Baba mzazi wa marehemu Milembe Suleman aongea mazito

Baba mzazi wa marehemu Milembe Suleman aongea mazito

Shenzi kabisa na haya ni mawazo ya kishetani na kichawi usijifanye msomi vyeti ukadharau wazazi nguruwe wewe ht maandiko ktk amri 10 yamezungumza khs wazazi mpuuz wewe huna akili bila Mungu wewe ni bichwa maji na wakala wa pepo
Mbona umechukia hivi?sasa ukiwa unamtoto wako wa kike we upo kwako,anayoyafanya unayajuaje na unayadhibitije?Hakuna mzazi ambaye Hana nasaha Kila anapoonana naye.Je hujaona mateja?mashoga?je mzazi awajibike kwenye nn wakati yeye ashatoa nasaha unatakaje tena wakati kusikia Kwa kenge??
 
Huyu mzee ilitakiwa atulie kwanza kipindi hiki kizito cha kuondokewa na mwanae.. anavyoongea hivyo anawatengenezeamedia hela kirahisi sana
Kwani huyo mzazi anatakaje na akat milembe alikua mtu mzima alikua anafanya vile ambavyo yeye anataka.

Wazazi wengine bhana, akurupukee kuwapa Media hints za kuandika mtandaoni kuhusu mwanae. Lol
 
Hakika...maana watoto wa Will Smith malezi gani wamekosa pale...makini bado wamegawana majukumu mmoja shoga Mwingine msagaji
Kila mtu anatakiwa kuishi vile ambavyo yeye anataka, wazazi wa ki Africa wanapenda kupangianaa. Ni big Nooo.
 
Kama swala lingekua ushoga wangemuua KITAAAMBO sana
Nashangaa, huo Usagaji kauanza leo, akati ni mda tyuuh.

Wamemuua kisa Pesa au imani za kishirikina, ila wanakazania Homophobia ili watu wasihoji zaidi.

Sheria ifuate mkondo wake. Hao suspects wabanwe hadi waseme ukweli wotee.
 
Shenzi kabisa na haya ni mawazo ya kishetani na kichawi usijifanye msomi vyeti ukadharau wazazi nguruwe wewe ht maandiko ktk amri 10 yamezungumza khs wazazi mpuuz wewe huna akili bila Mungu wewe ni bichwa maji na wakala wa pepo
Aaaah! kwan vipi!? Mbona jambo ndogo sana la kuelewana2
 
Back
Top Bottom