Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamas wengi wako underground na wanapigana na wanakunja na video.Israel wanatambuaje kuwa huyu ni Hamas na huyu ni raia wa kawaida?
Iran ndio anawapa silaha na namna ya kuzitengeneza.Qatar ndiyo nchi rafiki wa Hamas
Kama siasa za Palestina huzijui ni kuwa Serikali ya Palestina haiwezi kuwaambia Hamas chochote. Hamas wanaona serikali ya Palestina kama washirika wa IsraelHuyo Balozi wa Palestina anafanya nini Nchini wakati Hamas ni sehemu ya Palestina Authority?
Kwanini yeye isiongee na Yahaya Sinwar au Ismail Haniyeh nini maana ya Balozi? Kuomba Dua Misikitini?
Kwa hiyo vita kwa sasa inapiganwa underground tu? Kuliko na Hamas?Hamas wengi wako underground na wanapigana na wanakunja na video.
Basi huyu Balozi afukuzwe hapa Nchini hana kazi yeyote.Kama siasa za Palestina huzijui ni kuwa Serikali ya Palestina haiwezi kuwaambia Hamas chochote. Hamas wanaona serikali ya Palestina kama washirika wa Israel
Hata Qatar hutoa dola milioni 360 kila mwaka kuwapatia HamasIran ndio anawapa silaha na namna ya kuzitengeneza.
Sheikh Ponda aliitisha maandamano hivi yaliishia wapina bado kuna watanzania wanawaabudu HAMAS , kweli dini zimewageuza watu misukule
Hamas wangekuwa wanapigana above ground hii vita ingeshaisha ni tunnels ndio zinaichelewesha hii vita na ninasikia Hezbolah nao wameingia kwenye mapigano rasmi.Kwa hiyo vita kwa sasa inapiganwa underground tu? Kuliko na Hamas?
Hizo hazitolewi mpaka ruhusa ya Netanyahu lazima ujue hakuna Mwarabu anaeweza kukohowa ila ni Muiran tu.Hata Qatar hutoa dola milioni 360 kila mwaka kuwapatia Hamas
Kwa hiyo hao watu wanaouawa kila siku wanauawa kwenye tunnels?Hamas wangekuwa wanapigana above ground hii vita ingeshaisha ni tunnels ndio zinaichelewesha hii vita na ninasikia Hezbolah nao wameingia kwenye mapigano rasmi.
Makau makuu ya Hamas yapo QatarHizo hazitolewi mpaka ruhusa ya Netanyahu lazima ujue hakuna Mwarabu anaeweza kukohowa ila ni Muiran tu.
Ukanda wa Gaza ni eneo dogo lenye msongamano mkubwa wa Watu kwahiyo lazima mabomu yaue Wananchi wasiokuwa na hatia.Kwa hiyo hao watu wanaouawa kila siku wanauawa kwenye tunnels?
Iran sio waarabu!Hizo hazitolewi mpaka ruhusa ya Netanyahu lazima ujue hakuna Mwarabu anaeweza kukohowa ila ni Muiran tu.
Hata kama yanapigwa kwenye tunnels?Ukanda wa Gaza ni eneo dogo lenye msongamano mkubwa wa Watu kwahiyo lazima mabomu yaue Wananchi wasiokuwa na hatia.
Kitengo cha Siasa.Makau makuu ya Hamas yapo Qatar
Soma vizuri kabla hujaninukuu sijasema Iran ni Waarabu.Iran sio waarabu!