitalipa sana kuliko hapo awali.
Ndio maana Kuna Semina ilikuwa inafundisha Walimu maswala hayo na walikuwa wanalipwa pesa ndefu kwa siku.
Kumbukeni sio watu wote wanahofu ya Dini.
Kama kuna viongozi wengi wanafuja pesa za umma bila hofu ya Dini.

Kwanini mtu mwingine asifanye hayo matendo kwa kujipatia Ujira ?
 
Ni kweli mkuu
Mimi natamani vijana na kila mwenye uwezo wa kuzaa atambue kwamba kulea ni jukumu kubwa. Na kama huna utayari wa kulea inavyopasa usizae maana ni kutesa watoto na jamii kwani hata mashoga na wasagaji wengi wa miaka hii sio matokeo ya asili ila ni matokeo ya makuzi.
Ni kweli makuzi ni suala moja kubwa sana ila kuna vichochezi ambavyo sio vya asili vijana wana patiwa! Inabidi wazazi watarajiwa wajuwe kuwalinda watoto kuanzia kwenye lishe na tabia! Aisee tatizo ni kubwa kuliko watu wengi wanavyo liona! Sijui kwanini wazazi wengi huwa hawana muda na watoto wao! Mungu atupe miaka 5 mbeleni mambo yatakuwa mabaya sana !
 
Mungu simama nasi, lea nasi baba, tunusuru na hili janga sisi na vizazi vyetu[emoji120]

View attachment 2603929

Viatu vya huyu baba havinitoshi
===
Marehemu Milembe Suleiman ambaye miaka kadhaa iliyopita alitrend mitandaoni kwa kumvisha pete mwanamke mwenzake ikiashiria anajihusisha na vitendo vya kisagaji, baba yake amezungumza kuhusu tukuio hilo.

Baba huyo amesema baada ya kuona video hiyo walimpinga vikali na kumuasa kuacha mienendo hiyo. Watu wa familia yake ikiwemo wanaye wote walimuona Milembe kuwa ni mtu aliyekengeuka.

Milembe Suleimani aliuawa na kukatwa viungo vyake.

Pia soma TANZIA - Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Mwisho wa uovu ni aibu
 
Hii nchi watu wote wangejua na msimamo wa watu wa Kanda ya Ziwa huu upuuzi wa upinde ungeshatokomezwa kitambo. Hongereni sana Geita kwa kumfundisha adabu Mpumbavu mmoja.
Ndugu!!!!
Sikuungi mkono.
Vipi huyu dada angekuwa ni dada Yako au mwanao ungesema hayo.

Hatuungi mkono ushoga na usagaji ila haiko sawa kumtoa uhai mtu kisa hayo mambo.
 
Ndugu!!!!
Sikuungi mkono.
Vipi huyu dada angekuwa ni dada Yako au mwanao ungesema hayo.

Hatuungi mkono ushoga na usagaji ila haiko sawa kumtoa uhai mtu kisa hayo mambo.
Unaniuliza angekuwa dada yangu au mwanangu ningesema hayo? YES NINGESEMA HIVYO HIVYO!

Naona unanishangaa ila humshangai baba yake Milembe Suleiman. Unajua yule Mzee amesemaje? Na sijui ni kwanini hujashangaa kauli ya mama mzazi wa Mchungaji Mackenzie wa Kenya aliyehusika na vifo vya waumini wake. Unajua mama Mackenzie amesemaje kuhusu mwanae? Kama hujui nikwambie: amesema haumii mwanae kukamatwa na itakuwa halali mwanae huyo naye akiuawa, maana amekosea kuua.

Wewe nishangae tu, lakini huo ndo msimamo wangu. Nikigundua mwanangu ni shoga au msagaji mahusiano yanavunjika, na nikipata chance namuua tu maana ni fedheha kwangu. Kama baba mzazi wa mwanamuziki wa Marekani Marvin Gay alimuua mwanae, na hakujutia kosa hilo, unafikiri wazazi wa namna hiyo tumeisha duniani?
 
Nao Wana haki ya kuishi ka wewe warumi alikuwaga mtu poa sana Kwa ubuyu nimemu miss
Mtu poa shoga tena huyo warumi si ndo alikuwa anaongoza kutukana watu huku ndani na kubrag eti he is rich sijui nn

Inshort i was very happy nilivyosikia msiba wake to be honest na nilimwagilia moyo akalale kuzimu na wajinga wenzio nasubiria siku vifo vya machoko wa humu ifike nikamwagilie moyo tu sina namna 😁😁😁😁
 
Mtu poa shoga tena huyo warumi si ndo alikuwa anaongoza kutukana watu huku ndani na kubrag eti he is rich sijui nn

Inshort i was very happy nilivyosikia msiba wake to be honest na nilimwagilia moyo akalale kuzimu na wajinga wenzio nasubiria siku vifo vya machoko wa humu ifike nikamwagilie moyo tu sina namna [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Una makasiriko sana Sasa una mtukana meenzako unafikiria yeye ni jiwe Hana hisia za kibinadamu Hadi akunyanazie kisa anafanya dhambi tofauti na dhambi zako nyingine ndio avumilie tu.

Omba Mungu usipate mtoto wa hivyo maana warumi alikuwa mtoto wa pastor so be careful
 
Mungu simama nasi, lea nasi baba, tunusuru na hili janga sisi na vizazi vyetu🙏

View attachment 2603929

Viatu vya huyu baba havinitoshi
===
Marehemu Milembe Suleiman ambaye miaka kadhaa iliyopita alitrend mitandaoni kwa kumvisha pete mwanamke mwenzake ikiashiria anajihusisha na vitendo vya kisagaji, baba yake amezungumza kuhusu tukuio hilo.

Baba huyo amesema baada ya kuona video hiyo walimpinga vikali na kumuasa kuacha mienendo hiyo. Watu wa familia yake ikiwemo wanaye wote walimuona Milembe kuwa ni mtu aliyekengeuka.

Milembe Suleimani aliuawa na kukatwa viungo vyake.

Pia soma TANZIA - Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Hata yeye havimtoshi, swala ni kwamba ni lazima mhusika avivae, kwa hiyo usipoomba Mungu sana na kulea watoto kwa jitihada na sala, yeyote anaweza lazimishwa kuvivaa.
 
Una makasiriko sana Sasa una mtukana meenzako unafikiria yeye ni jiwe Hana hisia za kibinadamu Hadi akunyanazie kisa anafanya dhambi tofauti na dhambi zako nyingine ndio avumilie tu.

Omba Mungu usipate mtoto wa hivyo maana warumi alikuwa mtoto wa pastor so be careful
Huyo warumi wako unayemtetea sijamtukana tusi lolote nimeelezea ukweli na uhallisia kwani uongo alikuwa anatukana watu humu na kuwaita masikini, sijui kalala na midume mingapi humu, sijui anaendaga Germany daily yaani full show off watu tunamcheki tu, kumbe hamna kitu hapo

Na uzuri kipindi hicho nilikuwa siijui jf vizuri bado, ila nimependezwa na kifo chake aendelee tu kuliwa na wadudu huko aliko,,,

INFACT:
Ninao tiyari watoto mkuu 2 madume
1. Yupo form 4 mwaka huu
2. Kamaliza chuo last year kaajiriwa sehemu x
-Na sina mashaka nao kabisa mkuuuu.

Hivyo sio kila familia inatoaga mashoga na wasagaji hata sisi kwenye ukoo wetu hamna hivyo vitu kabisa mkuuu and I'm sure maana hao watu wamelaaniwa mbinguni na ardhini na waache waendelee kuuwawa tu mi kila nikisikia habari ya vifo vyao naenda kumwagilia moyo tu na wine yangu safi

We kama unaendelea kuwatetea watetee tu usiwaingize watu humo kwenye huo utetezi wako mkuuu 🙏🙏🙏

Nadhani umenielewa,,,,,
 
Huyo warumi wako unayemtetea sijamtukana tusi lolote nimeelezea ukweli na uhallisia kwani uongo alikuwa anatukana watu humu na kuwaita masikini, sijui kalala na midume mingapi humu, sijui anaendaga Germany daily yaani full show off watu tunamcheki tu, kumbe hamna kitu hapo

Na uzuri kipindi hicho nilikuwa siijui jf vizuri bado, ila nimependezwa na kifo chake aendelee tu kuliwa na wadudu huko aliko,,,

INFACT:
Ninao tiyari watoto mkuu 2 madume
1. Yupo form 4 mwaka huu
2. Kamaliza chuo last year kaajiriwa sehemu x
-Na sina mashaka nao kabisa mkuuuu.

Hivyo sio kila familia inatoaga mashoga na wasagaji hata sisi kwenye ukoo wetu hamna hivyo vitu kabisa mkuuu and I'm sure maana hao watu wamelaaniwa mbinguni na ardhini na waache waendelee kuuwawa tu mi kila nikisikia habari ya vifo vyao naenda kumwagilia moyo tu na wine yangu safi

We kama unaendelea kuwatetea watetee tu usiwaingize watu humo kwenye huo utetezi wako mkuuu [emoji120][emoji120][emoji120]

Nadhani umenielewa,,,,,
Waswahili husema usitukane mamba kabla hujavuka mto na ajizaniaye amesimama ajiangalie asije anguka
Maisha ni fumbo na ni safari ndefu sana lolote laweza tokea
 
Waswahili husema usitukane mamba kabla hujavuka mto na ajizaniaye amesimama ajiangalie asije anguka
Maisha ni fumbo na ni safari ndefu sana lolote laweza tokea
Nadhani umenielewa,,,,, kila mtu abaki na msimamo wako we kama unaendelea kuwaonea huruma it's up to you 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

Uwe na siku njema
 
Nadhani umenielewa,,,,, kila mtu abaki na msimamo wako we kama unaendelea kuwaonea huruma it's up to you [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Uwe na siku njema
Kwani nime force waonewe huruma jamani kwangu dhambi ni dhambi tu so tusihukumu kabla hatujahukumiwa bana.
Nawe siku njema
 
Kwa Bongo hii iliyojaa wanafiki, utaishia kusaidia watu au jamii na mwsho wake uambulie mabaya.
Pesa zake katumia alivyotakaa.
Huo ni mtazamo wako, inategemea na matumizi, matumizi ya kusaga wanawake na kuwalipa,/ ukitenda wema Kuna kulipwa na mungu pia, usitegemee Sana kulipwa na mwanadamu hayo ni matokeo, (muhisani ulipwa.)
 
Back
Top Bottom