Baba wa Joshua aomba serikali ya Tanzania iongee na nchi rafiki za HAMAS ili waachie mwili wa mwanae

Baba wa Joshua aomba serikali ya Tanzania iongee na nchi rafiki za HAMAS ili waachie mwili wa mwanae

Kuna Video chungu nzima zinaonyesha Al Qasam Brigade wakichimba Tunnels na Yahya Sinwar hadi anaendesha Gari ndani ya tunnel unataka kubisha nini?
Hizo tunnels ni za nini?Ndio hizo ninazokuambia zipo kuanzia Gaza mpaka Rafah kwa minajili ya ku smuggle lakini sio chini ya makazi ya watu.Umeona nyumba zilizopigwa mabomu kuna tunnels chini?Wacha hadithi za Ali Nacha.
 
Kuna Video chungu nzima zinaonyesha Al Qasam Brigade wakichimba Tunnels na Yahya Sinwar hadi anaendesha Gari ndani ya tunnel unataka kubisha nini?
Huwa nina kuelewa sana wewe na Nifah huwa mnatenganisha uovu na dini ya Kiislam, hongera sana, hii ndio maana halisi ya mtu kubadilishwa na dini
 
Hizo tunnels ni za nini?Ndio hizo ninazokuambia zipo kuanzia Gaza mpaka Rafah kwa minajili ya ku smuggle lakini sio chini ya makazi ya watu.Umeona nyumba zilizopigwa mabomu kuna tunnels chini?Wacha hadithi za Ali Nacha.
Nikuwa nikiangalia Video ya Hamas wakuonesha wanavyolishambulia Jeshi la Israel wakitoka kwenye Tunnel.

Ziko Tunnels zilizochimbwa miaka mingi sana ziko pia katika Border ya Rafah kwa ajili ya kukwepa Blockade ziko pia Tunnels kwa ajili mapigano.

Mimi siegemei upande wowote mimi hupenda Facts.
 
Nikuwa nikiangalia Video ya Hamas wakuonesha wanavyolishambulia Jeshi la Israel wakitoka kwenye Tunnel.

Ziko Tunnels zilizochimbwa miaka mingi sana ziko pia katika Border ya Rafah kwa ajili ya kukwepa Blockade ziko pia Tunnels kwa ajili mapigano.

Mimi siegemei upande wowote mimi hupenda Facts.
Nachokataa ni kwamba tunnels zipo chini ya makazi ya watu.Tunnels zipo lakini sio kwenye makazi ya watu wala hospitali.
 
Nachokataa ni kwamba tunnels zipo chini ya makazi ya watu.Tunnels zipo lakini sio kwenye makazi ya watu wala hospitali.
Mara ya mwisho ulikuwa Gaza lini?
Isijekuwa ujo Malinyi halafu unajifanya unaijua Gaza kuliko Hamas
 
Huyo Balozi wa Palestina anafanya nini Nchini wakati Hamas ni sehemu ya Palestina Authority?

Kwanini yeye isiongee na Yahaya Sinwar au Ismail Haniyeh nini maana ya Balozi? Kuomba Dua Misikitini?
Balozi wa palestina nchini ni mojawapo ya watu wajinga kuliko mabalozi wote hapa nchini. vijana wetu wawili wameuliwa na hamas, tunahuzuni, halafu yeye badala ya kujifanya anajali, au hata kama hajali basi aonekana anayo mahusiano na watanzania wote, ameamua kwenda msikitini kuomba kuungwa mkono. meaning, anaomba waislam pekee Tanzania waiunge mkono. wakristo hana haja nao wakati palestina kuna wakristo pia. maana ya kwenda msikitini, yeye akiwa balozi na hajaenda kanisani, inaonyesha yeye ni balozi anayetaka ushirikiano na waislam peke yake hapa nchini. mashetani kabisa hawa jamaa. namna walivyomuua yule dogo, dah.
 
Nachokataa ni kwamba tunnels zipo chini ya makazi ya watu.Tunnels zipo lakini sio kwenye makazi ya watu wala hospitali.
Ziko Video zilizorekodiwa na Hamas zikionyesha wakiibuka kutoka kwenye Tunnels kwenye makazi yaliyobomolewa na Majeshi ya IDF.
 
Mara ya mwisho ulikuwa Gaza lini?
Isijekuwa ujo Malinyi halafu unajifanya unaijua Gaza kuliko Hamas
Mke wangu kwao ni Gaza siropoki kama wewe upo Kishumundu unaulizia.Wapi nimedai naijua Gaza kuliko Hamas.Vipi bado umevimbiwa?
 
Ziko Video zilizorekodiwa na Hamas zikionyesha wakiibuka kutoka kwenye Tunnels kwenye makazi yaliyobomolewa na Majeshi ya IDF.
ndio maana sasaivi drone zinapita wakiona mtu anatoka kwenye shimo tu wanajua hapo kuna tunnel, kifuatacho ni kupiga bom kubwa la kuvunja tunnel na wakijua raia sasaivi hawapo, waliobaki wachache sana hivyo wanapiga kwa uhuru wote.
 
Balozi wa palestina nchini ni mojawapo ya watu wajinga kuliko mabalozi wote hapa nchini. vijana wetu wawili wameuliwa na hamas, tunahuzuni, halafu yeye badala ya kujifanya anajali, au hata kama hajali basi aonekana anayo mahusiano na watanzania wote, ameamua kwenda msikitini kuomba kuungwa mkono. meaning, anaomba waislam pekee Tanzania waiunge mkono. wakristo hana haja nao wakati palestina kuna wakristo pia. maana ya kwenda msikitini, yeye akiwa balozi na hajaenda kanisani, inaonyesha yeye ni balozi anayetaka ushirikiano na waislam peke yake hapa nchini. mashetani kabisa hawa jamaa. namna walivyomuua yule dogo, dah.
Hata angeenda kwenye familia za Watanzania waliouwawa na Magaidi ya Hamas na Islamic Jihaad hata kwenda kuhani.

Sema amekutana na Utawala wa Kiswahili swahili ambao hauko serious ambao haujali maisha na vifo vya watu wake.

Sasa ngoja Uchaguzi ukaribie utawaona Viongozi wa CCM wakienda kwanye familia za wafiwa kupiga Siasa.
 
Mke wangu kwao ni Gaza
Sasa Mke wako atajuaje Mahandaki ya Kimkakati ambayo ni siri ya Kijeshi.

Usifosi kitu ambacho Hamas wenyewe kwenye Video zao wanaonyesha kwenye medani ya mapambano.
 
Unabubujika machozi ya mtu mmoja? Nenda Israel na Gaza kuna maelfu wameuawa.
Najua DRC wanaolufa kwa malaki huku milioni 7 wakifurushwa bila chakula, maji na makazi havikugusi.

Upumbavu wa Waafrika wengi kama wewe ni matokeo ya kuparamia dini zisizotuhusu huku tukijiaminisha kuwa hao wapuuzi ni watu zaidi yetu sisi.

Jitambue
 
Mke wangu kwao ni Gaza siropoki kama wewe upo Kishumundu unaulizia.Wapi nimedai naijua Gaza kuliko Hamas.Vipi bado umevimbiwa?
Haa kumbe umeolewa Gaza?
Hongera hongera
 
Sasa Mke wako atajuaje Mahandaki ya Kimkakati ambayo ni siri ya Kijeshi.

Usifosi kitu ambacho Hamas wenyewe kwenye Video zao wanaonyesha kwenye medani ya mapambano.
Yaani wewe uishi kwenye nyumba usijue kuna tunnels chini ya nyumba?Unataka niamini huo uzazwa?
 
Najua DRC wanaolufa kwa malaki huku milioni 7 wakifurushwa bila chakula, maji na makazi havikugusi.

Upumbavu wa Waafrika wengi kama wewe ni matokeo ya kuparamia dini zisizotuhusu huku tukijiaminisha kuwa hao wapuuzi ni watu zaidi yetu sisi.

Jitambue
Na Sudan Waafrika wenzetu wanauwawa bila mtetezi
 
Mwili wa joshua umebaki palepale Kibbutz ...HAMAS hawahifadhi maiti za maadui zao.Bora awasiliane na serikali ya Israel wamweleze hiyo maiti waliizika wapi
 
Nchi rafiki Kwa Hamas?
Hamna kitu hapo Huyo Mollel ametumika na Isreal kuonesha ulimwengu kuwa wabaya wengine wa Israel ni Uturuki, Qatar na wengineo nothing more nothing less.
Nchi ya Tanzania kuwa na raia jamii ya hawa akina Mollel ni hasara sana. Kwanza nani kampa airtime huyo Mollel kuongea kiholela hapo airport? Yaani awezeshwe na hao Israel, aende Israel Kwa gharama zao mwisho wa siku arudi mikono mitupu?! Kwanini alienda sasa? Kwamba kwa maelekezo kwamba akaielekeze Tanzania iongee na marafiki wa nani na nani?; Shit. Israel ilimpeleka kule ili iweje sasa? Nchi yetu inachezewa sana. This is not fair. Government machineries should be eyed sometimes
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Yaani wewe uishi kwenye nyumba usijue kuna tunnels chini ya nyumba?Unataka niamini huo uzazwa?
Tunnels sio lazima iwe na opening kwenye kila nyumba inaweza kuvuka kwenye nyumba mbili ikaenda kuwa na opening kwenye nyumba ya tatu.

Mkuu huwezi kutuuzia hiyo story sisi Waafrika tumeamka sasa tunajua Dunia inaendaje.

Piganeni Vita zenu wacheni na sisi tupigane na vita yetu ya kupigana na Ubaguzi wa rangi na kumiliki uchumi wetu.
 
Back
Top Bottom