Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Baba na Mama yake Muhamad walikuwa waislam?Uislamu Hujaanza Wakati Wa Muhammad,Bali Muhammad Alirudisha Usilamu Baada ya Watu Kuwa wamerudia Ibada Za Masanamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba na Mama yake Muhamad walikuwa waislam?Uislamu Hujaanza Wakati Wa Muhammad,Bali Muhammad Alirudisha Usilamu Baada ya Watu Kuwa wamerudia Ibada Za Masanamu.
Asante.Hizo ni shutuma nzito dhidi yangu.
Wapi Nimesema Ibrahimu hakuwa Muisilamu??, Qur'an inasema yeye ni alikuwa Muisilamu sasa kwanini nipinge??!!.
Ninachosema mimi Ibrahimu hakuwa mfuasi wa Mtukufu mtume (saw) hivyo hakuwa anatekekeza nguzo 5 za Uisilamu huu wa Mtume (saw) kwani Uisilamu huu licha ya mtu kuwa mnyenyekevu kwa Allah ni lazima ufuate na kutii nguzo 5 na hapo ndipo unakuwa Muisilamu mfuasi wa mtume (saw).
Sasa kwanini Allah kamwita Ibrahim Muisilamu??, kamuita Muisilamu kwa maana ya UNYENYEKEVU/KUJITUPA kwa Allah na manabii wote wameitwa Waisilamu kwa maana hiyo tu kwamba Wao walikuwa Wanyenyekevu waliojitupa na kujisalimisha kwa dhati kubwa mbele ya Allah, hiyo ndio maana ya neno Islamu kwa hao manabii wengine.
Watu wanashindwa kueleza jambo hilo na ndio maana Wakristo wanashangaa na kuuliza inakuaje ibrahim (as) awe Muisilamu wakati dini ya kiisilamu imekuja karibu miaka 5000 baada ya nabii Ibrahim (as)??, wanahitaji majibu yanayoingia akilini.
Tera yupi!?..wa wapi!?..Kisha kinabadilika nini!?..hadithi ndiyo Quran we kima!!?Sasa tutajuaje ni Ibrahimu mtoto wa Tera ?
Baba wa Muhammadi kaandikwa kwenye hadithi za Mtume Muhammadi au husomi kijana ?
وَقَالُوا كُونُوا هُودًا أَوْ نَصَارَىٰ تَهْتَدُوا ۗ قُلْ بَلْ مِلَّةَ إِبْرَاهِيمَ حَنِيفًا ۖ وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَMimi kwa mtazamo wangu haijatajwa Nabii Ibrahimu (as) ana dini gani, kilichotajwa ndani ya Qur'an ni kwamba Nabii Ibrahimu alikuwa mnyenyekevu/aliyejitupa kwa Allah na hii unaweza kupata katika Qur'an 2:127-128, ambapo amemuomba Allah amfanye awe mnyenyekevu, neno unyenyekevu ndio "Islam" na mtu mnyenyekevu anaitwa "muslim" kwa kiarabu, hivyo popote nabii Ibrahimu anapotajwa ndani ya Qur'an kwa jina la la "Muslim" maana yake ni hiyo kwamba yeye ni mnyenyekevu na hata manabii wote wanabeba sifa hiyo ya kuitwa "Muslimina" yaani wanyenyekevu mbele ya Allah.
Kitu kinacho wachanganya watu ni kuona manabii wameitwa Muslimina na hivyo kusema kwamba wao ni Waisilamu waliofuata dini ya Kiisilamu dini hii iliyoanzishwa na mtukufu mtume Muhammad (saw)-- kitu ambacho sio sahihi kwani Dini hii ya kiisilamu imejengwa katika nguzo 5 na nguzo ya kwanza (shahadatein) ambayo ili uwe muisilamu lazima uitamke katika kila swala (katika kikao cha attahiyyatu) nk, je kama nabii Ibrahimu alikuwa mfuasi wa dini hii (hata kabla haijaanzishwa) alikuwa akitoa hii shahada hii?? je alifunga swaumu hii ya Ramafhani??, kuna maswali mengi kwa wale wanaoshindwa kujua Nabii Ibrahimu anapoitwa Muslim ina maana gani!!.
Hivyo nabi Ibrahimu (as) ni Muslim kwa maana ya unyenyekevu na sio Muslim kwa maana kwamba yeye ni mfuasi wa dini hii ya Kiisilamu dini iliyoanzishwa na mtukufu mtume Muhammad (saw) ambayo imejengwa katika nguzo tano, na manabii wote wameitwa Muslim kwa maana hiyo ya kuwa wao ni wanyenyekevu mbele ya Allah.
Hoja hii ilikusudia kujibu post hiiوَقَالُوا كُونُوا هُودًا أَوْ نَصَارَىٰ تَهْتَدُوا ۗ قُلْ بَلْ مِلَّةَ إِبْرَاهِيمَ حَنِيفًا ۖ وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ
(AL - BAQARA - 135)
Na wakasema: Kuweni Mayahudi au Wakristo ndio mtaongoka. Sema: Bali tunashika mila ya Ibrahim mwongofu, wala hakuwa katika washirikina.
قُلْنَا يَا نَارُ كُونِي بَرْدًا وَسَلَامًا عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ
(AL - ANBIYAA - 69)
Sisi tukasema: Ewe moto! Kuwa baridi na salama kwa Ibrahim!
وَوَهَبْنَا لَهُ إِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ نَافِلَةً ۖ وَكُلًّا جَعَلْنَا صَالِحِينَ
(AL - ANBIYAA - 72)
Naye tukampa Is-haq, na Yaaqub kuwa ni ziada. Na wote tukawajaalia wawe watu wema.
وَجَعَلْنَاهُمْ أَئِمَّةً يَهْدُونَ بِأَمْرِنَا وَأَوْحَيْنَا إِلَيْهِمْ فِعْلَ الْخَيْرَاتِ وَإِقَامَ الصَّلَاةِ وَإِيتَاءَ الزَّكَاةِ ۖ وَكَانُوا لَنَا عَابِدِينَ
(AL - ANBIYAA - 73)
Na tukawafanya maimamu wakiongoa watu kwa amri yetu. Na tukawafunulia watende kheri, na washike Sala, na watoe Zaka; na walikuwa wanatuabudu Sisi tu.
(And We bestowed on him Isaac and — as an additional gift (a grandson) — Jacob, and We made righteous men of every one of them. And We made them leaders who guided (people) by Our command, and We inspired in them the doing of good deeds and the keeping up of Prayer and the giving of the alms, and they were worshippers of Us (alone).) (Al-Anbiyaa’ 21:72–73)
قُلْ إِنَّنِي هَدَانِي رَبِّي إِلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ دِينًا قِيَمًا مِّلَّةَ إِبْرَاهِيمَ حَنِيفًا ۚ وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ
(AL - AN-A'AM - 161)
Sema: Kwa hakika mimi Mola wangu Mlezi ameniongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka, Dini iliyo sawa kabisa, ambayo ndiyo mila ya Ibrahim aliye kuwa mwongofu, wala hakuwa miongoni mwa washirikina.
قُلْ إِنَّ صَلَاتِي وَنُسُكِي وَمَحْيَايَ وَمَمَاتِي لِلَّهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ
(AL - AN-A'AM - 162)
Sema: Hakika Sala yangu, na ibada zangu, na uhai wangu, na kufa kwangu, ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote.
NDUGU!UKIZIPITIA KWA MAKINI HIZO AYA HAPO JUU,UTAGUNDUA KUWA "DINI"IMESIMAMA KUWA NI MFUMO WA MAISHA YOTE ANAYOISHI MWANADAMU IMA KWA KUFUATA MUONGOZO WA MWENYEZI MUNGU AU MIONGOZO YA WATU.
Pia angalia Aya hii hapa chini.
حُرِّمَتْ عَلَيْكُمُ الْمَيْتَةُ وَالدَّمُ وَلَحْمُ الْخِنزِيرِ وَمَا أُهِلَّ لِغَيْرِ اللَّهِ بِهِ وَالْمُنْخَنِقَةُ وَالْمَوْقُوذَةُ وَالْمُتَرَدِّيَةُ وَالنَّطِيحَةُ وَمَا أَكَلَ السَّبُعُ إِلَّا مَا ذَكَّيْتُمْ وَمَا ذُبِحَ عَلَى النُّصُبِ وَأَن تَسْتَقْسِمُوا بِالْأَزْلَامِ ۚ ذَٰلِكُمْ فِسْقٌ ۗ الْيَوْمَ يَئِسَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِن دِينِكُمْ فَلَا تَخْشَوْهُمْ وَاخْشَوْنِ ۚ الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِي وَرَضِيتُ لَكُمُ الْإِسْلَامَ دِينًا ۚ فَمَنِ اضْطُرَّ فِي مَخْمَصَةٍ غَيْرَ مُتَجَانِفٍ لِّإِثْمٍ ۙ فَإِنَّ اللَّهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ
(AL - MAIDA - 3)
Mmeharimishiwa nyamafu, na damu, na nyama ya nguruwe, na mnyama aliye chinjwa si kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na aliye kufa kwa kunyongeka koo, na aliye kufa kwa kupigwa, na aliye kufa kwa kuanguka, na aliye kufa kwa kupigwa pembe, aliye liwa na mnyama, ila mkimdiriki kumchinja. Na pia ni haramu kula nyama aliye chinjiwa masanamu. Na ni haramu kupiga ramli. Hayo yote ni upotovu. Leo walio kufuru wamekata tamaa na Dini yenu; basi msiwaogope, bali niogopeni Mimi. Leo nimekukamiliishieni Dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo Dini yenu. Na mwenye kushurutishwa na njaa, bila ya kupendelea dhambi, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Msamehevu na Mwenye kurehemu.
KUMBE HADI JINA UISLAMU,LIMETAMBULISHWA NA MWENYEZI MUNGU MWENYEWE!
TENA NA DINI YENYEWE IMEKAMILISHWA KUPITIA MTUME MUHAMMAD SALA NA AMANI ZIMUENDEE.
NA HAPO KUMBE NDIYO TUNAPATA TOFAUTI YA UISLAMU WA MITUME WALITANGULIA KABLA YA MTUME MUHAMMAD KWA KUWA BADO MWENYEZI MUNGU ALIKUWA HAJAUKAMILISHA UISLAMU WENYEWE KATIKA UKAMILIFU HUU TULIONAO SASA.
ASSALAMU ALAYKUM.
وَقَالُوا كُونُوا هُودًا أَوْ نَصَارَىٰ تَهْتَدُوا ۗ قُلْ بَلْ مِلَّةَ إِبْرَاهِيمَ حَنِيفًا ۖ وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَHizo ni shutuma nzito dhidi yangu.
Wapi Nimesema Ibrahimu hakuwa Muisilamu??, Qur'an inasema yeye ni alikuwa Muisilamu sasa kwanini nipinge??!!.
Ninachosema mimi Ibrahimu hakuwa mfuasi wa Mtukufu mtume (saw) hivyo hakuwa anatekekeza nguzo 5 za Uisilamu huu wa Mtume (saw) kwani Uisilamu huu licha ya mtu kuwa mnyenyekevu kwa Allah ni lazima ufuate na kutii nguzo 5 na hapo ndipo unakuwa Muisilamu mfuasi wa mtume (saw).
Sasa kwanini Allah kamwita Ibrahim Muisilamu??, kamuita Muisilamu kwa maana ya UNYENYEKEVU/KUJITUPA kwa Allah na manabii wote wameitwa Waisilamu kwa maana hiyo tu kwamba Wao walikuwa Wanyenyekevu waliojitupa na kujisalimisha kwa dhati kubwa mbele ya Allah, hiyo ndio maana ya neno Islamu kwa hao manabii wengine.
Watu wanashindwa kueleza jambo hilo na ndio maana Wakristo wanashangaa na kuuliza inakuaje ibrahim (as) awe Muisilamu wakati dini ya kiisilamu imekuja karibu miaka 5000 baada ya nabii Ibrahim (as)??, wanahitaji majibu yanayoingia akilini.
Sasa kama washaziandika,siujibie swali la Uzi!.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uislamu ndio utapeli mkuu maana hadithi za ibrahimu , Yesu nk ukiacha za muhamad wao wamekuja kuziandika ilihali wenzao wayahudi, wakristo walishaziandika kwao, ndio maana ibrahimu amekuja kuwa muislam wakati wa ukristo na uyahudi kama aya yao hiyo ya quran
وَقَالُوا كُونُوا هُودًا أَوْ نَصَارَىٰ تَهْتَدُوا ۗ قُلْ بَلْ مِلَّةَ إِبْرَاهِيمَ حَنِيفًا ۖ وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ
(AL - BAQARA - 135)
Na wakasema: Kuweni Mayahudi au Wakristo ndio mtaongoka. Sema: Bali tunashika mila ya Ibrahim mwongofu, wala hakuwa katika washirikina.
قُلْنَا يَا نَارُ كُونِي بَرْدًا وَسَلَامًا عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ
(AL - ANBIYAA - 69)
Sisi tukasema: Ewe moto! Kuwa baridi na salama kwa Ibrahim!
وَوَهَبْنَا لَهُ إِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ نَافِلَةً ۖ وَكُلًّا جَعَلْنَا صَالِحِينَ
(AL - ANBIYAA - 72)
Naye tukampa Is-haq, na Yaaqub kuwa ni ziada. Na wote tukawajaalia wawe watu wema.
وَجَعَلْنَاهُمْ أَئِمَّةً يَهْدُونَ بِأَمْرِنَا وَأَوْحَيْنَا إِلَيْهِمْ فِعْلَ الْخَيْرَاتِ وَإِقَامَ الصَّلَاةِ وَإِيتَاءَ الزَّكَاةِ ۖ وَكَانُوا لَنَا عَابِدِينَ
(AL - ANBIYAA - 73)
Na tukawafanya maimamu wakiongoa watu kwa amri yetu. Na tukawafunulia watende kheri, na washike Sala, na watoe Zaka; na walikuwa wanatuabudu Sisi tu.
(And We bestowed on him Isaac and — as an additional gift (a grandson) — Jacob, and We made righteous men of every one of them. And We made them leaders who guided (people) by Our command, and We inspired in them the doing of good deeds and the keeping up of Prayer and the giving of the alms, and they were worshippers of Us (alone).) (Al-Anbiyaa’ 21:72–73)
قُلْ إِنَّنِي هَدَانِي رَبِّي إِلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ دِينًا قِيَمًا مِّلَّةَ إِبْرَاهِيمَ حَنِيفًا ۚ وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ
(AL - AN-A'AM - 161)
Sema: Kwa hakika mimi Mola wangu Mlezi ameniongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka, Dini iliyo sawa kabisa, ambayo ndiyo mila ya Ibrahim aliye kuwa mwongofu, wala hakuwa miongoni mwa washirikina.
قُلْ إِنَّ صَلَاتِي وَنُسُكِي وَمَحْيَايَ وَمَمَاتِي لِلَّهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ
(AL - AN-A'AM - 162)
Sema: Hakika Sala yangu, na ibada zangu, na uhai wangu, na kufa kwangu, ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote.
NDUGU!UKIZIPITIA KWA MAKINI HIZO AYA HAPO JUU,UTAGUNDUA KUWA "DINI"IMESIMAMA KUWA NI MFUMO WA MAISHA YOTE ANAYOISHI MWANADAMU IMA KWA KUFUATA MUONGOZO WA MWENYEZI MUNGU AU MIONGOZO YA WATU.
Pia angalia Aya hii hapa chini.
حُرِّمَتْ عَلَيْكُمُ الْمَيْتَةُ وَالدَّمُ وَلَحْمُ الْخِنزِيرِ وَمَا أُهِلَّ لِغَيْرِ اللَّهِ بِهِ وَالْمُنْخَنِقَةُ وَالْمَوْقُوذَةُ وَالْمُتَرَدِّيَةُ وَالنَّطِيحَةُ وَمَا أَكَلَ السَّبُعُ إِلَّا مَا ذَكَّيْتُمْ وَمَا ذُبِحَ عَلَى النُّصُبِ وَأَن تَسْتَقْسِمُوا بِالْأَزْلَامِ ۚ ذَٰلِكُمْ فِسْقٌ ۗ الْيَوْمَ يَئِسَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِن دِينِكُمْ فَلَا تَخْشَوْهُمْ وَاخْشَوْنِ ۚ الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِي وَرَضِيتُ لَكُمُ الْإِسْلَامَ دِينًا ۚ فَمَنِ اضْطُرَّ فِي مَخْمَصَةٍ غَيْرَ مُتَجَانِفٍ لِّإِثْمٍ ۙ فَإِنَّ اللَّهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ
(AL - MAIDA - 3)
Mmeharimishiwa nyamafu, na damu, na nyama ya nguruwe, na mnyama aliye chinjwa si kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na aliye kufa kwa kunyongeka koo, na aliye kufa kwa kupigwa, na aliye kufa kwa kuanguka, na aliye kufa kwa kupigwa pembe, aliye liwa na mnyama, ila mkimdiriki kumchinja. Na pia ni haramu kula nyama aliye chinjiwa masanamu. Na ni haramu kupiga ramli. Hayo yote ni upotovu. Leo walio kufuru wamekata tamaa na Dini yenu; basi msiwaogope, bali niogopeni Mimi. Leo nimekukamiliishieni Dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo Dini yenu. Na mwenye kushurutishwa na njaa, bila ya kupendelea dhambi, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Msamehevu na Mwenye kurehemu.
KUMBE HADI JINA UISLAMU,LIMETAMBULISHWA NA MWENYEZI MUNGU MWENYEWE!
TENA NA DINI YENYEWE IMEKAMILISHWA KUPITIA MTUME MUHAMMAD SALA NA AMANI ZIMUENDEE.
NA HAPO KUMBE NDIYO TUNAPATA TOFAUTI YA UISLAMU WA MITUME WALITANGULIA KABLA YA MTUME MUHAMMAD KWA KUWA BADO MWENYEZI MUNGU ALIKUWA HAJAUKAMILISHA UISLAMU WENYEWE KATIKA UKAMILIFU HUU TULIONAO SASA.
ASSALAMU ALAYKUM.
Huna hoja maana swali nimeshajibu ilahutaki kujibu swali languSasa kama washaziandika,siujibie swali la Uzi!.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Acha wivu sasa!Maana Mungu katika vitabu vya awali hakuitaji Dini ya Ibrahim bali katika kitabu chake cha mwisho QUR'AN,kaitaja Dini yake.Huna hoja maana swali nimeshajibu ilahutaki kujibu swali langu
Mwanzo 11:10 Hivi ndivyo vizazi vya Shemu; Shemu alikuwa mtu wa miaka mia akamzaa Arfaksadi miaka miwili baada ya gharika.Tera yupi!?..wa wapi!?..Kisha kinabadilika nini!?..hadithi ndiyo Quran we kima!!?
Mkuu!Umeeleza vizuri sana, Dini ni mfumo wa maisha kwa nabii Ibrahimu mfumo huo ulikuwa haujakamilika na umekuja kukamilika kwa mtukufu mtukufu mtume (saw) na hapo ndio Allah akaupa jina Islam na akauwekea nguzo 5, huko nyuma kwakuwa haukuwa kamili Allah hakuupa jina lolote mfumo huo bali walioufuata mfumo huo Walitambulika kama Waisilamu kwa maana ya unyenyekevu.
Sisi leo tunaitwa Waisilamu kwa maana mbili:- 1 --kwasababu ni wanyenyekevu, 2-- kwasababu ya kushika dini hii yenye jina Islamu iliyokamilika chini ya mtume (saw) ikiwa na nguzo zake 5..
Ndio maana nasema Uisilamu au mfumo wa maisha wa nabii Ibrahimu ambao haukuwa kamili ni huo wa aina ya kwanza ambao haukujengwa katika nguzo tano za Uisilamu huu wa mtume (saw) japokuwa unakurubiana.
Watu wasiokuwa waisilamu wanahitaji maelezo kama haya ili waelewe kwani mtu ukimwambia Nabii Ibrahimu alikuwa Muisilamu bila kumpa maelezo kwamba alikuwa Muisilamu kwa namna ipi, yeye akili yake moja kwa moja inampeleka kwamba Muisilamu ni mfuasi wa dini hii ya kiisilamu iliyokamilika kwa mtukufu mtume (saw) ambayo mfuasi wake lazima atamke shahada, Aswali sala 5, atoe zaka, afunge Ramadhani, Ahiji makka ambapo kwa manabii waliopita hawakufanya baadhi ya nguzo.
Hivyo unapozungumzia juu ya dini na Uisilamu wa.manabii waliopita inahitajika ufafanuzi ili kuondoa mkanganyiko unaojitokeza.
Mimi sijali mwanzo,mwisho au matayo...kumjua baba wa Ibrahim mi inanisaidia nini!!?.. QUR'AN siyo kitu kipya ni maagizo yaleyale waliopewa yesu,Ibrahim,Musa,nuhu,lut nk..kwamba Mungu muumba wa mbingu na ardhi ni mmoja,Hana mwana Wala mshirika,hakuzaliwa na Wala hafanani na chochote,na kwamba watu wasile nguruwe,ukitaka kipya kawasikilizr diamond,rayvany,young killerMwanzo 11:10 Hivi ndivyo vizazi vya Shemu; Shemu alikuwa mtu wa miaka mia akamzaa Arfaksadi miaka miwili baada ya gharika.
Mwanzo 11:11 Shemu akaishi baada ya kumzaa Arfaksadi miaka mia tano, akazaa wana, waume na wake.
Mwanzo 11:12 Arfaksadi akaishi miaka thelathini na mitano, akamzaa Sela.
Mwanzo 11:13 Arfaksadi akaishi baada ya kumzaa Sela miaka mia nne na mitatu, akazaa wana, waume na wake.
Mwanzo 11:14 Sela akaishi miaka thelathini, akamzaa Eberi.
Mwanzo 11:15 Sela akaishi baada ya kumzaa Eberi miaka mia nne na mitatu, akazaa wana, waume na wake.
Mwanzo 11:16 Eberi akaishi miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.
Mwanzo 11:17 Eberi akaishi baada ya kumzaa Pelegi miaka mia nne na thelathini, akazaa wana, waume na wake.
Mwanzo 11:18 Pelegi akaishi miaka thelathini, akamzaa Reu.
Mwanzo 11:19 Pelegi akaishi baada ya kumzaa Reu miaka mia mbili na kenda, akazaa wana, waume na wake.
Mwanzo 11:20 Reu akaishi miaka thelathini na miwili, akamzaa Serugi.
Mwanzo 11:21 Reu akaishi baada ya kumzaa Serugi miaka mia mbili na saba, akazaa wana, waume na wake.
Mwanzo 11:22 Serugi akaishi miaka thelathini, akamzaa Nahori.
Mwanzo 11:23 Serugi akaishi baada ya kumzaa Nahori miaka mia mbili, akazaa wana, waume na wake.
Mwanzo 11:24 Nahori akaishi miaka ishirini na kenda, akamzaa Tera.
Mwanzo 11:25 Nahori akaishi baada ya kumzaa Tera miaka mia na kumi na kenda, akazaa wana, waume na wake.
Mwanzo 11:26 Tera akaishi miaka sabini, akamzaa Abramu, na Nahori, na Harani.
Mwanzo 11:27 Na hivi ndivyo vizazi vya Tera. Tera akamzaa Abramu, na Nahori, na Harani. Harani akamzaa Lutu.
Mwanzo 11:28 Harani akafa kabla ya baba yake Tera katika nchi aliyozaliwa, yaani, katika Uru wa Wakaldayo.
Mwanzo 11:29 Abramu na Nahori wakajitwalia wake. Jina la mkewe Abramu aliitwa Sarai, na jina la mkewe Nahori aliitwa Milka, binti Harani, ambaye alikuwa baba wa Milka na wa Iska.
Mwanzo 11:30 Na Sarai alikuwa tasa, hakuwa na mtoto.
Mwanzo 11:31 Tera akamtwaa Abramu mwanawe, na Lutu mwana wa Harani, mwana wa mwanawe, na Sarai mkwewe, mke wa Abramu mwanawe, wakatoka wote katika Uru wa Wakaldayo, waende nchi ya Kanaani, wakafika mpaka Harani wakakaa huko.
Mwanzo 11:32 Siku za Tera zilikuwa miaka mia mbili na mitano; Tera akafa katika Harani.
{Bado hujaelewa tu. Karibu kwa Yesu Kijana}
Dini ya Uislamu ni Dini ya Majini, inachofanya ni kuwazuga kuwa ni Dini ya Mungu. Kwa kuokoteza Aya za Biblia ili kuwazuga.
Hivi hujiulizi Qurani imeandikwa Maka kwa Waarabu, Mwarabu pekee aliyetajwa na Qurani ni Muhammadi.
Ili Qurani iaminike kwa upotoshaji wake ilibidi ujiegemeze kwenye Biblia, na mwisho ikaishia kuitukana Biblia.
Kama una swali niulize,
Hivi Muhammadi alikuja kusema nini kipya ?
Eti mudyWALE JAMAA WAFUGA NDEVU, WAVAA KOBAZI WANAKUAMBIA ALIKUWA MUISLAMU WAKATI UISLAM UMEANZISHWA NA MUDY KARNE YA SABA.
Wewe unatumia kichwa kukalia bila shaka. Nashindwa hata nianzie wapi kukuelewesha. Hutaelewa. Rudisha kichwa mahali pake na matako mahali pake. Then nitajaribu kukueleweshaUmeelewa sasa , habari za kuadithiwa hakuna anae jua ukweli wa mambo piga kimya
Hauna cha kunielewesha wewe, vitu vya kuhadithiwa hakuna mwenye kujua ukweli wa mambo , hili wala haliitaji akili nyingi kuelewaWewe unatumia kichwa kukalia bila shaka. Nashindwa hata nianzie wapi kukuelewesha. Hutaelewa. Rudisha kichwa mahali pake na matako mahali pake. Then nitajaribu kukuelewesha
Nikuulizwe swali ukilijibu nitakuuliza lingine: Je Wayahudi ni waislam???Hivi ni vichwa vya Train vyenye njia tofauti za kuendesha injini,zinazotofautiana kutokana na wakati.
Kichwa cha kwanza kiliitwa steam Locomotive engine,kilitumia mvuke miaka ya 1800 hukoo!.
Kichwa cha pili, kinaitwa Deasel Locomotive engine ambacho kiligunduliwa miaka ya 1900 huko na
Kichwa cha tatu,kinaitwa electrical locomotive engine.
Mkuu!Pamoja na vichwa hivi kutofautiana katika mfumo wa kuendeshea ingini,bado vyote vinapita katika njia yenye kufanana yaani Rail.
Sasa na katika Uslamu ni hivyohivyo kwa maana mitume wote walipita katika Dini(njia) ya Uslamu lakini kwa nguzo tofauti.
View attachment 2588718View attachment 2588719View attachment 2588720
Hiyo ni Dini ya Majini.Mimi sijali mwanzo,mwisho au matayo...kumjua baba wa Ibrahim mi inanisaidia nini!!?.. QUR'AN siyo kitu kipya ni maagizo yaleyale waliopewa yesu,Ibrahim,Musa,nuhu,lut nk..kwamba Mungu muumba wa mbingu na ardhi ni mmoja,Hana mwana Wala mshirika,hakuzaliwa na Wala hafanani na chochote,na kwamba watu wasile nguruwe,ukitaka kipya kawasikilizr diamond,rayvany,young killer
Acha umbumbu.Hauna cha kunielewesha wewe, vitu vya kuhadithiwa hakuna mwenye kujua ukweli wa mambo , hili wala haliitaji akili nyingi kuelewa