Baba wa Manabii na Mitume wote Ibrahimu au Abrahamu alikuwa Dini gani?

Hivi kujengewa misikiti nayo unaona ni akili? Hao wanaojenga hizo pesa wanaokota? siyo sadaka zinazotolewa na waislamu wenye dini yao Uarabuni.
Tatizo Akili yko ina matatizo sikulaumu
 
Sasa tutajuaje ni Ibrahimu mtoto wa Tera ?
Baba wa Muhammadi kaandikwa kwenye hadithi za Mtume Muhammadi au husomi kijana ?
We chalii una mambo ya ajabu sana mbona mimi nimekujibu umenikimbia? Acha utoto kijana
 
We chalii una mambo ya ajabu sana mbona mimi nimekujibu umenikimbia? Acha utoto kijana
Nimekukimbia kwa hoja gani ?
Iweke hapa.

Ibrahimu aliambiwa na Mungu wake atahiri

Mwanzo 17:11 Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na ninyi.

12 Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako.

13 Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa kwa fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.

14 Na mwanamume mwenye govi asiyetahiriwa nyama ya govi lake, mtu yule atatengwa na watu wake; amelivunja agano langu.

Yohana alitii agizo la Mungu kwa Ibrahimu.

Luka 1:59 Ikawa siku ya nane wakaja kumtahiri mtoto; wakataka kumpa jina la babaye, Zakaria.

Yesu alitii pia kama mrithi wa imani ya Ibrahimu.

Luka 2:21 Hata zilipotumia siku nane za kumtahiri, aliitwa jina lake Yesu; kama alivyoitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.


Unaweza kunipa Aya au Hadithi Muhammadi akitahiri ?

Kama ni Mrithi wa Dini ya Ibrahimu mwislamu mwenzenu ?

Mkubali tu mmetapeliwa.

Kama una swali Uliza.
 
Hapa kuna Ibrahim/Abraham wawili tofauti. Mmoja alitaka kumtoa sadaka Ismaili na mwingine alitaka kumtoa sadaka Isaka. So lazima majibu yatofautiane
 
Wafia dini watakuambia alikuwa muislam, nimenunua mada ngoja nishukiwe vikali na hao wafia dini, nawasubiri kwa hamu tunyukane kihoja
Kwa hiyo Ibrahimu alikuwa mkristo?na nini maana ya kuwa mkristo,ni kufuata mafundisho ya Yesu,yaani kristo,Sasa Ibrahimu angefuata mafundisho ya Yesu wakati yeye alikuwepo kaba ya Yesu
 
Kwa hiyo Ibrahim alikuwa sheikh hii noma
 
Ww ni kichwa maji ukishindwa huku unakimbilia huku
 
2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NI SHETANI.
ADUI WA MUNGU NI SHETANI.

KWA AYA HII QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI..........
 


2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NI SHETANI SO QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI

Kama hutaki kajinyonge.
 
Kumbe Ibrahimu alisilimishwa na Mwenyezi Mungu na kupewa jina la Ibrahimu,Sababu Abrahamu alipewa na baba yake,na Mungu akampa jina la Ibrahimu
 
Hapa kuna Ibrahim/Abraham wawili tofauti. Mmoja alitaka kumtoa sadaka Ismaili na mwingine alitaka kumtoa sadaka Isaka. So lazima majibu yatofautiane
Jibu lake dogo sana,jina alilopewa na baba yake ni Abrahamu,na Mungu baada ya kumsilimisha akampa jina la Ibrahimu,
 
Huna hoja nyingine babu,umeona ukomalie hapohapo na hutaki kuelewa
QUR'AN 2:97
Say:whoever is an enemy to Gabriel (should know that) he(Gabriel) revealed this (Qur'an) to your heart by Allah's leave
 
Huna hoja nyingine babu,umeona ukomalie hapohapo na hutaki kuelewa
QUR'AN 2:97
Say:whoever is an enemy to Gabriel (should know that) he(Gabriel) revealed this (Qur'an) to your heart by Allah's leave


2:97 SHETANI ameshusha quran
 


IMEANDIKWA na shetani mkuu.

Soma 2: 97.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…