Baba wa Joshua aomba serikali ya Tanzania iongee na nchi rafiki za HAMAS ili waachie mwili wa mwanae

Baba wa Joshua aomba serikali ya Tanzania iongee na nchi rafiki za HAMAS ili waachie mwili wa mwanae

Dah waliwaomba?Mkataba upi wa amani?Camp David au Oslo?
Mkuu leta ushahidi.Alipouawa Waziri Mkuu Rabin na myahudi mwenye mlengo mkali kwa kukubali mkataba wa amani na wapalestina.Mazungumzo yakafa.Israel ikawa inaendelea kumega ardhi ya wapelestina kwa kuleta walowezi wa kiyahudi kutoka nje kujenga kwenye makazi ya wapalestina.Na kuwaua na kuwafukuza wapalestina.
Kuna UN resolution nyingi zikizungumzia hali hiyo na Israel haizifuati chini ya mgongo wa USA.Kulikuwa na two state solution na Israel imekataa.Haki haiombwi inapiganiwa.
In 2000, after Yasser Arafat rejected the offer made to him by Ehud Barak based on a two-state solution and declined to negotiate for an alternative plan, it became clear that Arafat would not make a deal with Israel

Arafat didn't negotiate - he just kept saying no​

This article is more than 21 years old
Benny Morris


Ever since the start of the second Palestinian intifada, a row has raged over who was responsible for the breakdown of the peace process. Now, for the first time, former Israeli prime minister Ehud Barak has weighed in, accusing Yasser Arafat of being a liar who talked peace while secretly plotting the destruction of Israel. Interview by Benny Morris
Thu 23 May 2002 02.25 BST

Source: The Guardian
 
Yaani maneno ya miaka 20 iliyopita ya Elihud Barak ndio ushahidi wako?Yaani ulitaraji Ehud Barak aseme wao ndio waliokataa kufuata mkataba wa Amani.Tena kwenye gazeti la Guardian.
You can do better than this.Try again.
 
Yaani maneno ya miaka 20 iliyopita ya Elihud Barak ndio ushahidi wako?Yaani ulitaraji Ehud Barak aseme wao ndio waliokataa kufuata mkataba wa Amani.Tena kwenye gazeti la Guardian.
You can do better than this.Try again.
Naona niishie hapa, maana huu sasa unaenda kuwa ubishi wa kwenye Kahawa ALAMSIKI NDUGU! KESHO TUKIJAALIWA.
 
29 December 2023
Kilimanjaro International Airport
Tanzania

BABA WA JOSHUA AOMBA SERIKALI YA TANZANIA IONGEE NA NCHI RAFIKI ZA KUNDI LA HAMAS
BABA MZAZI WA JOSHUA MOLLEL AMWAGA MACHOZI, AREJEA TANZANIA BILA MWILI WA MWANAE ALIYEUWAWA NA HAMAS



View: https://m.youtube.com/watch?v=DTeLiUa7QVs

Mzee Mollel ameongea mara baada ya kutua ktk uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro akitokea Israel ambapo alialikwa na serikali ya Israel kufuatia mwanae Joshua kutekwa na kuuawa na kundibla HAMAS tarehe 7 Oktoba 2023

Mzee Mollel asema amepewa taarifa za kina na jeshi la Israel IDF na viongozi wa Israel kuhusu kilichotokea na kuwa wamemshauri Mzee Mollel kuiomba serikali ya Tanzania iongee na nchi za Uturuki, Qatar n.k ili kundi hilo waweze kuuachia mwili wa mwanae uweze kurejeshwa Tanzania.

Mzee Mollel asema kuwa kundi hilo liliua na kuteka watu kutoka Mataifa mbalimbali bila kujali uraia au rangi ya mtu. Na Mzee Mollel aliweza kufika hadi katika kambi ya wafanyakazi wa kilimo ambapo mwanae na watu wengine walikubwa na uharamia huo.

27 December 2023

Family of Tanzanian national call for release of his body held by Hamas​


View attachment 2856713
The Foreign Ministry held a special ceremony in memory of Tanzanian national Joshua Mollel, an agronomy student who came to Israel from Tanzania to study, and who was murdered on October 7. His body was abducted by Hamas terrorists from Kibbutz Nachal Oz and taken to Gaza. Mollel's father, Loitu, called on the international community to act for the immediate release of his son's body from Gaza so that he can bring him for a proper burial.

TOKA MAKTABA:
WATANZANIA WATAKA BALOZI WA PALESTINA ALAANI NA PIA KUWEZESHA MWILI WA JOSHUA UPATIKANE
Balozi wa Palestine nchini Tanzania Mh. Hamdi Mansour Abuali alimwe barua mara moja na kutimuliwa kama persona non grata

Balozi wa Palestina badala ya kwenda wizara ya mambo ya nje kutafuta kuungwa mkono na Tanzania anaamua kuugawa umma wa waTanzania kwa kwenda msikitini kuomba kuungwa mkono na sehemu ya jamii inayounda Tanzania.

Video hapa chini ikionesha Mh. Balozi Hamdi Mansour Abuali akiwa anafanya shughuli zinazohatarisha usalama wq nchi kinyume na mikataba ya Vienna protocol kuhusu kazi za balozi

View: https://m.youtube.com/watch?v=auOKnvgArZ8&pp=ygUSQmFsb3ppIHdhIHBhbGVzaW5h

Waarabu wanawachukulia kwa tahadhari kubwa wapalestina, lakini sisi waswahili tuna fuata mkumbo



Huyu balozi aitwe wizara ya mambo ya nje kuonywa kuacha kukosoa sera za mahusiano kimataifa za Tanzania kutoingilia upande wowote, aache kutaka kuchochea maandamano.

Balozi huyu wa Palestina hajui mipaka yake ya kidiplomasia, muda mwingi anataka kutuamrisha kufanya mambo yasiyokwenda na sera za nchi yetu kimataifa za diplomasia ya kiuchumi, watalii waje wengi kupitia Tanzania Royal Tour, wawekezaji,

Anaweza kutimuliwa kutokana na mienendo yake isiyokuwa ya cheo cha balozi . Kule Chad balozi alitimuliwa kwa kufanya kazi sizizo za kibalozi.

Gov't of Chad orders Gordon Kricke to leave country within 48 hours for 'non-respect of diplomatic customs', ministry says.
Le Monde.fr
https://www.lemonde.fr › 2023/04/10
Chad expels German ambassador, blaming 'impolite attitude'

10 Apr 2023 — The German ambassador to Chad, declared persona non grata by the government for his "impolite attitude", was
 
I said here.. that there are so many questions behind...no one will find answers.
 
Duuuh! pole sana kwa familia.Hivi mwili wa yule mwenzake na Joshua,ajulikanae kwa jina la Clement,uliletwa nchini kweli?

Na watanzania wengine nasikia bado wanasaka fursa ya kwenda kupalilia mashamba huko izirael muuaji wa manabii na mtoa roho maarufu.
 
Israel iliwahi kuwaomba kina Arafat wakubali kugawana Ardhi Arafat akatoka kwa hasira yeye alikuwa anataka Ardhi yote.

Hiyo Ardhi ni yao wote hata Qurani imeandika.

Sasa hivi wanaomba hata kiduchu😁

Tatizo Waarabu wengine huwa wanawadanganya Wapalestina kuwa watawasaidia Kijeshi na ndio sababu baada ya Wazayuni kujiona wamezipiga Nchi karibia zote za Kiarabu sasa wanaringa na huenda wameingiwa na Kibri.

Sisapoti mambo wanayofanya Wazayuni wabaguzi wa rangi huko West Bank.

Lakini nakupa facts.
Mgeni atakujaje nyumbani kwako halafu akwambie kuwa ni lazima mgawane vyumba ili uweze kuishi kwa amani!

Hivi utakubali udhalimu na udhalili huo??

Wazayuni walipewa tu hifadhi katika hiyo ardhi mara baada ya kuteswa miaka mingi katika ardhi za wazungu ila malipo ya fadhila zao ni kuwafukuza na kuwaua wazawa katika ardhi yao.

Ndio maana Mtume Muhammad (pbuh) aliwafukuza katika mji mtukufu wa Madinah mara baada ya kuleta sana chokochoko na vita dhidi ya waislam. Wayahudi ni watu wa fitina sana...Hivi vita vinavyoendelea ulimwenguni asilimia 90 vinaanzishwa na kufadhiliwa na wayahudi.
 
Na hao hamas wanashikilia mwili ili iweje?

Na Huyo balozi alipaswa kuondolewa nchini muda mrefu kwanza Palestina haina maslahi yoyote kwa nchi yoyote zaidi ni matatizo angalia misri Kwenye huu mgogoro ipo upande wa Israel ingawa inapeleka misaada ya chakula na madawa Kama ubinadamu , serikali ya Jordan amenyamaza kimya ,serikali ya Lebanon imenyamaza kimya .

Huyo balozi anakwenda kinyume Hata na mabosi wake waliomtuma maana plo na fatah walipingana Mpaka kupigana wenyewe kwa wenyewe huko gaza na ni maadui.
 
7
Isreal wanapewa na Marekani, UNO, NATO kwa sababu GAZA kuna Waislam. Ukrain kwenye wakiristo unasikia kelele
Mbona Mwarabu mwenzao hawapi Silaha mpaka wategemee Mpersia?

Mwarabu ana Nchi karibia 20 lakini kazificha Kordani mbele Netanyahu.
 
Huyo balozi anakwenda kinyume Hata na mabosi wake waliomtuma maana plo na fatah walipingana Mpaka kupigana wenyewe kwa wenyewe huko gaza na ni maadui.
Na hata leo wakipewa Gaza na West Bank Wapalestina watageukiana wenyewe kwa wenyewe Waislamu vs Wakristo au Suni vs Shia trust me.
 
Na hata leo wakipewa Gaza na West Bank Wapalestina watageukiana wenyewe kwa wenyewe Waislamu vs Wakristo au Suni vs Shia trust me.
Fatah /plo ni Sunni na Hamas ni Sunni na walpigana sana Mpaka Fatah / plo wakafukuzwa Gaza .

Nje kidogo ya mada ; wakati wa mgogoro wa isis , isis wakisaidiwa na Hamas na Islamic jihad wote ni Sunni waliwachinja Askari wa Syria ambao ni shia kabla Russia na Hezbula na Iran wote Shia kuja kuisaidia Syria .
Kwa hio unaona kuwa wao kwa wao ni maadui
 
Fatah /plo ni Sunni na Hamas ni Sunni na walpigana sana Mpaka Fatah / plo wakafukuzwa Gaza .

Nje kidogo ya mada ; wakati wa mgogoro wa isis , isis wakisaidiwa na Hamas na Islamic jihad wote ni Sunni waliwachinja Askari wa Syria ambao ni shia kabla Russia na Hezbula na Iran wote Shia kuja kuisaidia Syria .
Kwa hio unaona kuwa wao kwa wao ni maadui
Uisilamu umefanywa kuwa Dini ya Kuuana bila kupingana kwa hoja nimejaribu kuangalia huko nyuma enzi za Utawala wa Abbasid Kalif Harun Bin Rashid wa Baghdad watu walikuwa wakiruhusiwa kupingana bila kuuana.

Nimegundua Waumini wengi walikuwa wakipinga kuwa Quran ni Direct word of God ndio hii story unayosikia kuwa Quran "imeshushwa" hebu fikiria mtu anaeamini kuwa Kitabu "kimeshushwa" hamuwezi kujadiliana.

Mimi ushauri wangu ni Uisilamu ufanyiwe reforms.
 
Back
Top Bottom