Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Kitengo cha siasa si ndio uongozi wenyewe mzee?Kitengo cha Siasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitengo cha siasa si ndio uongozi wenyewe mzee?Kitengo cha Siasa.
Kitengo cha Kijeshi kiko Gaza kitengo cha Kisiasa kiko Qatar ndio maana Qatar sio Target ya KDF.Kitengo cha siasa si ndio uongozi wenyewe mzee?
Israel kama taifa lenye nguvu na maamuzi limeshindwa kumsaidia mzew sembuse balozi.Inaumiza sana, kwaiyo huyo Balozi wa Tanzania uko Israel kazi yake ni nini?
Kuna kitu hapo huyo Mangi kapigwa pesa ,nimeangalia trade video ukisoma na uzi fulani wa FaizaFoxy utajua kuna kitu.,,,,,walipovamiwa na Hamas wakauliwa wanajeshi watano hapohapo.
,,,,,,,Mtz alikuwa chumbani wakavunja mlango na kumkuta amevaa burretproof.
,,,,,,,,Wakamchukua wakaondoka nae.
,,,,,,,,,Aliyetoa maelezo hayo ni Mtz mwenzake.
Nijiulizacho;
-Kwa Nini alikuwa maeneo ya karibu na wanajeshi?
-Kipi kilichopelekea avae burretproof?
-Kwa Nini huyo mtz alielezea tukio hawakuondoka nae?
NimekurupukaSoma vizuri kabla hujaninukuu sijasema Iran ni Waarabu.
🙏👊Nimekurupuka
Tazama nembo zao kama huzifahamu basi pia tazama rangi ya jeziSiyo IDF
Kati ya jeshi na siasa ni yupi anaongoza mwingine?Kitengo cha Kijeshi kiko Gaza kitengo cha Kisiasa kiko Qatar ndio maana Qatar sio Target ya KDF.
Maislam bana. Ndo maana mnakamuliwa mavi mkifa muingie peponi wasafi.Kuna kitu hapo huyo Mangi kapigwa pesa ,nimeangalia trade video ukisoma na uzi fulani wa FaizaFoxy utajua kuna kitu.
Bulletproof imetoka wapi ?N yule wa kweny video labda pale walikuwa washamvua ile bulletproof ikabaki singlend then wanaona boxer ya jeshi ,balaa likaaanza.
Sio kweli nyie wenyewe mnamalizana .Maislam bana. Ndo maana mnakamuliwa mavi mkifa muingie peponi wasafi.
Kisa tu hawa vijana wakulima ni mchaga na muarusha na wakristo ndo maana unaandika upuzi.
Wanajeshi walikuwa wanafanya nini tena kwenye Camp ya Kilimo?? Daah maswali ni mengi kuliko majibu,,,,,walipovamiwa na Hamas wakauliwa wanajeshi watano hapohapo.
,,,,,,,Mtz alikuwa chumbani wakavunja mlango na kumkuta amevaa burretproof.
,,,,,,,,Wakamchukua wakaondoka nae.
,,,,,,,,,Aliyetoa maelezo hayo ni Mtz mwenzake.
Nijiulizacho;
-Kwa Nini alikuwa maeneo ya karibu na wanajeshi?
-Kipi kilichopelekea avae burretproof?
-Kwa Nini huyo mtz alielezea tukio hawakuondoka nae?
Yahya Sinwar hapokei tena amri kutoka kwa Ismail Haniyeh ndio maana makubaliano yaliyofanywa na Qatar na Egypt yamefeliKati ya jeshi na siasa ni yupi anaongoza mwingine?
Jeshi linapokea amri kutoka kwa wanasiasa
Mzazi kaitoa picha halisi,,,mwishoni anakataa.Mwili tena ndani ya miezi miwili
na nimesikia bullet proof ya nn tena si wanafunzi jamani!?
Gaza Strip ipo chini ya Hamas baada ya kushinda uchaguzi mwaka 2006 kwa kura.Palestine Authority wana mamlaka West Bank na hivyo kufanya kazi ya balozi iwe ngumu kwani anatambuliwa kimataifa chini ya Palestine Authority lakini hana say kwa mambo yanayohusu Hamas.Huyo Balozi wa Palestina anafanya nini Nchini wakati Hamas ni sehemu ya Palestina Authority?
Kwanini yeye isiongee na Yahaya Sinwar au Ismail Haniyeh nini maana ya Balozi? Kuomba Dua Misikitini?
Huyo Mtanzania mwingine alikua Shambani shekhe.,,,,,walipovamiwa na Hamas wakauliwa wanajeshi watano hapohapo.
,,,,,,,Mtz alikuwa chumbani wakavunja mlango na kumkuta amevaa burretproof.
,,,,,,,,Wakamchukua wakaondoka nae.
,,,,,,,,,Aliyetoa maelezo hayo ni Mtz mwenzake.
Nijiulizacho;
-Kwa Nini alikuwa maeneo ya karibu na wanajeshi?
-Kipi kilichopelekea avae burretproof?
-Kwa Nini huyo mtz alielezea tukio hawakuondoka nae?
Yaani wanapigana ndani ya tunnels na IDF?Vita vinapiganwa above ground na si vita lelemama.Hamas wangekuwa wanapigana above ground hii vita ingeshaisha ni tunnels ndio zinaichelewesha hii vita na ninasikia Hezbolah nao wameingia kwenye mapigano rasmi.
Niwapongeze wasafi na millado pamoja na mambo Yao ya burudani burudani,wamemuhoji swali la msingi Sana.Wanajeshi walikuwa wanafanya nini tena kwenye Camp ya Kilimo?? Daah maswali ni mengi kuliko majibu
So unlikely bro...Huo mwili bado utakuwepo kweli?