Baba wa Joshua aomba serikali ya Tanzania iongee na nchi rafiki za HAMAS ili waachie mwili wa mwanae

Baba wa Joshua aomba serikali ya Tanzania iongee na nchi rafiki za HAMAS ili waachie mwili wa mwanae

29 December 2023
Kilimanjaro International Airport
Tanzania

BABA WA JOSHUA AOMBA SERIKALI YA TANZANIA IONGEE NA NCHI RAFIKI ZA KUNDI LA HAMAS
BABA MZAZI WA JOSHUA MOLLEL AMWAGA MACHOZI, AREJEA TANZANIA BILA MWILI WA MWANAE ALIYEUWAWA NA HAMAS



View: https://m.youtube.com/watch?v=DTeLiUa7QVs

Mzee Mollel ameongea mara baada ya kutua ktk uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro akitokea Israel ambapo alialikwa na serikali ya Israel kufuatia mwanae Joshua kutekwa na kuuawa na kundibla HAMAS tarehe 7 Oktoba 2023

Mzee Mollel asema amepewa taarifa za kina na jeshi la Israel IDF na viongozi wa Israel kuhusu kilichotokea na kuwa wamemshauri Mzee Mollel kuiomba serikali ya Tanzania iongee na nchi za Uturuki, Qatar n.k ili kundi hilo waweze kuuachia mwili wa mwanae uweze kurejeshwa Tanzania.

Mzee Mollel asema kuwa kundi hilo liliua na kuteka watu kutoka Mataifa mbalimbali bila kujali uraia au rangi ya mtu. Na Mzee Mollel aliweza kufika hadi katika kambi ya wafanyakazi wa kilimo ambapo mwanae na watu wengine walikubwa na uharamia huo.

27 December 2023

Family of Tanzanian national call for release of his body held by Hamas​


View attachment 2856713
The Foreign Ministry held a special ceremony in memory of Tanzanian national Joshua Mollel, an agronomy student who came to Israel from Tanzania to study, and who was murdered on October 7. His body was abducted by Hamas terrorists from Kibbutz Nachal Oz and taken to Gaza. Mollel's father, Loitu, called on the international community to act for the immediate release of his son's body from Gaza so that he can bring him for a proper burial.

TOKA MAKTABA:
WATANZANIA WATAKA BALOZI WA PALESTINA ALAANI NA PIA KUWEZESHA MWILI WA JOSHUA UPATIKANE
Balozi wa Palestine nchini Tanzania Mh. Hamdi Mansour Abuali alimwe barua mara moja na kutimuliwa kama persona non grata

Balozi wa Palestina badala ya kwenda wizara ya mambo ya nje kutafuta kuungwa mkono na Tanzania anaamua kuugawa umma wa waTanzania kwa kwenda msikitini kuomba kuungwa mkono na sehemu ya jamii inayounda Tanzania.

Video hapa chini ikionesha Mh. Balozi Hamdi Mansour Abuali akiwa anafanya shughuli zinazohatarisha usalama wq nchi kinyume na mikataba ya Vienna protocol kuhusu kazi za balozi

View: https://m.youtube.com/watch?v=auOKnvgArZ8&pp=ygUSQmFsb3ppIHdhIHBhbGVzaW5h

Waarabu wanawachukulia kwa tahadhari kubwa wapalestina, lakini sisi waswahili tuna fuata mkumbo



Huyu balozi aitwe wizara ya mambo ya nje kuonywa kuacha kukosoa sera za mahusiano kimataifa za Tanzania kutoingilia upande wowote, aache kutaka kuchochea maandamano.

Balozi huyu wa Palestina hajui mipaka yake ya kidiplomasia, muda mwingi anataka kutuamrisha kufanya mambo yasiyokwenda na sera za nchi yetu kimataifa za diplomasia ya kiuchumi, watalii waje wengi kupitia Tanzania Royal Tour, wawekezaji,

Anaweza kutimuliwa kutokana na mienendo yake isiyokuwa ya cheo cha balozi . Kule Chad balozi alitimuliwa kwa kufanya kazi sizizo za kibalozi.

Gov't of Chad orders Gordon Kricke to leave country within 48 hours for 'non-respect of diplomatic customs', ministry says.
Le Monde.fr
https://www.lemonde.fr › 2023/04/10
Chad expels German ambassador, blaming 'impolite attitude'

10 Apr 2023 — The German ambassador to Chad, declared persona non grata by the government for his "impolite attitude", was

Kitu kipi kibaya kimeongelewa na huyo balozi wa Palestine? Kueleza ukatilu na madhila wanayofanyiwa na wayahudi ni makosa?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Tunnels sio lazima iwe na opening kwenye kila nyumba inaweza kuvuka kwenye nyumba mbili ikaenda kuwa na opening kwenye nyumba ya tatu.

Mkuu huwezi kutuuzia hiyo story sisi Waafrika tumeamka sasa tunajua Dunia inaendaje.

Piganeni Vita zenu wacheni na sisi tupigane na vita yetu ya kupigana na Ubaguzi wa rangi na kumiliki uchumi wetu.
Wow at last umeamka mpaka unajua tunnels zilizopita kwenye makazi ya watu.Najua pia umeangalia so called videos ukapata ushahidi.At least unatetea hoja zako bila matusi.I respect that.
 
Mwili wa joshua umebaki palepale Kibbutz ...HAMAS hawahifadhi maiti za maadui zao.Bora awasiliane na serikali ya Israel wamweleze hiyo maiti waliizika wapi
Kwanini sasa inakuqa vigumu kuuleta hapa Tanganyika au Wazazibari wanaotutawala hawataki?
 
Wow at last umeamka mpaka unajua tunnels zilizopita kwenye makazi ya watu.Najua pia umeangalia so called videos ukapata ushahidi.At least unatetea hoja zako bila matusi.I respect that.
Matusi noma hapa tunajadiliana kwa Hoja Hoja zinaongea bila kufosi kishabiki.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hamas wangekuwa wanapigana above ground hii vita ingeshaisha ni tunnels ndio zinaichelewesha hii vita na ninasikia Hezbolah nao wameingia kwenye mapigano rasmi.
Huwezi kupigana above the ground na adui ambaye anatumia unmanned aircrafts na fighter jets kukushambulia. Wayahudi wametulia Tel aviv, haifa na miji mingine wanaoperate drones na ndege zao za kivita kushambulia gaza. Hivyo technique kubwa ni hii ya kutumia underground tunnels unajihami na kushambulia kwa kushtukiza
 
Unavweza kutukana uwezavyo bahati mbaya kila tusi lita kurudia kwa ukamilifu😂
Wewe ndio ulianza kutukana.Kama ulikuwa unajaribu nafikiri umepata jibu.Jibu hoja kwa hoja.Huwezi kaa kimya ukianza matusi utajibiwa.
 
Huwezi kupigana above the ground na adui ambaye anatumia unmanned aircrafts na fighter jets kukushambulia. Wayahudi wametulia Tel aviv, haifa na miji mingine wanaoperate drones na ndege zao za kivita kushambulia gaza. Hivyo technique kubwa ni hii ya kutumia underground tunnels unajihami na kushambulia kwa kushtukiza
Uko sahihi lakini hii strategy ya kujificha chini ya makazi ya Wananchi unaionaje?
 
Uko sahihi lakini hii strategy ya kujificha chini ya makazi ya Wananchi unaionaje?
Hao wananchi wanaouliwa wanaiunga mkono Hamas. Mkakati wa kuchimba tunnels upo lakini sio kwenye makazi ya watu.Na kama ulioona tunnels hizo sio ndogo mpaka gari linapita ndani.Iwe kwenye makazi ya watu inaleta kweli mantiki?
 
It means Seriakali yetu imelala kwenye kujali usalama wa Raia wake, Israel walitarajia kuona Serikali ya Tanzania kama taifa mojawapo ambalo Raia wake wameathirika na tukio hilo wakiwa wanafanya Juhudi za Kimataifa.

Putin, Thailand, France and Mataifa yote wamekuwa wakizungumza na Hamas kupitia Channels tofauti tofaut kama Qatar na Egpty kwa ajili kujua Usalama wa Raia wao wanaoshikiliwa Mateka.

Hili linaonesha Kuwa Either tunauongozi dhaifu sana au tuna kikundi cha watu wenye mamlaka wasiojua malengo ya taifa au kuthamini Raia wake

Inatia shaka sana, ni pengine kutowajibika, kutojali, kuona haya au inaweza kuwa labda kuna watu wachache ktk serikali wanaunga mkono (sympathisers) uharamia na ugaidi
 
Hata Nelson Mandela alipokuwa akipigania uhuru wa South Africa aliitwa gaidi na makaburu.Mapambano yaliendelea na Apartheid System ikashindwa.Ni suala la muda tu.Au wewe unaamini kwamba Nelson Mandela na ANC walikuwa magaidi kwa sababu Western world walidai hivyo?
 
Hao wananchi wanaouliwa wanaiunga mkono Hamas. Mkakati wa kuchimba tunnels upo lakini sio kwenye makazi ya watu.Na kama ulioona tunnels hizo sio ndogo mpaka gari linapita ndani.Iwe kwenye makazi ya watu inaleta kweli mantiki.
Hamas wamekuwa wakirusha makombora kwenye miji ya Israel tena hayo makombora sio guided ni kama Katyusha.

Hamas wakati wanarusha makombora hayo wanalenga raia wa Israel na lengo lao ni kuua raia wa Israel aliyemona asiyekuwemo.

Ukitarget raia wangu na mimi natarget raia wako Simple TIT FOR TAT.

Raia wa Gaza wangeamka na kuiambia Hamas msitarget raia pigeni makambi ya Wanajeshi.

Mahandaki yako makubwa na madogo ingia hata aljazeera angalia video Hamas wenyewe wanaonyesha.
 
israel-palestinians.jpg

Haya Maroketi ya Hamas yanalenga kuuwa Wananchi wa Israeli targeting civilian ni War Crime.

Sasa wewe uwashambulie raia wangu halafu raia wako nikiwagusa kelele moaka juu ya bati.
 
View attachment 2856893
Haya Maroketi ya Hamas yanalenga kuuwa Wananchi wa Israeli targeting civilian ni War Crime.

Sasa wewe uwashambulie raia wangu halafu raia wako nikiwagusa kelele moaka juu ya bati.
Ukiwa unagombea ardhi yako unatumia nyenzo zote ulizonazo.Huwezi kulinganisha opressers na oppressed kwa mizani moja.Israel ingewapa haki yao wapalestina amani ingepatikana.
 
Ukiwa unagombea ardhi yako unatumia nyenzo zote ulizonazo.Huwezi kulinganisha opressers na oppressed kwa mizani moja.Israel ingewapa haki yao wapalestina amani ingepatikana.
Sema tu hao Waarabu hawana zana nzito za kuua watu wengi, kama target yako ni Civilians Israeli nae anajibu kama wewe huwajali Waarabu wako Israeli inawajali Waisraeli wake.

Maelfu ya Maroketi unayarusha kiholela kwenye raia wa mwenzako akijibu usianze kulia lia, zika maiti zako.

hamas_rockets_load.jpg
 
Ukiwa unagombea ardhi yako unatumia nyenzo zote ulizonazo.Huwezi kulinganisha opressers na oppressed kwa mizani moja.Israel ingewapa haki yao wapalestina amani ingepatikana.
Israel iliwahi kuwaomba kina Arafat wakubali kugawana Ardhi Arafat akatoka kwa hasira yeye alikuwa anataka Ardhi yote.

Hiyo Ardhi ni yao wote hata Qurani imeandika.

Sasa hivi wanaomba hata kiduchu😁

Tatizo Waarabu wengine huwa wanawadanganya Wapalestina kuwa watawasaidia Kijeshi na ndio sababu baada ya Wazayuni kujiona wamezipiga Nchi karibia zote za Kiarabu sasa wanaringa na huenda wameingiwa na Kibri.

Sisapoti mambo wanayofanya Wazayuni wabaguzi wa rangi huko West Bank.

Lakini nakupa facts.
 
Israel iliwahi kuwaomba kina Arafat wakubali kugawana Ardhi Arafat akatoka kwa hasira yeye alikuwa anataka Ardhi yote.

Hiyo Ardhi ni yao wote hata Qurani imeandika.

Sasa hivi wanaomba hata kiduchu😁
Dah waliwaomba?Mkataba upi wa amani?Camp David au Oslo?
Mkuu leta ushahidi.Alipouawa Waziri Mkuu Rabin na myahudi mwenye mlengo mkali kwa kukubali mkataba wa amani na wapalestina.Mazungumzo yakafa.Israel ikawa inaendelea kumega ardhi ya wapelestina kwa kuleta walowezi wa kiyahudi kutoka nje kujenga kwenye makazi ya wapalestina.Na kuwaua na kuwafukuza wapalestina.
Kuna UN resolution nyingi zikizungumzia hali hiyo na Israel haizifuati chini ya mgongo wa USA.Kulikuwa na two state solution na Israel imekataa.Haki haiombwi inapiganiwa.
 
Back
Top Bottom