Baba wa Joshua aomba serikali ya Tanzania iongee na nchi rafiki za HAMAS ili waachie mwili wa mwanae

Baba wa Joshua aomba serikali ya Tanzania iongee na nchi rafiki za HAMAS ili waachie mwili wa mwanae

Mwili tena ndani ya miezi miwili
na nimesikia bullet proof ya nn tena si wanafunzi jamani!?

Kila nyumba ktk kibbutz ina safe room ikitokea kushambuliwa watu wanaingia na kukupata usalama huko kuna bullet proof vest, chakula cha dharura, maji n.k hadi polisi au IDF ifike kuwaokoa au kutoa tamko tishio limepita salama.

Vyumba hivyo vya safe room pamoja na vifaa vya dharura pia vipo ktk vituo vya mabasi, shopping mall n.k
 
29 December 2023
Kilimanjaro International Airport
Tanzania

BABA WA JOSHUA AOMBA SERIKALI YA TANZANIA IONGEE NA NCHI RAFIKI ZA KUNDI LA HAMAS
BABA MZAZI WA JOSHUA MOLLEL AMWAGA MACHOZI, AREJEA TANZANIA BILA MWILI WA MWANAE ALIYEUWAWA NA HAMAS



View: https://m.youtube.com/watch?v=DTeLiUa7QVs

Mzee Mollel ameongea mara baada ya kutua ktk uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro akitokea Israel ambapo alialikwa na serikali ya Israel kufuatia mwanae Joshua kutekwa na kuuawa na kundibla HAMAS tarehe 7 Oktoba 2023

Mzee Mollel asema amepewa taarifa za kina na jeshi la Israel IDF na viongozi wa Israel kuhusu kilichotokea na kuwa wamemshauri Mzee Mollel kuiomba serikali ya Tanzania iongee na nchi za Uturuki, Qatar n.k ili kundi hilo waweze kuuachia mwili wa mwanae uweze kurejeshwa Tanzania.

Mzee Mollel asema kuwa kundi hilo liliua na kuteka watu kutoka Mataifa mbalimbali bila kujali uraia au rangi ya mtu. Na Mzee Mollel aliweza kufika hadi katika kambi ya wafanyakazi wa kilimo ambapo mwanae na watu wengine walikubwa na uharamia huo.

27 December 2023

Family of Tanzanian national call for release of his body held by Hamas​


View attachment 2856713
The Foreign Ministry held a special ceremony in memory of Tanzanian national Joshua Mollel, an agronomy student who came to Israel from Tanzania to study, and who was murdered on October 7. His body was abducted by Hamas terrorists from Kibbutz Nachal Oz and taken to Gaza. Mollel's father, Loitu, called on the international community to act for the immediate release of his son's body from Gaza so that he can bring him for a proper burial.

TOKA MAKTABA:
WATANZANIA WATAKA BALOZI WA PALESTINA ALAANI NA PIA KUWEZESHA MWILI WA JOSHUA UPATIKANE
Balozi wa Palestine nchini Tanzania Mh. Hamdi Mansour Abuali alimwe barua mara moja na kutimuliwa kama persona non grata

Balozi wa Palestina badala ya kwenda wizara ya mambo ya nje kutafuta kuungwa mkono na Tanzania anaamua kuugawa umma wa waTanzania kwa kwenda msikitini kuomba kuungwa mkono na sehemu ya jamii inayounda Tanzania.

Video hapa chini ikionesha Mh. Balozi Hamdi Mansour Abuali akiwa anafanya shughuli zinazohatarisha usalama wq nchi kinyume na mikataba ya Vienna protocol kuhusu kazi za balozi

View: https://m.youtube.com/watch?v=auOKnvgArZ8&pp=ygUSQmFsb3ppIHdhIHBhbGVzaW5h

Waarabu wanawachukulia kwa tahadhari kubwa wapalestina, lakini sisi waswahili tuna fuata mkumbo



Huyu balozi aitwe wizara ya mambo ya nje kuonywa kuacha kukosoa sera za mahusiano kimataifa za Tanzania kutoingilia upande wowote, aache kutaka kuchochea maandamano.

Balozi huyu wa Palestina hajui mipaka yake ya kidiplomasia, muda mwingi anataka kutuamrisha kufanya mambo yasiyokwenda na sera za nchi yetu kimataifa za diplomasia ya kiuchumi, watalii waje wengi kupitia Tanzania Royal Tour, wawekezaji,

Anaweza kutimuliwa kutokana na mienendo yake isiyokuwa ya cheo cha balozi . Kule Chad balozi alitimuliwa kwa kufanya kazi sizizo za kibalozi.

Gov't of Chad orders Gordon Kricke to leave country within 48 hours for 'non-respect of diplomatic customs', ministry says.
Le Monde.fr
https://www.lemonde.fr › 2023/04/10
Chad expels German ambassador, blaming 'impolite attitude'

10 Apr 2023 — The German ambassador to Chad, declared persona non grata by the government for his "impolite attitude", was

Politics nyingi sana nchi hii, huyo mzee alienda kufanya nini huko?
 
Wanajeshi walikuwa wanafanya nini tena kwenye Camp ya Kilimo?? Daah maswali ni mengi kuliko majibu
Mkuu,mkiwepo kule sio mnakaa camp kama timu ya Mpira .
Ndio maana kwenye Hilo shamba lao kulikua na watanzania kama wanne tu kama sijakosea kati ya 260 walienda kule.

Na makazi ni nyumba za kupanga tu uraiani huko.Kwa hiyo lazima mchanganyike.
 
29 December 2023
Kilimanjaro International Airport
Tanzania

BABA WA JOSHUA AOMBA SERIKALI YA TANZANIA IONGEE NA NCHI RAFIKI ZA KUNDI LA HAMAS
BABA MZAZI WA JOSHUA MOLLEL AMWAGA MACHOZI, AREJEA TANZANIA BILA MWILI WA MWANAE ALIYEUWAWA NA HAMAS



View: https://m.youtube.com/watch?v=DTeLiUa7QVs

Mzee Mollel ameongea mara baada ya kutua ktk uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro akitokea Israel ambapo alialikwa na serikali ya Israel kufuatia mwanae Joshua kutekwa na kuuawa na kundibla HAMAS tarehe 7 Oktoba 2023

Mzee Mollel asema amepewa taarifa za kina na jeshi la Israel IDF na viongozi wa Israel kuhusu kilichotokea na kuwa wamemshauri Mzee Mollel kuiomba serikali ya Tanzania iongee na nchi za Uturuki, Qatar n.k ili kundi hilo waweze kuuachia mwili wa mwanae uweze kurejeshwa Tanzania.

Mzee Mollel asema kuwa kundi hilo liliua na kuteka watu kutoka Mataifa mbalimbali bila kujali uraia au rangi ya mtu. Na Mzee Mollel aliweza kufika hadi katika kambi ya wafanyakazi wa kilimo ambapo mwanae na watu wengine walikubwa na uharamia huo.

27 December 2023

Family of Tanzanian national call for release of his body held by Hamas​


View attachment 2856713
The Foreign Ministry held a special ceremony in memory of Tanzanian national Joshua Mollel, an agronomy student who came to Israel from Tanzania to study, and who was murdered on October 7. His body was abducted by Hamas terrorists from Kibbutz Nachal Oz and taken to Gaza. Mollel's father, Loitu, called on the international community to act for the immediate release of his son's body from Gaza so that he can bring him for a proper burial.

TOKA MAKTABA:
WATANZANIA WATAKA BALOZI WA PALESTINA ALAANI NA PIA KUWEZESHA MWILI WA JOSHUA UPATIKANE
Balozi wa Palestine nchini Tanzania Mh. Hamdi Mansour Abuali alimwe barua mara moja na kutimuliwa kama persona non grata

Balozi wa Palestina badala ya kwenda wizara ya mambo ya nje kutafuta kuungwa mkono na Tanzania anaamua kuugawa umma wa waTanzania kwa kwenda msikitini kuomba kuungwa mkono na sehemu ya jamii inayounda Tanzania.

Video hapa chini ikionesha Mh. Balozi Hamdi Mansour Abuali akiwa anafanya shughuli zinazohatarisha usalama wq nchi kinyume na mikataba ya Vienna protocol kuhusu kazi za balozi

View: https://m.youtube.com/watch?v=auOKnvgArZ8&pp=ygUSQmFsb3ppIHdhIHBhbGVzaW5h

Waarabu wanawachukulia kwa tahadhari kubwa wapalestina, lakini sisi waswahili tuna fuata mkumbo



Huyu balozi aitwe wizara ya mambo ya nje kuonywa kuacha kukosoa sera za mahusiano kimataifa za Tanzania kutoingilia upande wowote, aache kutaka kuchochea maandamano.

Balozi huyu wa Palestina hajui mipaka yake ya kidiplomasia, muda mwingi anataka kutuamrisha kufanya mambo yasiyokwenda na sera za nchi yetu kimataifa za diplomasia ya kiuchumi, watalii waje wengi kupitia Tanzania Royal Tour, wawekezaji,

Anaweza kutimuliwa kutokana na mienendo yake isiyokuwa ya cheo cha balozi . Kule Chad balozi alitimuliwa kwa kufanya kazi sizizo za kibalozi.

Gov't of Chad orders Gordon Kricke to leave country within 48 hours for 'non-respect of diplomatic customs', ministry says.
Le Monde.fr
https://www.lemonde.fr › 2023/04/10
Chad expels German ambassador, blaming 'impolite attitude'

10 Apr 2023 — The German ambassador to Chad, declared persona non grata by the government for his "impolite attitude", was

Maelezo ya bababyake Joshua Molel yamenibubujisha machozi.

Tuendelee kusimamia amani popote pale duniani maana vita ni mlango wa maangamizi dhidi ya ustawi na uwepo wa utu
 
Politics nyingi sana nchi hii, huyo mzee alienda kufanya nini huko?
Mkuu
Serikali ya Israel inayojali ilimualika kumueleza ukweli kuhusu kilichojiri hadi kupelekea umauti wa mwanae.

Wenzetu hawana cheap politics kama za CCM na sisi Watanzania.

Tupunguze upuuzi maana ushabiki wa vita umetufikisha hapa kuanza kugawanyika kama Taifa na tumeanza kupoteza watu wetu
 
29 December 2023
Kilimanjaro International Airport
Tanzania

BABA WA JOSHUA AOMBA SERIKALI YA TANZANIA IONGEE NA NCHI RAFIKI ZA KUNDI LA HAMAS
BABA MZAZI WA JOSHUA MOLLEL AMWAGA MACHOZI, AREJEA TANZANIA BILA MWILI WA MWANAE ALIYEUWAWA NA HAMAS



View: https://m.youtube.com/watch?v=DTeLiUa7QVs

Mzee Mollel ameongea mara baada ya kutua ktk uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro akitokea Israel ambapo alialikwa na serikali ya Israel kufuatia mwanae Joshua kutekwa na kuuawa na kundibla HAMAS tarehe 7 Oktoba 2023

Mzee Mollel asema amepewa taarifa za kina na jeshi la Israel IDF na viongozi wa Israel kuhusu kilichotokea na kuwa wamemshauri Mzee Mollel kuiomba serikali ya Tanzania iongee na nchi za Uturuki, Qatar n.k ili kundi hilo waweze kuuachia mwili wa mwanae uweze kurejeshwa Tanzania.

Mzee Mollel asema kuwa kundi hilo liliua na kuteka watu kutoka Mataifa mbalimbali bila kujali uraia au rangi ya mtu. Na Mzee Mollel aliweza kufika hadi katika kambi ya wafanyakazi wa kilimo ambapo mwanae na watu wengine walikubwa na uharamia huo.

27 December 2023

Family of Tanzanian national call for release of his body held by Hamas​


View attachment 2856713
The Foreign Ministry held a special ceremony in memory of Tanzanian national Joshua Mollel, an agronomy student who came to Israel from Tanzania to study, and who was murdered on October 7. His body was abducted by Hamas terrorists from Kibbutz Nachal Oz and taken to Gaza. Mollel's father, Loitu, called on the international community to act for the immediate release of his son's body from Gaza so that he can bring him for a proper burial.

TOKA MAKTABA:
WATANZANIA WATAKA BALOZI WA PALESTINA ALAANI NA PIA KUWEZESHA MWILI WA JOSHUA UPATIKANE
Balozi wa Palestine nchini Tanzania Mh. Hamdi Mansour Abuali alimwe barua mara moja na kutimuliwa kama persona non grata

Balozi wa Palestina badala ya kwenda wizara ya mambo ya nje kutafuta kuungwa mkono na Tanzania anaamua kuugawa umma wa waTanzania kwa kwenda msikitini kuomba kuungwa mkono na sehemu ya jamii inayounda Tanzania.

Video hapa chini ikionesha Mh. Balozi Hamdi Mansour Abuali akiwa anafanya shughuli zinazohatarisha usalama wq nchi kinyume na mikataba ya Vienna protocol kuhusu kazi za balozi

View: https://m.youtube.com/watch?v=auOKnvgArZ8&pp=ygUSQmFsb3ppIHdhIHBhbGVzaW5h

Waarabu wanawachukulia kwa tahadhari kubwa wapalestina, lakini sisi waswahili tuna fuata mkumbo



Huyu balozi aitwe wizara ya mambo ya nje kuonywa kuacha kukosoa sera za mahusiano kimataifa za Tanzania kutoingilia upande wowote, aache kutaka kuchochea maandamano.

Balozi huyu wa Palestina hajui mipaka yake ya kidiplomasia, muda mwingi anataka kutuamrisha kufanya mambo yasiyokwenda na sera za nchi yetu kimataifa za diplomasia ya kiuchumi, watalii waje wengi kupitia Tanzania Royal Tour, wawekezaji,

Anaweza kutimuliwa kutokana na mienendo yake isiyokuwa ya cheo cha balozi . Kule Chad balozi alitimuliwa kwa kufanya kazi sizizo za kibalozi.

Gov't of Chad orders Gordon Kricke to leave country within 48 hours for 'non-respect of diplomatic customs', ministry says.
Le Monde.fr
https://www.lemonde.fr › 2023/04/10
Chad expels German ambassador, blaming 'impolite attitude'

10 Apr 2023 — The German ambassador to Chad, declared persona non grata by the government for his "impolite attitude", was

Mmmmmmm
 
Gaza Strip ipo chini ya Hamas baada ya kushinda uchaguzi mwaka 2006 kwa kura.Palestine Authority wana mamlaka West Bank na hivyo kufanya kazi ya balozi iwe ngumu kwani anatambuliwa kimataifa chini ya Palestine Authority lakini hana say kwa mambo yanayohusu Hamas.
Wanaopigana Gaza sio Hamas pekee yao kuna Wanamgambo wa PIJ Palestinian Islamic Jihad.
 
Maelezo ya bababyake Joshua Molel yamenibubujisha machozi.

Tuendelee kusimamia amani popote pale duniani maana vita ni mlango wa maangamizi dhidi ya ustawi na uwepo wa utu
Unabubujika machozi ya mtu mmoja? Nenda Israel na Gaza kuna maelfu wameuawa.
 
Daah kwa hiyo Israel wanamshauri mzazi ndio aiombe Serikali yetu nilidhani Israel walitakiwa wao ndio wawe Bega kwa Bega na Serikali ila naona kinachofanyika ni tofauti kabisaa...
 
Wanapiga halafu wanakimbila ardhini qanaenda kutokea upande mwingine.

Kama Vietcong kwenye kwenye vita ya Vietnam na USA.
Kama wewe uliopo Bongo unajua kwamba wanapiga na kukimbilia kwenye tunnels si ingekuwa rahisi kudhibitiwa kwa kulipua hizo tunnels.Wacha kutoa majibu rahisi kwa maswali magumu.
Vietnam vita ilikuwa inapiganwa porini na Marekani alitandikwa haswa licha ya kuua raia kwa fujo.Mwisho akasarenda na kukimbia Vietnam na kuwezesha Vietnam Kaskazini kuungana na Vietnam Kusini na kuwa Nchi moja Vietnam.
 
Anayeweza kumwambia Huyo Balozi kuwa Huwezi ukashinda Dunia nzima, Hakuna Nchi hata moja iko tayari kuwasaidia Hao Wapalestina kwa vitendo zaidi ya Kuwatumia.

Miaka 50 ijayo Judea and Sumeria yote itakuwa na Wayahudi kila sehemu
 
Kama wewe uliopo Bongo unajua kwamba wanapiga na kukimbilia kwenye tunnels si ingekuwa rahisi kudhibitiwa kwa kulipua hizo tunnels.Wacha kutoa majibu rahisi kwa maswali magumu.
Vietnam vita ilikuwa inapiganwa porini na Marekani alitandikwa haswa licha ya kuua raia kwa fujo.Mwisho akasarenda na kukimbia Vietnam na kuwezesha Vietnam Kaskazini kuungana na Vietnam Kusini na kuwa Nchi moja Vietnam.
Wakati wa Carpet Bombing ya Misitu ya Vietnam sio kwamba raia hawakufa walikufa Vijiji viliangukiwa na Mabomu

Hamas wao wamechimba network ya Tunnels chini ya makazi ya watu kitu ambacho kinasababisha raia wafe kwa wi.ngi
 
Daah kwa hiyo Israel wanamshauri mzazi ndio aiombe Serikali yetu nilidhani Israel walitakiwa wao ndio wawe Bega kwa Bega na Serikali ila naona kinachofanyika ni tofauti kabisaa...
It means Seriakali yetu imelala kwenye kujali usalama wa Raia wake, Israel walitarajia kuona Serikali ya Tanzania kama taifa mojawapo ambalo Raia wake wameathirika na tukio hilo wakiwa wanafanya Juhudi za Kimataifa.

Putin, Thailand, France and Mataifa yote wamekuwa wakizungumza na Hamas kupitia Channels tofauti tofaut kama Qatar na Egpty kwa ajili kujua Usalama wa Raia wao wanaoshikiliwa Mateka.

Hili linaonesha Kuwa Either tunauongozi dhaifu sana au tuna kikundi cha watu wenye mamlaka wasiojua malengo ya taifa au kuthamini Raia wake
 
Wakati wa Carpet Bombing ya Misitu ya Vietnam sio kwamba raia hawakufa walikufa Vijiji viliangukiwa na Mabomu

Hamas wao wamechimba network ya Tunnels chini ya makazi ya watu kitu ambacho kinasababisha raia wafe kwa wi.ngi
Huo uongo usiokuwa na aibu.Hakuna tunnels zozote zilizokutwa kwenye makazi ya watu.Na hata jaribio la kutengeneza ushahidi kwamba kulikuwa na tunnel chini ya Al Shifa Hospital lilikwisha kwa aibu kubwa kwa kukosa ushahidi.Tunnels maarufu za Hamas ni kwenye mpaka na Egypt ku smuggle silaha,petroleum na chakula kutoka Egypt.
 
Huo uongo usiokuwa na aibu.Hakuna tunnels zozote zilizokutwa kwenye makazi ya watu.Na hata jaribio la kutengeneza ushahidi kwamba kulikuwa na tunnel chini ya Al Shifa Hospital lilikwisha kwa aibu kubwa kwa kukosa ushahidi.Tunnels maarufu za Hamas ni kwenye mpaka na Egypt ku smuggle silaha,petroleum na chakula kutoka Egypt.
Kuna Video chungu nzima zinaonyesha Al Qasam Brigade wakichimba Tunnels na Yahya Sinwar hadi anaendesha Gari ndani ya tunnel unataka kubisha nini?
 
Back
Top Bottom