Unazikwa kama kawa bhana wanatishia ili sadaka ziongezeke wapo wasio kwenda jumuia na wanatoa sadaka wanatambulika vizuri tuNendeni jumuiya wacheni kuhojihoji.
NB hatutomzika mtu yoyote asiyefika jumuiya kwani kufanya ivyo ni kumkosea kama jumuiya yake ni ya wala konyagi hao ndio wamzike
Mh mbona kila dini inaleta utata si tuliambiwa uislamu ulikuja baada ya mtume iweje ibra awe muislamu kipindi hiko hakuna uislamuKATIKA WATU WENYE HOJA DHAIFU NI WAKRISTO...
ZAIDI YA UJINGA...NA STORY ZA KUTUNGA BADALA YA MAANDIKO ...HAWANA CHA KUJADILIANA NA WAISLAAM...
WANAPENDA SANA KUANZISHA MADA ZA KUWASHUTUMU WAISLAAM NA DINI YAO...WANAPOJIBIWA KWA HOJA NZITO MADHUBUTI HUKIMBIA...AU HUSHUPAZA SHINGO KWA UBISHI TU...HALI YA KUWA WAMESHAONA MAPUNGUFU KATIKA DINI YAO...
TUNA JIBU FUPI LA HILI SWALI LA UZI.
Ibraahim alikuwa na itikadi ya kumuabudu Mungu Mmoja...alikataa kumshirikisha Mungu na chochote...na wala HAKUWAHI KUSEMA POPOTE KWENYE BIBLIA KUWA YESU NI MUNGU AU MWANA WA MUNGU AU MUNGU YUPO KATIKA UTATU MTAKATIFU...
Mpaka hapo kwa itikadi hiyo...tayari jibu ni IBRAAHIIM ALIKUWA NI MUISLAAM KAMILI ..KWA SABABU HIYO NDIO ITIKADI YA UISLAAM...
UKIBISHA LETA ANDIKO KWENYE BIBLE. SIO MANENO MATUPU.
Nani kakwambia maneno haya?Ibrahim hawezi kuwa Muislam kwa sababu UISLAM HAUKUWAHI KUWEPO wakati wake.
Uislam umekuja Karne ya saba na umeletwa na Mohamad.
Nani kakwambia hivyo?Mh mbona kila dini inaleta utata si tuliambiwa uislamu ulikuja baada ya mtume iweje ibra awe muislamu kipindi hiko hakuna uislamu
Nje ya Biblia unaweza kupata habari ya Eden?Nje ya Quran huwezi kuupata uislamu Kama dini
Toka nje ya box
Alikuwa muislamu kabla ya uislamu wenyewe kuwepo maajabu haya!!Surah 3 Ali 'Imran, Ayat 67-67
مَا كَانَ اِبۡرٰهِيۡمُ يَهُوۡدِيًّا وَّلَا نَصۡرَانِيًّا وَّ لٰكِنۡ كَانَ حَنِيۡفًا مُّسۡلِمًا ؕ وَمَا كَانَ مِنَ الۡمُشۡرِكِيۡنَ ﴿3:67﴾
(3:67) Abraham was neither a Jew nor a Christian; he was a Muslim, wholly devoted to God.59 And he certainly was not amongst those who associate others with Allah in His divinity.
مَا كَانَ إِبْرَاهِيمُ يَهُودِيًّا وَلَا نَصْرَانِيًّا وَلَـٰكِن كَانَ حَنِيفًا مُّسْلِمًا وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ
(AL I'MRAN - 67)
Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.
ANAYEPINGA APINGE KWA MAANDIKO.
Haya maneno umetoa wapi?Dini ni mfumo na utaratibu aliounzisha mwanadamu Ili kumtafuta MUNGU.
Dini si mpango wa Mungu bali ni mpango wa Mwanadamu
Wewe pepo uliwaona wapi wakitoka?KWANINI WAISLAMU NIKIWAOMBEA KWA JINA LA YESU PEPO TOKA KWELI MAPEPO YANAWATOKA WAKATI HUWEZI KUTOA PEPO KWA JINA LA MTUME AU NABII ISIPOKUWA MUNGU ....
Biblia haina majibuHakuwa na dini.. Mungu wake alikuwa El Elyon
Wakiristo hawamuiti Ibrahim baba wa Imani!?..ujio wa yesu ambaye ni Mungu/mwana wa Mungu siyo kwa sababu manabii wote walifeli na yeye yesu kaja kukomboa watu!?..ikiwa na maana Ibrahim na yesu ni Imani moja!!Mmeshindwa kujibu hoja, aya inamtaja ibrahimu na ukristo wakati enzi za ibrahimu hakukua na ukristo,
Uislamu ulikuwepo kabla ya Mohamadi , shida ni kufikiri ulikuwa una tamkwa kiarabu IslamAlikuwa muislamu kabla ya uislamu wenyewe kuwepo maajabu haya!!
Siyo kwamba hawaelewi Bali hawataki kuelewa maana hawana hoja nyingineHili jambo limejibiwa sana, kuwa kila anapo kuja Nabii anapewa sheria zake, kwahiyo usikariri , kwahiyo hakuna ulazima sheria za mohamad zifanane na Musa , halafu shahada ina kwenda kwa Nabii husika wa zama hizo, kwa zama hizo ni Mohamad, ila kwa zama za Musa ni musa, haya jikite kwenye Mada Ibrahim alikuwa dini gani?
Wanasema Ibrahim baba wa imaniSasa mkuu kwani ushasikia wakristo wanasema ukristo umekuwepo kabla ya yesu?
Au ushasikia wanasema kina Musa na Ibrahim walikuwa wakristo?
YesWanasema Ibrahim baba wa imani
Baba wa Imani gani!?
Ya MunguBaba wa Imani gani!?
Aliyesema alikuwa muislam ni muandishi wa quran sio mungu... know the differenceAliye muumba Ibrahim ndiye aliyesema alikuwa Muislamu.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Mungu gani!?..maana miungu wengi!!...hata ng'ombe uliyemla pasaka ni Mungu kwa wahinduYa Mungu
walimwabudu Mungu wa kweli, Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo aliyeumba mbingu na nchi na atakayekuja kuihukumu dunia siku moja ijayo. hawakuabudu mabaali, majini na wachawi kama ninyi wafuasi wa fulani.Hili swali nalikalibisha tu,kwa watu wenye uelewe wa mambo ya Dini.
Huyu ni nabii na mtume wa Mwenyezi Mungu, ambaye anakubaliki na Dini zote, kuanzia Uyahudi, Ukristo mpaka Uisilamu, na hawa wote ibada zao zimetofautiana.
Je, niwapi wanaomfata?