Baba wa Manabii na Mitume wote Ibrahimu au Abrahamu alikuwa Dini gani?

Baba wa Manabii na Mitume wote Ibrahimu au Abrahamu alikuwa Dini gani?

Hivi kujengewa misikiti nayo unaona ni akili? Hao wanaojenga hizo pesa wanaokota? siyo sadaka zinazotolewa na waislamu wenye dini yao Uarabuni.
Tatizo Akili yko ina matatizo sikulaumu
 
Sasa tutajuaje ni Ibrahimu mtoto wa Tera ?
Baba wa Muhammadi kaandikwa kwenye hadithi za Mtume Muhammadi au husomi kijana ?
We chalii una mambo ya ajabu sana mbona mimi nimekujibu umenikimbia? Acha utoto kijana
 
We chalii una mambo ya ajabu sana mbona mimi nimekujibu umenikimbia? Acha utoto kijana
Nimekukimbia kwa hoja gani ?
Iweke hapa.

Ibrahimu aliambiwa na Mungu wake atahiri

Mwanzo 17:11 Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na ninyi.

12 Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako.

13 Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa kwa fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.

14 Na mwanamume mwenye govi asiyetahiriwa nyama ya govi lake, mtu yule atatengwa na watu wake; amelivunja agano langu.

Yohana alitii agizo la Mungu kwa Ibrahimu.

Luka 1:59 Ikawa siku ya nane wakaja kumtahiri mtoto; wakataka kumpa jina la babaye, Zakaria.

Yesu alitii pia kama mrithi wa imani ya Ibrahimu.

Luka 2:21 Hata zilipotumia siku nane za kumtahiri, aliitwa jina lake Yesu; kama alivyoitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.


Unaweza kunipa Aya au Hadithi Muhammadi akitahiri ?

Kama ni Mrithi wa Dini ya Ibrahimu mwislamu mwenzenu ?

Mkubali tu mmetapeliwa.

Kama una swali Uliza.
 
Hapa kuna Ibrahim/Abraham wawili tofauti. Mmoja alitaka kumtoa sadaka Ismaili na mwingine alitaka kumtoa sadaka Isaka. So lazima majibu yatofautiane
 
Wafia dini watakuambia alikuwa muislam, nimenunua mada ngoja nishukiwe vikali na hao wafia dini, nawasubiri kwa hamu tunyukane kihoja
Kwa hiyo Ibrahimu alikuwa mkristo?na nini maana ya kuwa mkristo,ni kufuata mafundisho ya Yesu,yaani kristo,Sasa Ibrahimu angefuata mafundisho ya Yesu wakati yeye alikuwepo kaba ya Yesu
 
Surah 3 Ali 'Imran, Ayat 67-67

مَا كَانَ اِبۡرٰهِيۡمُ يَهُوۡدِيًّا وَّلَا نَصۡرَانِيًّا وَّ لٰكِنۡ كَانَ حَنِيۡفًا مُّسۡلِمًا ؕ وَمَا كَانَ مِنَ الۡمُشۡرِكِيۡنَ‏ ﴿3:67﴾


(3:67) Abraham was neither a Jew nor a Christian; he was a Muslim, wholly devoted to God.59 And he certainly was not amongst those who associate others with Allah in His divinity.

مَا كَانَ إِبْرَاهِيمُ يَهُودِيًّا وَلَا نَصْرَانِيًّا وَلَـٰكِن كَانَ حَنِيفًا مُّسْلِمًا وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ

(AL I'MRAN - 67)
Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.

ANAYEPINGA APINGE KWA MAANDIKO.
Kwa hiyo Ibrahim alikuwa sheikh hii noma
 
Nimekukimbia kwa hoja gani ?
Iweke hapa.

Ibrahimu aliambiwa na Mungu wake atahiri

Mwanzo 17:11 Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na ninyi.

12 Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako.

13 Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa kwa fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.

14 Na mwanamume mwenye govi asiyetahiriwa nyama ya govi lake, mtu yule atatengwa na watu wake; amelivunja agano langu.

Yohana alitii agizo la Mungu kwa Ibrahimu.

Luka 1:59 Ikawa siku ya nane wakaja kumtahiri mtoto; wakataka kumpa jina la babaye, Zakaria.

Yesu alitii pia kama mrithi wa imani ya Ibrahimu.

Luka 2:21 Hata zilipotumia siku nane za kumtahiri, aliitwa jina lake Yesu; kama alivyoitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.


Unaweza kunipa Aya au Hadithi Muhammadi akitahiri ?

Kama ni Mrithi wa Dini ya Ibrahimu mwislamu mwenzenu ?

Mkubali tu mmetapeliwa.

Kama una swali Uliza.
Ww ni kichwa maji ukishindwa huku unakimbilia huku
 
2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NI SHETANI.
ADUI WA MUNGU NI SHETANI.

KWA AYA HII QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI..........
 
وَقَالُوا كُونُوا هُودًا أَوْ نَصَارَىٰ تَهْتَدُوا ۗ قُلْ بَلْ مِلَّةَ إِبْرَاهِيمَ حَنِيفًا ۖ وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ

(AL - BAQARA - 135)
Na wakasema: Kuweni Mayahudi au Wakristo ndio mtaongoka. Sema: Bali tunashika mila ya Ibrahim mwongofu, wala hakuwa katika washirikina.

قُلْنَا يَا نَارُ كُونِي بَرْدًا وَسَلَامًا عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ

(AL - ANBIYAA - 69)
Sisi tukasema: Ewe moto! Kuwa baridi na salama kwa Ibrahim!

وَوَهَبْنَا لَهُ إِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ نَافِلَةً ۖ وَكُلًّا جَعَلْنَا صَالِحِينَ

(AL - ANBIYAA - 72)
Naye tukampa Is-haq, na Yaaqub kuwa ni ziada. Na wote tukawajaalia wawe watu wema.

وَجَعَلْنَاهُمْ أَئِمَّةً يَهْدُونَ بِأَمْرِنَا وَأَوْحَيْنَا إِلَيْهِمْ فِعْلَ الْخَيْرَاتِ وَإِقَامَ الصَّلَاةِ وَإِيتَاءَ الزَّكَاةِ ۖ وَكَانُوا لَنَا عَابِدِينَ

(AL - ANBIYAA - 73)
Na tukawafanya maimamu wakiongoa watu kwa amri yetu. Na tukawafunulia watende kheri, na washike Sala, na watoe Zaka; na walikuwa wanatuabudu Sisi tu.

(And We bestowed on him Isaac and — as an additional gift (a grandson) — Jacob, and We made righteous men of every one of them. And We made them leaders who guided (people) by Our command, and We inspired in them the doing of good deeds and the keeping up of Prayer and the giving of the alms, and they were worshippers of Us (alone).) (Al-Anbiyaa’ 21:72–73)

قُلْ إِنَّنِي هَدَانِي رَبِّي إِلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ دِينًا قِيَمًا مِّلَّةَ إِبْرَاهِيمَ حَنِيفًا ۚ وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ

(AL - AN-A'AM - 161)
Sema: Kwa hakika mimi Mola wangu Mlezi ameniongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka, Dini iliyo sawa kabisa, ambayo ndiyo mila ya Ibrahim aliye kuwa mwongofu, wala hakuwa miongoni mwa washirikina.

قُلْ إِنَّ صَلَاتِي وَنُسُكِي وَمَحْيَايَ وَمَمَاتِي لِلَّهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ

(AL - AN-A'AM - 162)
Sema: Hakika Sala yangu, na ibada zangu, na uhai wangu, na kufa kwangu, ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote.

NDUGU!UKIZIPITIA KWA MAKINI HIZO AYA HAPO JUU,UTAGUNDUA KUWA "DINI"IMESIMAMA KUWA NI MFUMO WA MAISHA YOTE ANAYOISHI MWANADAMU IMA KWA KUFUATA MUONGOZO WA MWENYEZI MUNGU AU MIONGOZO YA WATU.

Pia angalia Aya hii hapa chini.

حُرِّمَتْ عَلَيْكُمُ الْمَيْتَةُ وَالدَّمُ وَلَحْمُ الْخِنزِيرِ وَمَا أُهِلَّ لِغَيْرِ اللَّهِ بِهِ وَالْمُنْخَنِقَةُ وَالْمَوْقُوذَةُ وَالْمُتَرَدِّيَةُ وَالنَّطِيحَةُ وَمَا أَكَلَ السَّبُعُ إِلَّا مَا ذَكَّيْتُمْ وَمَا ذُبِحَ عَلَى النُّصُبِ وَأَن تَسْتَقْسِمُوا بِالْأَزْلَامِ ۚ ذَٰلِكُمْ فِسْقٌ ۗ الْيَوْمَ يَئِسَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِن دِينِكُمْ فَلَا تَخْشَوْهُمْ وَاخْشَوْنِ ۚ الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِي وَرَضِيتُ لَكُمُ الْإِسْلَامَ دِينًا ۚ فَمَنِ اضْطُرَّ فِي مَخْمَصَةٍ غَيْرَ مُتَجَانِفٍ لِّإِثْمٍ ۙ فَإِنَّ اللَّهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ

(AL - MAIDA - 3)
Mmeharimishiwa nyamafu, na damu, na nyama ya nguruwe, na mnyama aliye chinjwa si kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na aliye kufa kwa kunyongeka koo, na aliye kufa kwa kupigwa, na aliye kufa kwa kuanguka, na aliye kufa kwa kupigwa pembe, aliye liwa na mnyama, ila mkimdiriki kumchinja. Na pia ni haramu kula nyama aliye chinjiwa masanamu. Na ni haramu kupiga ramli. Hayo yote ni upotovu. Leo walio kufuru wamekata tamaa na Dini yenu; basi msiwaogope, bali niogopeni Mimi. Leo nimekukamiliishieni Dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo Dini yenu. Na mwenye kushurutishwa na njaa, bila ya kupendelea dhambi, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Msamehevu na Mwenye kurehemu.

KUMBE HADI JINA UISLAMU,LIMETAMBULISHWA NA MWENYEZI MUNGU MWENYEWE!

TENA NA DINI YENYEWE IMEKAMILISHWA KUPITIA MTUME MUHAMMAD SALA NA AMANI ZIMUENDEE.

NA HAPO KUMBE NDIYO TUNAPATA TOFAUTI YA UISLAMU WA MITUME WALITANGULIA KABLA YA MTUME MUHAMMAD KWA KUWA BADO MWENYEZI MUNGU ALIKUWA HAJAUKAMILISHA UISLAMU WENYEWE KATIKA UKAMILIFU HUU TULIONAO SASA.

ASSALAMU ALAYKUM.


2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NI SHETANI SO QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI

Kama hutaki kajinyonge.
 
Kumbe Ibrahimu alisilimishwa na Mwenyezi Mungu na kupewa jina la Ibrahimu,Sababu Abrahamu alipewa na baba yake,na Mungu akampa jina la Ibrahimu
 
Hapa kuna Ibrahim/Abraham wawili tofauti. Mmoja alitaka kumtoa sadaka Ismaili na mwingine alitaka kumtoa sadaka Isaka. So lazima majibu yatofautiane
Jibu lake dogo sana,jina alilopewa na baba yake ni Abrahamu,na Mungu baada ya kumsilimisha akampa jina la Ibrahimu,
 
2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NI SHETANI.
ADUI WA MUNGU NI SHETANI.

KWA AYA HII QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI..........
Huna hoja nyingine babu,umeona ukomalie hapohapo na hutaki kuelewa
QUR'AN 2:97
Say:whoever is an enemy to Gabriel (should know that) he(Gabriel) revealed this (Qur'an) to your heart by Allah's leave
 
Huna hoja nyingine babu,umeona ukomalie hapohapo na hutaki kuelewa
QUR'AN 2:97
Say:whoever is an enemy to Gabriel (should know that) he(Gabriel) revealed this (Qur'an) to your heart by Allah's leave


2:97 SHETANI ameshusha quran
 
Mimi sijali mwanzo,mwisho au matayo...kumjua baba wa Ibrahim mi inanisaidia nini!!?.. QUR'AN siyo kitu kipya ni maagizo yaleyale waliopewa yesu,Ibrahim,Musa,nuhu,lut nk..kwamba Mungu muumba wa mbingu na ardhi ni mmoja,Hana mwana Wala mshirika,hakuzaliwa na Wala hafanani na chochote,na kwamba watu wasile nguruwe,ukitaka kipya kawasikilizr diamond,rayvany,young killer


IMEANDIKWA na shetani mkuu.

Soma 2: 97.
 
Back
Top Bottom