92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
Unazikwa kama kawa bhana wanatishia ili sadaka ziongezeke wapo wasio kwenda jumuia na wanatoa sadaka wanatambulika vizuri tuNendeni jumuiya wacheni kuhojihoji.
NB hatutomzika mtu yoyote asiyefika jumuiya kwani kufanya ivyo ni kumkosea kama jumuiya yake ni ya wala konyagi hao ndio wamzike