Baba wa Joshua aomba serikali ya Tanzania iongee na nchi rafiki za HAMAS ili waachie mwili wa mwanae

Baba wa Joshua aomba serikali ya Tanzania iongee na nchi rafiki za HAMAS ili waachie mwili wa mwanae

Uisilamu umefanywa kuwa Dini ya Kuuana bila kupingana kwa hoja nimejaribu kuangalia huko nyuma enzi za Utawala wa Harun Bin Rashid Baghdad watu walikuwa wakiruhusiwa kupingana bila kuuana.

Nimegundua Waumini wengi walikuwa wakipinga kuwa Quran ni Direct word of God ndio hii story unayosikia kuwa Quran "imeshushwa" hebu fikiria mtu anaeamini kuwa Kitabu "kimeshushwa" hamuwezi kujadiliana.

Mimi ushauri wangu nu Uisilamu ufanyiwe reforms.
Sawa mkuu, uislamu ndiyo dini changa ki umri kuliko dini zote kubwa za dunia Yaani ukristo , uyahudi , Hindu na budha.
Kwahiyo ili kulazimisha watu waiamini ilienezwa kwa vita ukiamini unaachiwa usipoamini unachinjwa, ndiyo isis wakajaribu kurudia kwa uchizi wao .
 
Huyo Balozi wa Palestina anafanya nini Nchini wakati Hamas ni sehemu ya Palestina Authority?

Kwanini yeye isiongee na Yahaya Sinwar au Ismail Haniyeh nini maana ya Balozi? Kuomba Dua Misikitini?
Balozi sio kazi yake kuwatafuta mashoga
 
Labda tusubiri vita viishe eidha kwa Hamas kukimbia au kujisalimisha au kuuwawa wote, au kuwe na kusimama kwa vita (Pause).

Baada ya hapo kilichobakia hata kama ni mfupa mmoja wa Ndugu yetu urejeshwe Nyumbani ili upewe mazishi yanayostahili.
Mfupa hata Kama ni wa shoga ?
 
Kuna watanzania wamerejea TZ baada ya wenzao wawili kuuawa?!

Kama bado, kwanini hawajarejea na hali bado tete? Serikali inafanya juhudi gani kuhusu hilo.
 
Hivi Baba wa Marehemu atasikilizwa kweli na Waziri wa Mambo ya Outside Bwa Kipara?

Au atadharauliwa tu na kuitwa Mpinzani.
 
Nchi rafiki Kwa Hamas?
Viongozi wa Hamas wanaishi Qatar maana yake serikali ya Qatar ndio inawahifadhi hao magaidi, kwahiyo ni marafiki kama Gaidi lingine Osama bin Laden lilivyopewa hifadhi na Taliban Afghanistan.
 
Fatah /plo ni Sunni na Hamas ni Sunni na walpigana sana Mpaka Fatah / plo wakafukuzwa Gaza .

Nje kidogo ya mada ; wakati wa mgogoro wa isis , isis wakisaidiwa na Hamas na Islamic jihad wote ni Sunni waliwachinja Askari wa Syria ambao ni shia kabla Russia na Hezbula na Iran wote Shia kuja kuisaidia Syria .
Kwa hio unaona kuwa wao kwa wao ni maadui

Hiyo ni kawaida hata Ukaraina na Russia ni hayo hayo wote kanisa lao ni moja lakini ghafla limegawika

Uingereza hali ni hiyo hiyo kule Ireland kaskazini , Wakatoliki na Waanglikana
 
Viongozi wa Hamas wanaishi Qatar maana yake serikali ya Qatar ndio inawahifadhi hao magaidi, kwahiyo ni marafiki kama Gaidi lingine Osama bin Laden lilivyopewa hifadhi na Taliban Afghanistan.

Hata magaidi wa ANC, Frelimo , nk waliishi Tanganyika
 
Balozi huyu analengo la kutafuta Wapiganaji waende kupigana Vita vyao.
Mbona haendi Kwa Waarabu wenzake?

Tanzania kama nchi tuliwaunga mkono Wapalestina chini ya Chao cha PLO kikiongozwa na Yasir Arafat.

Lakini kwakuwa watu wa Gaza wamechaguwa wenyewe kuongozwa na magaidi wacha wanyooshwe.
 
Viongozi wa Hamas wanaishi Qatar maana yake serikali ya Qatar ndio inawahifadhi hao magaidi, kwahiyo ni marafiki kama Gaidi lingine Osama bin Laden lilivyopewa hifadhi na Taliban Afghanistan.
wale viongozi wa Hamas, wote tatano, wanaoishi Qatar na nchi zingine za kiarabu, ni matajiri wakubwa mno. mfano, Ismail Haniay unaambiwa utajiri wake ni kama $5billions, yaani utajiri wa Bakhresa mara nne ndio unafikia yule mwamba. anaishi maisha ya kifahari, anapatikana, ana ofisi na ana direct communication na mkuu wa qatar. kwahiyo hata sisi tungetaka kusaidia tungeongea tu na ubalozi hata wa qatar kuwaambia watusaidie kuongea naye ili awaambie vijana wake waachie miili ya watoto wetu. ni rahisi tu. shida ni kwamba nchi yetu huwa haipiganii raia wake wakiwa kwenye matatizo. kama kuna mtu alishawai kwenda nje ya nchi akapata shida, nani aliwahi kusaidiwa na ubalozi au serikali ya Tanzania,....kwanza wakikuona wanakukimbia wanafikiri unataka kuwaomba msaada.kumbe wao wanapokea mishahara ya kibongo wewe tayari umejiunganisha kwenye system za tozo za mbele. mambumbumbu kweli wakati yanalipwa mishahara kwa kodi za raia. wajibu wao ilikuwa uwe ni kuwatetea raia wao kwa nguvu zote.
 
Mbona haendi Kwa Waarabu wenzake?

Tanzania kama nchi tuliwaunga mkono Wapalestina chini ya Chao cha PLO kikiongozwa na Yasir Arafat.

Lakini kwakuwa watu wa Gaza wamechaguwa wenyewe kuongozwa na magaidi wacha wanyooshwe.
Magaidi nao wananyoosha graduate wa SUA
 
wale viongozi wa Hamas, wote tatano, wanaoishi Qatar na nchi zingine za kiarabu, ni matajiri wakubwa mno. mfano, Ismail Haniay unaambiwa utajiri wake ni kama $5billions, yaani utajiri wa Bakhresa mara nne ndio unafikia yule mwamba. anaishi maisha ya kifahari, anapatikana, ana ofisi na ana direct communication na mkuu wa qatar. kwahiyo hata sisi tungetaka kusaidia tungeongea tu na ubalozi hata wa qatar kuwaambia watusaidie kuongea naye ili awaambie vijana wake waachie miili ya watoto wetu. ni rahisi tu. shida ni kwamba nchi yetu huwa haipiganii raia wake wakiwa kwenye matatizo. kama kuna mtu alishawai kwenda nje ya nchi akapata shida, nani aliwahi kusaidiwa na ubalozi au serikali ya Tanzania,....kwanza wakikuona wanakukimbia wanafikiri unataka kuwaomba msaada.kumbe wao wanapokea mishahara ya kibongo wewe tayari umejiunganisha kwenye system za tozo za mbele. mambumbumbu kweli wakati yanalipwa mishahara kwa kodi za raia. wajibu wao ilikuwa uwe ni kuwatetea raia wao kwa nguvu zote.

Hizo story umezitoa kwa mayahudi ??
 
Back
Top Bottom